Kwanini Mukoko alipewa kadi nyekundu na Onyango akapewa kadi ya njano?

Kwanini Mukoko alipewa kadi nyekundu na Onyango akapewa kadi ya njano?

Ulaya na nchi za wenzetu ata apa apa Africa timu zikifanya vibaya lawama shutuma zinaenda kwa viongoz makocha na wachezaj ila apa tanzania ipo tofaut timu ikifanya vibaya wanalaumiwa wote et ad chama cha soka nacho kinapewa lawama kufanya vibaya kwa timu Man u ina mwaka unaenda wa nane tena ata kubeba epl hawama matumain lkn usikii lawama kupewa fa sio kwamba fa au marefa wa England wapo sahihi kwa kila ktu hapana wanakosea sana kama ilivyokua kwetu lkn inajurkana ubora wa timu ni muhimu kulko makosa ya chama cha soka au marefa ,timu zetu zikiwa mbovu tukubal na tujipange tunawapa lawama watu ata wasiousika kisa matokeo ya uwanjan vtu vyote ambavyo yanga au timu nyngne apa Tanzania zinalalamika na kuishutumu tff vipo karbu kila sehem ila ukiwa na timu bora ayo makosa yakitokea unaona si ktu unasonga mbele
 
Si halali.
Yackouba nae kabla ya kusukumwa na Onyango kwanza alimsukuma Merquison mara mbili alafu Onyango akaja ghafla kumsukuma Yackouba,kwaiyo kama refa kutoa kadi ya njano angetoa pia kwa Yackouba sio kwa Onyango pekeyake.
Sawa kabisa, kinachotakiwa ni mwamuzi atende haki bila kujali ametoa red cards ngapi. Lakini, kosa aliotenda Mukoko kwa Bocco linafanana kabisa (replica) na kosa alilotenda Onyango kwa Yacouba lakini refa katoa adhabu tofauti. Tena wachezaji wote ni professionals ambao walitakiwa kuonyesha vijana wetu maana ya kuwa professional footballer nje na ndani ya uwanja.
 
Sawa kabisa, kinachotakiwa ni mwamuzi atende haki bila kujali ametoa red cards ngapi. Lakini, kosa aliotenda Mukoko kwa Bocco linafanana kabisa na kosa alilotenda Onyango kwa Yacouba lakini refa katoa adhabu tofauti.
Pia linafanana na kosa la Yackouba kwa Merquison.
Kama ulitaka kadi nyekundu zitolewe kama unavyotaka Onyango na Yackouba wangetolewa kwa card nyekundu wote, kwa sababu wote wamefanya makosa yanayofanana, Onyango kamsukuma Yackouba na Yackouba alimsukuma marambili Merquison.

Alichofanya refa ni kubalance mchezo,angetoa redcards kama unavyotaka angeharibu ladha ya mchezo.
Pia refa aliacha kuwapa Simba penati ya wazi kabisa alihofia kuharibu ladha ya mchezo.
Sijui umeelewa bwashee?
 
Sawa kabisa, kinachotakiwa ni mwamuzi atende haki bila kujali ametoa red cards ngapi. Lakini, kosa aliotenda Mukoko kwa Bocco linafanana kabisa (replica) na kosa alilotenda Onyango kwa Yacouba lakini refa katoa adhabu tofauti.
Katika mpira wa miguu siku usitarajie ile neno haki likawa sahihi mara nyingi mpira wa miguu ni mchezo wa makosa kila kila dakika kuanzia wachezaji wenyewe mpaka kwa waamuzi kuamua kutoa kadi au kuamua hii faulo mara nyng inatokea pale refa anapoona inafaa na ndio maana utashangaa ktu sio halali lkn refa anasema halal na ktu halal refa anakataa mfano kama unazungumzia haki simba ilistahil penat lakini refa hakuona umuhimu japo hata mwenyewe anajua ile ni penat na si rais kuesabu matukio ya mchezo wa miguu yapo meng sana mpaka mpra unaisha na ayo hayachagui upande japo ni kwel kuna matukio au maamuz mengine ni ya makusud au ya upendeleo lkn sio kwa mechi kama ile ya juz ,na mara nyng matukio kama yale ya kusozana wachezaj ikitokea mchezaj kamsukuma mwenzake au kadundisha mpra adhabu yake ni ile ile kad ya njano ila mara nyng marefa wanapata lawama kulingana na matokeo ya timu
 
Huyu jamaa ukimkuta jukwaa la elimu anajenga hoja utasema yes hapa tuna mtu, mkute kwenye Mambo ya Yanga sasa ni aibu ata kusema kuwa huyu mtu waga tunajadiri nae hatma ya Elimu ya Tanzania

Naanza kuamini msemo wa kusema linapokuja swala la uyanga mtu ata awe smart vp, awe Dr,waziri, Engineer, Lawyer, Attorney wote waga wanakuwa na akili moja Tu kama kina daudi Yanga na Akili 5000

Simba imefungwa na Yanga mechi ya trh 3, pamoja na refa kukataa penalty 2 za Simba Ila kulikuwa hakuna ma thread ya washabiki wa Simba wakilalamika hovyo humu, kiukweli Simba imebadirika Sana kuanzia team Hadi mashabiki, ubishi wa kipuuzi washaacha na wanaenda na malengo Tu, Lengo la kutetea kombe la ligi na FA limefanikiwa nani anajali kuhusu kufungwa na Mtani?

Yanga imebaki kama Manchester United furaha Yao ni kuifunga Manchester city Ila makombe yanaenda City, wasipojirekebisha wataishia kufurahia ushindi wa derby Tu kama ilivokuwa Kwa Simba miaka ya 2013-2016
 
Kuna Uzi humu utafute kuna mdau alishasema yanga wana kadi yao nyekundu kwenye mechi ile.
 
Sawa kabisa, kinachotakiwa ni mwamuzi atende haki bila kujali ametoa red cards ngapi. Lakini, kosa aliotenda Mukoko kwa Bocco linafanana kabisa (replica) na kosa alilotenda Onyango kwa Yacouba lakini refa katoa adhabu tofauti. Tena wachezaji wote ni professionals ambao walitakiwa kuonyesha vijana wetu maana ya kuwa professional footballer nje na ndani ya uwanja.
Kuwa mwelewa basi mkuu, Acha ushabiki wa kimahaba, mmoja alipiga akapewa nyekundu, na adhabu ya kusukuma ni kadi ya njano, bado hujaona utofauti.?

Sent from my 5033X_EEA using JamiiForums mobile app
 
Hii ndiyo sababu kubwa Simba inashinda mechi za nyumbani TU kwenye mashindano ya kimataifa, Al-Ahly na Kaizer Chiefs walizozifunga nyumbani kwa mazabe ndizo zilizocheza finali. Fluke, flukes hizi!!! Yanga kwa misimu 4 ilikuwa mbovu sana lakini pamoja na ubovu wake Simba lazima wafanye mpango kuifunga.
Kwani hizo al ahly na kaizer si ugenini zilipigwa na mnyama au

Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Wajuzi wa mpira hebu tufafanulieni humu kuhusu ubaya na ukubwa wa makosa waliyofanya Mukoko na Onyango wakati wa mechi ya Simba na Yanga kule kigoma.

Bocco alimfanyia madhambi Mukoko, badala ya kumuachia refa aamue atoe adhabu gani akajichukulia sheria mkononi ya kumpiga kiwiko Bocco na mwamuzi akamtoa nje kwa kadi nyekundu straight.

Yakuba alimfanyia makosa mchezaji wa Simba badala ya refa kumwadhibu Yacouba akatokea Onyango akamwangusha chini Yakuba kwa kumsukuma kwa nguvu na akaadhibiwa kwa kupewa kadi ya njano na kuendelea kucheza.

Swali hapa ni je, tofauti Kati ya kosa la Mukoko na kosa la Onyango ni nini?

Onyango alimsukuma mtu ambae hakumkosea yeye, Mukoko alimpiga kiwiko mtu ambae alimchezea rafu.

Bocco angeweza kuumia vibaya kutokana na kiwiko Cha makusudi na Yakuba angeweza kuumia vibaya kama angepiga kichwa chini pia.
Naamini kauli ya simba tumeendelea zaidi kuliko ndugu zetu

Huyo yacouba kwanza anapenda ugomvi mno. Kila muda wakiweka set piece lazima ahangaike kusogezasogeza

Ile situation kwanza kwanini refa hakumpa kadi maana alimchezea rafu pale miqqussone na pia onyango hakumfanyia chochote zaidi ya kumsukuma

Mimi nasema hivi ile mechi ya trh 25
Maamuzi yaliyotolewa na refa kwetu yangehamia kwenu afu mngefungwa pia nahisi mgeanzia maandamano hukohuko kigoma kuja dar
Red card kama mbili za yanga za wazi hazikutolewA
 
Kama refa angefata sheria Yackoub angepewa kadi nyekundu mapema wala Onyango asingemsukuma, Onyango alikasirika baada ya kumwona Yackoub anamsukuma mara mbili kondeboy mbele ya refa na refa hakuchukua hatua yoyote. Alichofanya Onyango ni kumwonyesha Yackoub kwamba hata Simba wanaweza ubabe na pia kumkumbusha refa kama kinachofanywa na Yackoub ni sawa basi ngoja na sisi tumfanyie.
 
Mukoko alifanya makosa wakati mpira unachezwa (Refa hajapuliza filimbi), Onyango alimsukuma yule jamaa wakati mpira umesimama
 
Refa mwenyewe ni Mbulukenge tu! Na alipewa kuchezesha ile mechi kwa makusudi kabisa ili kuhakikisha mapaka fc wanashinda!

Kama aliweza kuwazawadia goli kwenye mechi na Azam dk ya 89, hata kwenye mechi ya fainali angehakikisha anatengeneza tu mazingira ya ushindi kwa mapaka wenzake!
Nakataa ile gori halina makandokando .... Inamaana Simba amefunga kwa kua yanga alikua pungufu?
 
Unafatilia mpira kwa kina bwashee,Simba CAFCL akuna mechi aliyofunga ugenini kweli au ile mechi ya As Vital 0-1 Simba kule Congo ilifutwa?
AS Vita msimu uliopita haikuwa kwwnyえ
Naamini kauli ya simba tumeendelea zaidi kuliko ndugu zetu

Huyo yacouba kwanza anapenda ugomvi mno. Kila muda wakiweka set piece lazima ahangaike kusogezasogeza

Ile situation kwanza kwanini refa hakumpa kadi maana alimchezea rafu pale miqqussone na pia onyango hakumfanyia chochote zaidi ya kumsukuma

Mimi nasema hivi ile mechi ya trh 25
Maamuzi yaliyotolewa na refa kwetu yangehamia kwenu afu mngefungwa pia nahisi mgeanzia maandamano hukohuko kigoma kuja dar
Red card kama mbili za yanga za wazi hazikutolewA
Haijalishi kama Yanga wangepewa kadi nyingi kiasi gani kama ni halali ni halali TU. Tunachosema ni zile adhabu walizopewa mukoko na onyango wakati wote wametenda dhambi inayofanana wakakti mwamuzi yuko uwanjani.

Kwanini mwamuzi hakupiga filimbi wakati Bocco anamparamia Mukoko kutoka nyuma?
 
Kama refa angefata sheria Yackoub angepewa kadi nyekundu mapema wala Onyango asingemsukuma, Onyango alikasirika baada ya kumwona Yackoub anamsukuma mara mbili kondeboy mbele ya refa na refa hakuchukua hatua yoyote. Alichofanya Onyango ni kumwonyesha Yackoub kwamba hata Simba wanaweza ubabe na pia kumkumbusha refa kama kinachofanywa na Yackoub ni sawa basi ngoja na sisi tumfanyie.
Hata Mukoko alimkumbusha refa ambae hakutimiza majukumu yake kuhusu kitendo alichofanyiwa na Bocco sawa na alivyofanya onyango.
 
Hii ndiyo sababu kubwa Simba inashinda mechi za nyumbani TU kwenye mashindano ya kimataifa, Al-Ahly na Kaizer Chiefs walizozifunga nyumbani kwa mazabe ndizo zilizocheza finali. Fluke, flukes hizi!!! Yanga kwa misimu 4 ilikuwa mbovu sana lakini pamoja na ubovu wake Simba lazima wafanye mpango kuifunga.
A.S Vita ilifugwa nje ndani.
Plateau ya Nigeria ilifugwa kwao Nigeria.
Ndio maana Mwanachama wenu aliwaita UTOPOLO.
 
Wajuzi wa mpira hebu tufafanulieni humu kuhusu ubaya na ukubwa wa makosa waliyofanya Mukoko na Onyango wakati wa mechi ya Simba na Yanga kule kigoma.

Bocco alimfanyia madhambi Mukoko, badala ya kumuachia refa aamue atoe adhabu gani akajichukulia sheria mkononi ya kumpiga kiwiko Bocco na mwamuzi akamtoa nje kwa kadi nyekundu straight.

Yakuba alimfanyia makosa mchezaji wa Simba badala ya refa kumwadhibu Yacouba akatokea Onyango akamwangusha chini Yakuba kwa kumsukuma kwa nguvu na akaadhibiwa kwa kupewa kadi ya njano na kuendelea kucheza.

Swali hapa ni je, tofauti Kati ya kosa la Mukoko na kosa la Onyango ni nini?

Onyango alimsukuma mtu ambae hakumkosea yeye, Mukoko alimpiga kiwiko mtu ambae alimchezea rafu.

Bocco angeweza kuumia vibaya kutokana na kiwiko Cha makusudi na Yakuba angeweza kuumia vibaya kama angepiga kichwa chini pia.
KWA NINI SIMBA HAIKUPEWA PENATI BAADA YA JOB/Mwamnyeto KUMFANYIA RAFU MIIKSON NDANI YA PENATI BOKS?
 
Back
Top Bottom