FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Fata link hiyo chini, niliandika haya kuhusu Adam:Naombeni jibu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Fata link hiyo chini, niliandika haya kuhusu Adam:Naombeni jibu
Jibu lako limefanya niamin wanaoyachunguza maandiko bado wapo, unasali wapi nikaribie mkuu?Hapana. Ni kinyume chake. Ukijificha wewe ndiye huwezi kumwona Mungu.
Mungu alimwita Adamu ili arudi katika utimamu wake wa akili, ajue kwamba hitaji lake ni Mungu na si kinginecho, ama awe nuruni au gizani...
Leta ushahidi wako.Hapana. Ni kinyume chake. Ukijificha wewe ndiye huwezi kumwona Mungu.
Mungu alimwita Adamu ili arudi katika utimamu wake wa akili, ajue kwamba hitaji lake ni Mungu na si kinginecho, ama awe nuruni au gizani...
Hakuna Mungu na Adam hakuwahi kuwapo.Naombeni jibu
Wanakupa majibu yasiyo sahihi.Naombeni jibu
Kwa hiyo ukiwa sehemu peupe unamwona Mungu? Wewe binafsi umeshamwona mara ngapi, maana mie ninachojua mwanadamu hawezi kumwona Mungu akaishi.Hapana. Ni kinyume chake. Ukijificha wewe ndiye huwezi kumwona Mungu.
Ukatoliki umeanza karne ya tano. Biblia imekuwapo tangu karne ya kwanza kabla hata Waroma hawajakubali Ukristo. Sasa iweje Wakatoliki ndio waliandika Biblia?Kumbuka hata biblia unayotumia iliandikwa na wakatoliki halafu nyie mkamegewea tu halafu .kajifanya wajanja kufuta baadhi ya vitabu
Jibu ni ndiyo, iwapo maana ya ^peupe^ ni nuruni katika mantiki ya Biblia.Kwa hiyo ukiwa sehemu peupe unamwona Mungu?
Kuna kumwona Mungu kwa muktadha wa Adamu na Hawa ile kitambo kabla ya anguko, na kumwona Mungu kwa muktadha wangu na wako leo baada ya janga la dhambi.Wewe binafsi umeshamwona mara ngapi, maana mie ninachojua mwanadamu hawezi kumwona Mungu akaishi.
Tatizo la binadamu ni kwamba mambo yaliyo rahisi sana tunaamua kuyafanya yaonekane kuwa magumu sana, na yaliyo magumu tunayachukulia kirahisi sana!Jibu ni ndiyo, iwapo maana ya ^peupe^ ni nuruni katika mantiki ya Biblia.
Dhambi zetu ndizo zinatufarakanisha na Mungu..
Anakuona fureshi ila Kwa vile umejificha lazima akuite. Pia Kuna nafasi alimpa aitawale, alivyochungulia akamuona mtu mwingine so ilibidi amuite. Na hata Adam mwenyewe alimwambia nilijificha maana nili uchi.Naombeni jibu
Waislamu walijua juu ya Admu kutokana na masimulizi ya Musa, ambayo aliandika karibu miaka 2000 kabla Quran haijatokezwa. Sasa kama Musa alieleza juu ya Adamu na Hawa, na Quran ikaeleza juu ya Adamu mwingine tofauti, maana yake ni kwamba kuna Adamu ambaye Musa haukuongea juu yake. Sidhani kama huo ndio msimamo rasmi wa Uislamu, na kama ndio basi kuna tatizo kubwa sana katika imani ya Kiislamu - kupunguza urefu na uzito wa yale ambayo Musa alifununuliwa na Mwenyezi MunguFata link hiyo chini, niliandika haya kuhusu Adam:
Fata link hiyo chini, niliandika haya kuhusu Adam:Waislamu walijua juu ya Admu kutokana na masimulizi ya Musa, ambayo aliandika karibu miaka 2000 kabla Quran haijatokezwa. Sasa kama Musa alieleza juu ya Adamu na Hawa, na Quran ikaeleza juu ya Adamu mwingine tofauti, maana yake ni kwamba kuna Adamu ambaye Musa haukuongea juu yake. Sidhani kama huo ndio msimamo rasmi wa Uislamu, na kama ndio basi kuna tatizo kubwa sana katika imani ya Kiislamu - kupunguza urefu na uzito wa yale ambayo Musa alifununuliwa na Mwenyezi Mungu
HaifungukiFata link hiyo chini, niliandika haya kuhusu Adam:
https://www.jamiiforums.com/threads...enye-biblia-hakuna-hawa-kwenye-quran.2014179/
Kauliza kwa sababu za kwake hana!
CongratsHapana. Ni kinyume chake. Ukijificha, wewe ndiwe huwezi kumwona Mungu.
Mungu alimwita Adamu ili kumzindua arudi katika utimamu wake wa akili, ajue kwamba hitaji lake ni Mungu na si kinginecho, ama awe nuruni au gizani...