Kwanini Mungu hakumuumba mwanaume akiwa ametahiriwa?

Kwanini Mungu hakumuumba mwanaume akiwa ametahiriwa?

Katika uumbaji wa Mwenyezi Mungu inawezekana kuna pahala alisahau au kosea wakati wa uumbaji.

Nawaza kwa upande wa mwanadamu/mwanaume hivi ni kwa nini hakuumbwa/zaliwa akiwa tayari ameshakwisha tahiriwa?

Inawezekana huenda Mungu alisahau au kosea au mnasemaje?
Kuna wamaasai nao wanafanya tohara, Je Ibrahim alikutana na wamaasai akawaimbia issue ya tohara?.

Je kiongozi wa wamaasai (raigwani) alikutana na Mungu, akamuelekeza namna ya kuliondoa govi.

Lakini wamaasai hawafanyi tohara Tu Kwa wanaume bali pia wanafanya kwa wanawake (ukeketaji).
Japo neno ukeketaji limeletwa na feminist

Je Haya yote tohara na ukeketaji nani aliwafundisha, AU ni Wao wenyewe Maasai waliona inafaa kufanya,

But why Maasai agundue kufanya tohara ashindwe kujenga nyumba nzuri ya kuishi?.

Ukweli ni Kwamba bado binadamu historical yetu hatuijui ipasavyo
 
Kitaalamu,Ningependa kujua faida za kutahiriwa na hasara za kutotahiriwa .
Kwa uelewa wangu mm tohara is for sex fantasy Tu.
Maasai tohara zao ni tofauti na za kwetu,Wao wanabakisha ka kijinyama kidogo Kwa ajili ya kutekenya kipindi cha Ku sex,

Nafikiria ndio Maana wazungu wanawapenda Sana Maasai.

Nyie wakina dada mnatakiwa mtoe ushuhuda wa ukweli ipi ni tamu Sana Kati ya govi, tohara ya kawaida , na tohara ya maasai
 
Kwa uelewa wangu mm tohara is for sex fantasy Tu.
Maasai tohara zao ni tofauti na za kwetu,Wao wanabakisha ka kijinyama kidogo Kwa ajili ya kutekenya kipindi cha Ku sex,

Nafikiria ndio Maana wazungu wanawapenda Sana Maasai.

Nyie wakina dada mnatakiwa mtoe ushuhuda wa ukweli ipi ni tamu Sana Kati ya govi, tohara ya kawaida , na tohara ya maasai
Daaah hapo kwenye ushuhuda hapo ndio Kipengele 🙆
 
Wewe ndo una shida pahala,

Umehakikishaje kuwa Mimi ndiye niliyejibu reply Yako?

Mungu ni baba yangu, naijua sauti yake anaponijibu.
Logical non sequitur.

Mimi nisipohakikisha wewe ndiye ukiye reply hilo ndilo kinathibitisha Mungu kakujibu?

Umehakikishaje hiyo sauti unayofikiri ni ya baba yako Mungu ni ya baba yako Mungu kweli na si ndoto zako tu?
 
Logical non sequitur.

Mimi nisipohakikisha wewe ndiye ukiye reply hilo ndilo kinathibitisha Mungu kakujibu?

Umehakikishaje hiyo sauti unayofikiri ni ya baba yako Mungu ni ya baba yako Mungu kweli na si ndoto zako tu?
Wapi nimekwambia kuwa ananijibu kupitia ndoto?

Yaani kichanga kijue kutofautisha maziwa ya mama yake halisi na fake, Mimi nishindwe vp kujua sauti ya baba yangu asemapo nami?

Kwani Hilo Jina Kiranga maanake nn?
 
Wapi nimekwambia kuwa ananijibu kupitia ndoto?

Yaani kichanga kijue kutofautisha maziwa ya mama yake halisi na fake, Mimi nishindwe vp kujua sauti ya baba yangu asemapo nami?

Kwani Hilo Jina Kiranga maanake nn?
Kwani wapi nimekwambia anakujibu kupitia ndoto?

Unajua kusoma kwa ufahamu na kutumia fikra dhahania?
 
Hapana,

Nimekuuliza, unajua kusoma kwa ufahamu?

Naona hujui.
Yaezakuwa walimu wetu katika somo Hilo ni tofauti.

Ni sawa tu na watoto shuleni kutambiana Kwa utajiri wa wazazi wao.

Si sawa.
 
Habari Mkuu Proved Za Muda mrefu..
Nafurahi kukuona Tena wewe Na Rabbon ni watu ninaowaheshimu kwa Tasnia ya utetezi wa Dini yenu Hongera sana..

Ila nahisi Bado unapata Ukakasi katika kumuelewa paulo..
Na ndo maana hasa mliandikiwa pia..

2 Petro 3:16

"vile vile kama katika nyaraka zake zote(Paulo) pia, akitoa humo habari za mambo hayo; katika nyaraka hizo yamo mambo ambayo ni vigumu kuelewa nayo; na mambo hayo watu wasio na elimu, wasio imara, huyapotoa, kama vile wayapotoavyo na maandiko mengine, kwa uvunjifu wao wenyewe."

Sasa Tuendelee..
Unasema hamfungwi chini ya sheria ila unasahau kuwa Yesu hakusema mahala.popote sheria haikufungi wala kukupa maagizo kinyume cha sheria..

Vipi kuhusu Paulo?

Warumi 7:7-8,12

"Tusemeje, basi? Torati ni dhambi? Hasha! Walakini singalitambua dhambi ila kwa sheria; kwa kuwa singalijua kutamani, kama torati isingalisema, Usitamani.

Lakini dhambi ilipata nafasi kwa ile amri, ikafanya ndani yangu kila namna ya kutamani. Kwa maana dhambi bila sheria imekufa.


Basi torati ni takatifu, na ile amri ni takatifu, na ya haki, na njema."


Sasa mkuu Unapata wapi Ujasiri wa kusema hauko chini ya sheria na unaishi ulimwengu wa sheria?
Wayahudi wa kale waliishi chini ya sheria yaani torati, kwa Sasa ndani ya agano jipya tupo chini ya neema.....kwa torati tumeambiwa jino kwa jino au jicho kwa jicho ila ndani ya agano jipya tumeambiwa samehe 7x 70.

Warumi 6: 14
Kwa maana dhambi haitawatawala ninyi, kwa sababu hamwi chini ya sheria, bali chini ya neema.

Warumi 6: 15
Ni nini basi? Tufanye dhambi kwa sababu hatuwi chini ya sheria bali chini ya neema? Hasha!

Halafu agano la torati lilikuwa kimwili zaidi hata sheria zake nyingi zimeegemea huko ila agano jipya lipo kiroho zaidi.

Kumbuka torati ilikuwa hasa kwa ajili ya wale wa tohara pekee ndiyo maana hata walizuiwa kuoa watu wa mataifa mengine, hivyo ili Mungu atupate sote lazima lingehitajika agano jipya lisilobagua watu wowote, ambalo Kristo aligeuka mjumbe wake kwa njia ya kifo na Kufufuka.

Agano hili ndio lililotupa neema na kutuondoa kwenye vifungu vikali vya kisheria vilivyoweka ukuta na tabaka.
 
Wayahudi wa kale waliishi chini ya sheria yaani torati, kwa Sasa ndani ya agano jipya tupo chini ya neema.....kwa torati tumeambiwa jino kwa jino au jicho kwa jicho ila ndani ya agano jipya tumeambiwa samehe 7x 70.

Warumi 6: 14
Kwa maana dhambi haitawatawala ninyi, kwa sababu hamwi chini ya sheria, bali chini ya neema.

Warumi 6: 15
Ni nini basi? Tufanye dhambi kwa sababu hatuwi chini ya sheria bali chini ya neema? Hasha!

Halafu agano la torati lilikuwa kimwili zaidi hata sheria zake nyingi zimeegemea huko ila agano jipya lipo kiroho zaidi.

Kumbuka torati ilikuwa hasa kwa ajili ya wale wa tohara pekee ndiyo maana hata walizuiwa kuoa watu wa mataifa mengine, hivyo ili Mungu atupate sote lazima lingehitajika agano jipya lisilobagua watu wowote, ambalo Kristo aligeuka mjumbe wake kwa njia ya kifo na Kufufuka.

Agano hili ndio lililotupa neema na kutuondoa kwenye vifungu vikali vya kisheria vilivyoweka ukuta na tabaka.
Umesoma nilichoandika au umeandika ulichofikiri..
Umetunga swali lako na kujijibu mkuu
 
Fatilia historia ya tohara
Ilianzia israel na nia yake ilikuwa ni kuwatofautisha wana wa israel na wa ulimwengu mzima ilikuwa ni mfano wa nduwi
(ni agano kati ya wana wa israel na Mungu)

Na wanawake walitofautishwa vipi?
 
Kwa uelewa wangu mm tohara is for sex fantasy Tu.
Maasai tohara zao ni tofauti na za kwetu,Wao wanabakisha ka kijinyama kidogo Kwa ajili ya kutekenya kipindi cha Ku sex,

Nafikiria ndio Maana wazungu wanawapenda Sana Maasai.

Nyie wakina dada mnatakiwa mtoe ushuhuda wa ukweli ipi ni tamu Sana Kati ya govi, tohara ya kawaida , na tohara ya maasai
Wamasai Ni jamii ya Wayahudi Ambayo ilitoka Ethiopia..
So kwa 75% wamasai ni Wayahudi..

Kama unajua wayahudi wanavyotahiri Utanielewa na utajua ni sawa na wamasai
 
Sio lazima uridhike na kila jibu unalopewa, kubali tunatofautiana mtizamo
Ok sawa
Ila tambua kwamba aliye waambia watu wasitahiriwe ni Paulo na sio Yesu wala Mungu..
Tazama, mimi Paulo nawaambia ninyi ya kwamba, mkitahiriwa, Kristo hatawafaidia neno.

Wagalatia 5:3-6

3 Tena namshuhudia kila mtu atahiriwaye, kwamba ni wajibu wake kuitimiza torati yote.

4 Mmetengwa na Kristo, ninyi mtakao kuhesabiwa haki kwa sheria; mmeanguka na kutoka katika hali ya neema.

5 Maana sisi kwa Roho tunalitazamia tumaini la haki kwa njia ya imani.

6 Maana katika Kristo Yesu kutahiriwa hakufai neno, wala kutokutahiriwa, bali imani itendayo kazi kwa upendo...


Lakini nakukumbusha Pia soma Yakobo anasemaje kuhusu Sheria..

Yakobo 1:25-26

"Lakini aliyeitazama sheria kamilifu iliyo ya uhuru, na kukaa humo, asiwe msikiaji msahaulifu, bali mtendaji wa kazi, huyo atakuwa heri katika kutenda kwake.

Mtu akidhani ya kuwa anayo dini, wala hauzuii ulimi wake kwa hatamu, hali akijidanganya moyo wake, dini yake mtu huyo haifai."

Na pia kasome na Yakobo 2 yote..
Kiufupi wanafunzi wote walienda kinyume na watu kuikataa torati na sheria..
Imani bila matendo imekufa..
Tujenge hoja mkuu

Cc: Proved
 
Yaezakuwa walimu wetu katika somo Hilo ni tofauti.

Ni sawa tu na watoto shuleni kutambiana Kwa utajiri wa wazazi wao.

Si sawa.
Usisingizie walimu.

Wewe hujui kusoma kwa ufahamu na kufikiri kidhahania.

Nikikuuliza unajuaje Mungu amekujibu na hujaota tu hilo, unasoma hojaji hiyo kama nimekuambia umeota.

Hujui kusoma kwa ufahamu, hujui kufikiri kidhahania.
 
Kitu kikiwa illusion inamaana hakipo? Ndoto sio illusion? Haipo? Haina impact katika maisha yasiyo ya illusion?

Hapa ndipo utofauti wa tafsiri ya uwepo wa MUNGU unapotokea. Kutaka kumthibitisha katika ulimwengu usio wa kifikra, kinadharia, kiroho ilihali ulimwengu huo una limitation.
Kiukweli hapo unacheza na maneno tu.

Ndoto kwa ujumla wake ni kweli ipo, lakini kinachochezwa ndani yake ndiyo illusion yenyewe.

Yaani kama umeota unaokota hela,

Ndoto inaweza thibitika kwa kuchunguza shughuli za ubongo kwa kutumia vifaa maalumu kwamba mtu flani anaota.

Lakini kuhusu kuokota hela ndiyo hiyo illusion yenyewe.

Ndoto ni shughuli inayotokea katika ubongo, na shughuli hiyo inaelezea udanganyifu ambao hautokei katika muda huo.

God ni illusion yenyewe.

Yani ukihisi kwamba kuna dude linakuangalia muda huo unafanya mambo yako, hapo upo katika udanganyifu.

Hakuna kijana aliye hapo juu kwenye mawingu anayetuangalia.

_20230728_103154.JPG
 
Mi sitaki kusoma argument zako siku hizi maana Huwa zinanifikirisha sana
Kwamaana hyo wewe hutaki kuishi for your own princple & rule.
It's fyn kwamaana uko ndani ya uhuru wako

Ila kama utasoma threads nyingine na ukasoma arguments hizi kwa kufikiria bhasi nafikiri utakaribishwa kwenye mtazaml mpya wa kimaisha, na utaelewa vitu vingi ambavyo vimeghubikwa na hii illusion ya Mungu.

Nakumbuka zamani ulikuwa mtu hard sana, but now i think you are skeptic about the idea of God

Ila soon ntawataarifu makatibu wakuandike
Infropreneur
mshamba_hachekwi
min -me
 
Back
Top Bottom