Kwanini Mungu hakumuumba mwanaume akiwa ametahiriwa?

Kwanini Mungu hakumuumba mwanaume akiwa ametahiriwa?

Na akutokee uso kwa uso mpk ukiri kwa kinywa chako.
Mungu huyo hawezi kunitokea kwa vile Hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Mnatetea kiumbe kisicho kuwepo.

Fiction God, imaginations just an illusion.
 
Hebu nitajie swala Tano wenye matrilion mkuu niko tayar kusililiza..

Na kwanini Anyime Mtu?
Kwani yeye si mpaji na Mola wa kila kiumbe kwanini Awe na Uwezo wa kumnyima hata kwa yule aliyo waumba..
Mkuu tusirudishane kwenye Problem of Evil..
Ambayo kila siku Kiranga Anawafundisha ila hamuelewi
Aliko Dangote ni Sala Tano mkuu.
 
kile kichwa kinatakiwa kiwe ndani ya ngozi ili kuongeza sensitivity ya tendo la ndoa.

Mungu fundi mwaisaa!!
 
Uko serious Haujui au Unatania?
Ilikuwa ni Amri ya Milele kwa Vizazi vyote vya Ibra..
Kuwa baada ya siku nane ya kuzaliwa lazima wakatwe....
Hakuna Yeyeto katika kizazi hicho atabaki salama asipotahiriwa..
Kama unakumbuka hata kipindi cha Petro na Paulo mabishana yalikuwa ni Nini na Kisa cha kukorofishanaa kilikuwa ni nini?

Sasa unakumbuka mtoto wa Musa kwanini alitaka kuuliwa na Mungu? Mpaka Mkewe musa "Sipora" ilibidi amtahiri mwanaye kwa Kutumia Jiwe ndo akaachwa salama..
Kutoka 4:24-26

View attachment 2889851

Pia Kitabu cha Ezekiel

Ezekieli 32:27 NENO

"Je, hawakulala na mashujaa wengine wasiotahiriwa waliouawa, ambao wameshuka kaburini wakiwa na silaha zao za vita, ambao panga zao ziliwekwa chini ya vichwa vyao na uovu wao juu ya mifupa yao? Adhabu kwa ajili ya dhambi zao ilikuwa juu ya mifupa yao, ingawa vitisho vya mashujaa hawa vilikuwa vimeenea hadi kwenye nchi ya walio hai."

Mkuu basi jifunze sana Viko vingi vinahitajika kuhojiwa
Dah Sasa mbona kama ukatili?yaani nikiangalia kaboy kangu nikate na jiwe gumu haki nisingeweza,ningeacha tu amuue halafu na Mimi ninywe sumu😵‍💫😵‍💫
 
Mungu huyo hawezi kunitokea kwa vile Hayupo na hata uwezekano wa kuwepo kwake Haupo.

Mnatetea kiumbe kisicho kuwepo.

Fiction God, imaginations just an illusion.
What created the universe that your enjoying today?
 
Mungu hajawahi kukosea.

Mwanzo 17
11 Mtatahiriwa nyama ya magovi yenu, na jambo hilo litakuwa ishara ya agano kati ya mimi na ninyi.

12 Mtoto wa siku nane atatahiriwa kwenu, kila mwanamume katika vizazi vyenu, mzaliwa nyumbani, na mnunuliwa kwa fedha, kila mgeni asiyekuwa wa uzao wako.

13 Mzaliwa nyumbani mwako, na mnunuliwa kwa fedha yako, lazima atahiriwe; na agano langu litakuwa katika mwili wenu, kuwa agano la milele.

14 Na mwanamume mwenye govi asiyetahiriwa nyama ya govi lake, mtu yule atatengwa na watu wake; amelivunja agano langu.
Kwa hiyo kama agano lake lilikuwa yake na Israel mbona sisi jamii zingine tumevamia yasiyotuhusu au?
 
Katika uumbaji wa Mwenyezi Mungu inawezekana kuna pahala alisahau au kosea wakati wa uumbaji.

Nawaza kwa upande wa mwanadamu/mwanaume hivi ni kwa nini hakuumbwa/zaliwa akiwa tayari ameshakwisha tahiriwa?

Inawezekana huenda Mungu alisahau au kosea au mnasemaje?
Akili yako ni ndogo sana! binaadamu kila siku anaendelea kugundua aliyokuwa hayajui hapo awali, huenda siku moja tukajua faida ya mtoto kuzaliwa govi! kutokulijua jambo si makosa kwa hilo jambo kuwepo, makosa yapo katika ufinyu wa ujuzi wa asiyelijua.

Akili ndogo isikufanye kukufuru ndugu!
 
Dah Sasa mbona kama ukatili?yaani nikiangalia kaboy kangu nikate na jiwe gumu haki nisingeweza,ningeacha tu amuue halafu na Mimi ninywe sumu😵‍💫😵‍💫
Hahaha ukinywa Sumu hamtumi malaika Kuja kuchukua Roho 🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom