Kwanini Mungu hakumuumba mwanaume akiwa ametahiriwa?

Kwanini Mungu hakumuumba mwanaume akiwa ametahiriwa?

Fatilia historia ya tohara
Ilianzia israel na nia yake ilikuwa ni kuwatofautisha wana wa israel na wa ulimwengu mzima ilikuwa ni mfano wa nduwi
(ni agano kati ya wana wa israel na Mungu)
Kwamba wamaasai, wakurya , na makabila mengine ya kiafrica na wao tohara waliisoma na kuiga kutoka kwa hao wana wa Israel??
 
Katika uumbaji wa Mwenyezi Mungu inawezekana kuna pahala alisahau au kosea wakati wa uumbaji.

Nawaza kwa upande wa mwanadamu/mwanaume hivi ni kwa nini hakuumbwa/zaliwa akiwa tayari ameshakwisha tahiriwa?

Inawezekana huenda Mungu alisahau au kosea au mnasemaje?
Upande wa Wanawake kwanini mungu hakuwaumba wakiwa tayari wamesha keketwa!!
 
Hamna makosa hapo, ni uamuzi tu kwani ni mambo madogo sana hayo kwa Mungu
Kuna vingi tu ameviachia, mfano; tunaendelea kukata Kucha, tunanyoa Nywele, tunakwenda haja, period nk Angetaka angeweza kufanya vyovyote vile ila akaviachia tu....
Hiyo havihusiani maana unavyokua navyo vinakua.
Govi aliumba ukazaliwa nalo alafu kwenye vitabu vyake anasema ni najisi ukiwa nalo. Sasa kwa nini akuumbe na kitu ambacho uwezo wa kjrekebosha huku huko anao alfu aje kukanusha tena
 
Mkuu ndiyo maana mafundisho ya madhehebu yanakataza kuhoji hoji sana uumbaji wa M/Mungu, kumbe walikuwa na maana!

Mkuu pamoja na usomi wako wote huo, haujui maana na kazi ya govi kwenye uume?, ngashangaa!

Elewa kuwa wewe uliyetahiriwa na yule mwenye govi, ule utamu (msisimko)anaoambulia kwenye tendo, yeye anafaidi zaidi kuliko wewe mjando ambaye ulishaota sugu.

Hilo la kwanza, la pili ni kwamba, binadamu nimnyama, aliumbwa uchi, hizi nguo ni teknolojia tu.

Kwa hiyo govi nia 'ala' ya kuhifadhia hiyo sehemu nyeti ili isiweze athiriwa na changamoto za kimazingira.

Kwanini haujiulizi kucha, zamkononi utasema za kujikunia, je za miguuni ni za nini, ndevu, mavuzi na manyoya ya mwilini ni ya nini.

Binadamu ni mnyama kama walivyo wanyama pori wengine
Sawa ila kqa nini aumbe alafu vitabu akanushe alichounba
 
Si kweli kwamba Mungu yupo.

Ila ni kweli imani ya kwamba Mungu yupo ipo.

Kama maelezo yangu ni batili, thibitisha uwepo wa Mungu huyo.

Nlitaka nkwamie tu kwamba bado Hujamjibu alichouliza.

Swali lake linajieleza vzuri.

Waweza mjibu swali lake maana hata mimi nasubiri majibu ya alichokiuliza.
Uzidi kubarikiwa
 
Upande wa Wanawake kwanini mungu hakuwaumba wakiwa tayari wamesha keketwa!!
Hiyo haina mashiko.
Hoja hapa aliumba mwanaume akiwa na govi alafu akaja kukanusha kwenye vitabu kuwa kuwa nalo ni najisi.
Sasa kama alikua anajua hivyo si angeumba alitoe kabisa mtu akizaliwa awe safi?
 
Na unapoelekea utatuuliza kwanini hakuweka Tako likawa Moja ila ameamua kuyapasua yawe mawili ni upotevu wa muda,na angeweka Moja muda utakaopatikana huenda angetumia hata kujipumzikia,itoshe kusema Mungu yupo na uamini hivyo pia Baki na jibu Kila alichoumba ana kusudi lake kujiuliza sana mwisho ni kufuru na kufuru ni Jahannam.
kumbe huwa anachoka kiasi cha kupumzika?
 
Mwenyezi Mungu fundi mkuu yule anajua kuliko we hujiulzi mwembe mti mkubwa vile kkn ukapewa matunda madogo lkn tikitki maji na kutambaa kwake ukapewa matunda makubwa sasa fikiria mwembe ndio ungepewa matunda saizi ya tikitimaji alafu uwe unapita likudondokee kichwani ingekuwaje mkuu TUMCHE MUNGU YUPO.
Kwa logic hiyo, vipi kuhusu fenesi?

Mungu huyo hayupo katika uhalisia.

Kwasababu Sheria za science zipo.
Ulimwengu utaendelea kujiumba kutoka kwenye kutokuwepo.

Hakuna haja ya kuwepo kwa muumbaji
 
Yeah lazma ujiulize pia Fikiria kama duniania kuna Mtu anamiliki Trilion Dollars halafu kuna mwingine hana hata Senti hamsini ya kipange au Shilingi Ya duara..

halafu yule mwenye Trilion Haujui msikiti wala Kanisa ila yule asiye kitu anashinda msikitini au kanisani kuomba na kuabudu kwa dhati ila hana analopata..
Mkuu kuna vitu vinafikirisha sana kuvijibu ila Jaribu kuwaza
Point [emoji4]
 
Na unapoelekea utatuuliza kwanini hakuweka Tako likawa Moja ila ameamua kuyapasua yawe mawili ni upotevu wa muda,na angeweka Moja muda utakaopatikana huenda angetumia hata kujipumzikia,itoshe kusema Mungu yupo na uamini hivyo pia Baki na jibu Kila alichoumba ana kusudi lake kujiuliza sana mwisho ni kufuru na kufuru ni Jahannam.
Ahahahahah tako moja tenaa
 
Back
Top Bottom