Kwanini Mungu hakumuumba mwanaume akiwa ametahiriwa?

Kwanini Mungu hakumuumba mwanaume akiwa ametahiriwa?

Katika uumbaji wa Mwenyezi Mungu inawezekana kuna pahala alisahau au kosea wakati wa uumbaji.

Nawaza kwa upande wa mwanadamu/mwanaume hivi ni kwa nini hakuumbwa/zaliwa akiwa tayari ameshakwisha tahiriwa?

Inawezekana huenda Mungu alisahau au kosea au mnasemaje?
Utakujakuuliza kwanini hakuumbwa akiwa amevaa nguo, au akiwa tayari ameshashiba kiasi cha kutohitaji kula tena au utakuja kuuliza kwanini hakuumbwa na pumzi ya kumtosha maisha yake yote badala ya sasa anavyopomua kila sekunde
 
Inasemekana wakati anakagua kiumbe alichokua amemalizia,mwanaume yule alijiangalia akaona isiwe tabu,katoka nduki. Na zoezi lililokuwa limebaki tu lilikuwa hilo.
Au una wazo🤣🤣🤣🤣🤣
 
Katika uumbaji wa Mwenyezi Mungu inawezekana kuna pahala alisahau au kosea wakati wa uumbaji.

Nawaza kwa upande wa mwanadamu/mwanaume hivi ni kwa nini hakuumbwa/zaliwa akiwa tayari ameshakwisha tahiriwa?

Inawezekana huenda Mungu alisahau au kosea au mnasemaje?
Hakuna aliye mkamilifu.

Ukisoma vizuri hadithi za miungu utaona namna waamini wanavyokubali mikinzano.

Inaonesha kuwa Mungu hakuwa mkamilifu na alikosea.

Hakuwa na maana yeyote kuumba govi then uje ulikate wewe kwa maumivu.

Mungu huyo hawezekaniki kwa namna yeyote ile.
 
Mwenyezi Mungu fundi mkuu yule anajua kuliko we hujiulzi mwembe mti mkubwa vile kkn ukapewa matunda madogo lkn tikitki maji na kutambaa kwake ukapewa matunda makubwa sasa fikiria mwembe ndio ungepewa matunda saizi ya tikitimaji alafu uwe unapita likudondokee kichwani ingekuwaje mkuu TUMCHE MUNGU YUPO.
 
Na unapoelekea utatuuliza kwanini hakuweka Tako likawa Moja ila ameamua kuyapasua yawe mawili ni upotevu wa muda,na angeweka Moja muda utakaopatikana huenda angetumia hata kujipumzikia,itoshe kusema Mungu yupo na uamini hivyo pia Baki na jibu Kila alichoumba ana kusudi lake kujiuliza sana mwisho ni kufuru na kufuru ni Jahannam.
Nyie mazee nmecheka ksng hahah kwamb tako moja afu liwe mgongon ili iwe rahis kulibeba
 
Utakujakuuliza kwanini hakuumbwa akiwa amevaa nguo, au akiwa tayari ameshashiba kiasi cha kutohitaji kula tena au utakuja kuuliza kwanini hakuumbwa na pumzi ya kumtosha maisha yake yote badala ya sasa anavyopomua kila sekunde
Jibu kwaza lililo mezani hayo mengine hayakuulizwa
 
Utakujakuuliza kwanini hakuumbwa akiwa amevaa nguo, au akiwa tayari ameshashiba kiasi cha kutohitaji kula tena au utakuja kuuliza kwanini hakuumbwa na pumzi ya kumtosha maisha yake yote badala ya sasa anavyopomua kila sekunde
Huko ni kwingine maana kwenye ku tairi kaumba alafu kaja kukemea kwwnye vitabu kama usipotairi tayari ni kosa.
Kama alikua anajua hivyo kwa nini asimalize huku huko ili mtu akija awe tayari hana dosari
 
Katika uumbaji wa Mwenyezi Mungu inawezekana kuna pahala alisahau au kosea wakati wa uumbaji.

Nawaza kwa upande wa mwanadamu/mwanaume hivi ni kwa nini hakuumbwa/zaliwa akiwa tayari ameshakwisha tahiriwa?

Inawezekana huenda Mungu alisahau au kosea au mnasemaje?
Ili kuleta tofauti Kati ya wasukuma na sisi wastaarabu.
 
Hakuna aliye mkamilifu.

Ukisoma vizuri hadithi za miungu utaona namna waamini wanavyokubali mikinzano.

Inaonesha kuwa Mungu hakuwa mkamilifu na alikosea.

Hakuwa na maana yeyote kuumba govi then uje ulikate wewe kwa maumivu.

Mungu huyo hawezekaniki kwa namna yeyote ile.
Uzidi kubarikiwa mkuu
 
Back
Top Bottom