Kwanini Mungu hakumuumba mwanaume akiwa ametahiriwa?

Kwanini Mungu hakumuumba mwanaume akiwa ametahiriwa?

Mtoa mada kauliza swali zuri sana. Kwa nini tunatoa

Mimi nishawahi kujiuliza pia maana point kubwa niliyowahi kupewa ni usafi na kingine kuepuka aibu

Pia kuna watu wanaamini kumkata mtoto mapema huathiri ukuaji wa uume

Which is which mkuu, maana unaweza kuta kuna muda sahihi wa kuikata kama wazee wetu wa zamani waliokatiwa jandoni. Lakini siku hizi watoto wachanga wanakatwa

Je, honi tukipata faida yake pengine inaweza toa conclusion ya ikatwe ama isikatwe na kama itakatwa bhasi iwe katika umri gani
Nawaza kumkata mtoto wa miezi 7 bado sijapata maamuzi
 
Katika uumbaji wa Mwenyezi Mungu inawezekana kuna pahala alisahau au kosea wakati wa uumbaji.

Nawaza kwa upande wa mwanadamu/mwanaume hivi ni kwa nini hakuumbwa/zaliwa akiwa tayari ameshakwisha tahiriwa?

Inawezekana huenda Mungu alisahau au kosea au mnasemaje?
Aisee, inafikirisha sana sana hii ishu.
 
Hahaaaaaaaa,mbingu na dunia aliziumba,asahau kitu kidogo Kama hicho.Mungu aliumba akamaliza tunayo kazi ya kujiumba kuwa Kama yeye Mfano Yesu alijiumba akawa Kama Mungu.
Au alikua kachoka labda
 
Mungu hajawahi kukosea.

Mwanzo 17
11 Mtatahiriwa nyama ya magovi yenu, na jambo hilo litakuwa ishara ya agano kati ya mimi na ninyi.

12 Mtoto wa siku nane atatahiriwa kwenu, kila mwanamume katika vizazi vyenu, mzaliwa nyumbani, na mnunuliwa kwa fedha, kila mgeni asiyekuwa wa uzao wako.

13 Mzaliwa nyumbani mwako, na mnunuliwa kwa fedha yako, lazima atahiriwe; na agano langu litakuwa katika mwili wenu, kuwa agano la milele.

14 Na mwanamume mwenye govi asiyetahiriwa nyama ya govi lake, mtu yule atatengwa na watu wake; amelivunja agano langu.
Ndio nauliza kwa nini hakutairi kabisa huko hadi tuje kuingia gharama zisizokua na mipango?
 
Ipo siku utajiuliza kwanini hukuumbwa mwanamke
Hizi akili hizi💆‍♀️

Siyo kila jambo ni kufuru. Mungu ametupa akili ya kutafakari.
Kwa mfano leo tunaaminishwa kuwa milima ni matokeo ya nguvu za dunia hususan mlipuko wa volkano na kuzalisha milima..

Lakini hakuna scientific proof kuhusu hili zaidi ya kutaja mamiliona ya miaka kuhusu uwepo wa hayo mamilima.

Hivyo suala la kukata govi ingawa lilikuwa ni kwa minajili ya torati, ni muhimu kujifunza kusudi la Mungu kutuumba wanaume na sweta kisha tunaambiwa tuikate
 
I speak what I know, indeed I have a plan
I will wait for you to join my plan.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120] All being are mine.
Asipoelewa basi tena
 
Katika uumbaji wa Mwenyezi Mungu inawezekana kuna pahala alisahau au kosea wakati wa uumbaji.

Nawaza kwa upande wa mwanadamu/mwanaume hivi ni kwa nini hakuumbwa/zaliwa akiwa tayari ameshakwisha tahiriwa?

Inawezekana huenda Mungu alisahau au kosea au mnasemaje?
Bila shaka Tumemwumba mtu
kwa rasimu iliyo bora kabisa miongoni mwa rasimu za uumbaji.
95:4 Qur'an

images (19).jpeg
 
Katika uumbaji wa Mwenyezi Mungu inawezekana kuna pahala alisahau au kosea wakati wa uumbaji.

Nawaza kwa upande wa mwanadamu/mwanaume hivi ni kwa nini hakuumbwa/zaliwa akiwa tayari ameshakwisha tahiriwa?

Inawezekana huenda Mungu alisahau au kosea au mnasemaje?
Hakusahau wala kukosea kiungo chochote. Sema wanadamu tunaona umuhimu au athari za hiyo ngozi, tukaamua kuitoa.

Sent from my moto g 5G (2022) using JamiiForums mobile app
 
Siyo kila jambo ni kufuru. Mungu ametupa akili ya kutafakari.
Kwa mfano leo tunaaminishwa kuwa milima ni matokeo ya nguvu za dunia hususan mlipuko wa volkano na kuzalisha milima..

Lakini hakuna scientific proof kuhusu hili zaidi ya kutaja mamiliona ya miaka kuhusu uwepo wa hayo mamilima.

Hivyo suala la kukata govi ingawa lilikuwa ni kwa minajili ya torati, ni muhimu kujifunza kusudi la Mungu kutuumba wanaume na sweta kisha tunaambiwa tuikate
Khaswaaa...
 
😁😁😁😁😁 Umenivunja mbavu mkuu kwamba inawezekana tako ni moja tu😁😁😁
Yep! Ila kwasababu kila jicho linatizama kivyake ndio maana unayaona kama mawili hivi. 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🚬🚬🚬🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️
 
Yep! Ila kwasababu kila jicho linatizama kivyake ndio maana unayaona kama mawili hivi. 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🚬🚬🚬🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️🏃🏾‍♂️
😁😁😁😁😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom