Kwanini Mungu hakumuumba mwanaume akiwa ametahiriwa?

Kwanini Mungu hakumuumba mwanaume akiwa ametahiriwa?

Sawa ila anavyoumba alafu baadae tunapelekwa tena jando kwa gharama sasa kwani asingemaliza huku huko kwenye uumbaji
Mungu mjuzi wa yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote angekuwa yupo, hata magonjwa yasingekuwapo.

Asingetubania kwa kutuumba halafu tuhangaike na magonjwa.

That is a contradiction.

Kuwepo kwa magonjwa kunaonesha Mungu huyo hayupo.
 
Ndiyo maana Pana zaka na sadaka,muajiri na muajiriwa..ili kubalance,halafu uislam hautaku mtu ashinde msikitini,unataka akafanye kazi,Kuna muda wa swala na kazi,Kuna watu swala Tano,wema na Wana matrilioni,mwenyezi Mungu humpa amtakae na kumnyima amtakae
Hebu nitajie swala Tano wenye matrilion mkuu niko tayar kusililiza..

Na kwanini Anyime Mtu?
Kwani yeye si mpaji na Mola wa kila kiumbe kwanini Awe na Uwezo wa kumnyima hata kwa yule aliyo waumba..
Mkuu tusirudishane kwenye Problem of Evil..
Ambayo kila siku Kiranga Anawafundisha ila hamuelewi
 
Kabla ya kujiuliza kwa nini Mungu aliumba govi lazma tujiulize je, halina faida yoyote na kuna utofauti gani kati ambaye aliyenayo na ambae hana ukiachilia hii hali ya watu kuhisi aibu kama hawajatahiriwa
Govi uchafu,labda Kama hukuwa hi kuishi nalo,ukilipichua hivi sharti nzi waje,utoko nk,halafu madem wa kizungu wananyonya tu
 
Utakosoa Kila kitu mbona hakumuumba Akiwa na meno??
Mtoa mada kauliza swali zuri sana. Kwa nini tunatoa

Mimi nishawahi kujiuliza pia maana point kubwa niliyowahi kupewa ni usafi na kingine kuepuka aibu

Pia kuna watu wanaamini kumkata mtoto mapema huathiri ukuaji wa uume

Which is which mkuu, maana unaweza kuta kuna muda sahihi wa kuikata kama wazee wetu wa zamani waliokatiwa jandoni. Lakini siku hizi watoto wachanga wanakatwa

Je, honi tukipata faida yake pengine inaweza toa conclusion ya ikatwe ama isikatwe na kama itakatwa bhasi iwe katika umri gani
 
Na unapoelekea utatuulia kwanini hakuweka Tako likawa Moja ila ameamua kuyapasua yawe mawili ni upotevu wa muda,na angeweka Moja muda utakaopatikana huenda angetumia hata kujipumzikia,itoshe kusema Mungu yupo na uamini hivyo pia Baki na jibu Kila alichoumba ana kusudi lake kujiuliza sana mwisho ni kufuru na kufuru ni Jahannam.
Ko n kwamba MUNGU hakukosea kutuumba na ngozi ya mbele ya dudu(govi)
 
Govi uchafu,labda Kama hukuwa hi kuishi nalo,ukilipichua hivi sharti nzi waje,utoko nk,halafu madem wa kizungu wananyonya tu
Kwa hiyo shida ni kumantain usafi lakini mbona hata jinsia ya pili, viungo btao hupewa extra care ijapokuwa nao kwenye baadhi ya sehemu hutolewa sehemu baadhi ya uke kwa justifications tofauti tofauti. Sasa je, govi kina faida gani katika reproductive system ya mwanaume

Hilo ni swali natamani nipewe majibu
 
kwanini hakuweka Tako likawa Moja ila ameamua kuyapasua yawe mawili
Na hapa alipoya pasua pasu yawe mawil ,shida ndipo ilipo mpaka leo. Maana ile tetemente kama maini kwenye mfuko wa rambo isingekuepo yasingepasuliwa
 
🔹 Mila Zina nafasi Yake katika mabadiliko na afya na uhai wa watu

🔹Tangu tumeachana na tohara za jadi ndio matatizo ya nguvu za uzazi kwa wanaume yameongezeka

🔹Tangu tumeachana na tohara za wanawake ndio ongezeko la kuvunjika kwa ndoa,wanawake micharuko na matatizo mengi ya kujifungua kwa oparesheni yameongezeka. Tumeacha Mila zetu za asili in favour of west and oriental cultures zilizojificha kwenye koti kubwa la dini zao na the so called technology au haki za binaadamu

🔹Naangalia mashindano ya mpira wa miguu wa nchi za Asia kati ya Japan na Bahrain zinazofanyika huko uarabuni simuoni mwanamke hata mmoja uwanjani, ni madume watupu. Hao ndio watu tuliochagua kupiga tamaduni zao.
 
Kama lina faida kwanini aliagiza liondolewe na aliwaua wale waliokuwa hawajaondoa

Na ukristu wangu sikuwahi kujua kama aliagiza watu wenye govi wauawe, au govi huchukuliwa kama hedhi kwa wanawake. Maana kitambo hicho, mwanamke haikaribii madhabahu akiwa mwezini kwa sababu ya "usafi"
 
Bakhressa,sheikh laden,amir Qatar, UAE nk
MKuu umetaja waarabu au walioshika Dini?
Maana waarabu ni utaifa na sio Dini..
Bakhressa hata Sigda hana inakuaje unamtaja kama Khamsa salawat?
Kingine hata elimy yake ya Dini tu hafai kuitwa hata mwanazuoni hata wa Chochote katika dinu ya kiislam sio fiqhi wala chochote..
Kigezo chako ni kipi?
 
Na unapoelekea utatuulia kwanini hakuweka Tako likawa Moja ila ameamua kuyapasua yawe mawili ni upotevu wa muda,na angeweka Moja muda utakaopatikana huenda angetumia hata kujipumzikia,itoshe kusema Mungu yupo na uamini hivyo pia Baki na jibu Kila alichoumba ana kusudi lake kujiuliza sana mwisho ni kufuru na kufuru ni Jahannam.
Ila mimi nahisi tako ni moja, ila kwasababu kila jicho linaangalia kwa upande wake ndio unahisi yako mawili 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🚬🚬🚬
 
Hakuna maandiko yanayo sema mungu ni mpuuzi Bari Kuna perfect GOD"hapo kuhusu tohara utajiongeza mkuu,,

Nina Anza kuwa na wasiwasi na vifaa vya kufanyia tohara na muunganiko wa ongezeko la maambukizi ya ukimwi dunian tangu ukimwi utangazwe duniani Nina Anza kuwa na wasi wasi kwamba huenda

TOHARA,HIV,ARVS,&GBTL,&VIFAA VYA KUFANYIA TOHARA,COVID,19

hawa wote watakuwa wamezaliwa na mama mmoja na kazi yao kubwa nikupunguza idadi ya watu duniani

Simwamini mtu mweupe na siji kumwamini
 
Back
Top Bottom