DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Kama lina faida kwanini aliagiza liondolewe na aliwaua wale waliokuwa hawajaondoaKabla ya kujiuliza kwa nini Mungu aliumba govi lazma tujiulize je, halina faida yoyote na kuna utofauti gani kati ambaye aliyenayo na ambae hana ukiachilia hii hali ya watu kuhisi aibu kama hawajatahiriwa
Mungu mjuzi wa yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote angekuwa yupo, hata magonjwa yasingekuwapo.Sawa ila anavyoumba alafu baadae tunapelekwa tena jando kwa gharama sasa kwani asingemaliza huku huko kwenye uumbaji
Hebu nitajie swala Tano wenye matrilion mkuu niko tayar kusililiza..Ndiyo maana Pana zaka na sadaka,muajiri na muajiriwa..ili kubalance,halafu uislam hautaku mtu ashinde msikitini,unataka akafanye kazi,Kuna muda wa swala na kazi,Kuna watu swala Tano,wema na Wana matrilioni,mwenyezi Mungu humpa amtakae na kumnyima amtakae
Govi uchafu,labda Kama hukuwa hi kuishi nalo,ukilipichua hivi sharti nzi waje,utoko nk,halafu madem wa kizungu wananyonya tuKabla ya kujiuliza kwa nini Mungu aliumba govi lazma tujiulize je, halina faida yoyote na kuna utofauti gani kati ambaye aliyenayo na ambae hana ukiachilia hii hali ya watu kuhisi aibu kama hawajatahiriwa
Vp uhalali wa sisi tusio wana wa israel kujihusisha na tohara...?Fatilia historia ya tohara
Ilianzia israel na nia yake ilikuwa ni kuwatofautisha wana wa israel na wa ulimwengu mzima ilikuwa ni mfano wa nduwi
(ni agano kati ya wana wa israel na Mungu)
Unataka wa Tanzania au nje!?Hebu nitajie swala Tano wenye matrilion mkuu niko tayar kusililiza
Mtoa mada kauliza swali zuri sana. Kwa nini tunatoaUtakosoa Kila kitu mbona hakumuumba Akiwa na meno??
Wowote mkuuUnataka wa Tanzania au nje!?
Ko n kwamba MUNGU hakukosea kutuumba na ngozi ya mbele ya dudu(govi)Na unapoelekea utatuulia kwanini hakuweka Tako likawa Moja ila ameamua kuyapasua yawe mawili ni upotevu wa muda,na angeweka Moja muda utakaopatikana huenda angetumia hata kujipumzikia,itoshe kusema Mungu yupo na uamini hivyo pia Baki na jibu Kila alichoumba ana kusudi lake kujiuliza sana mwisho ni kufuru na kufuru ni Jahannam.
Huyo kaenda chaka Tohara haihusiki na IsraelVp uhalali wa sisi tusio wana wa israel kujihusisha na tohara...?
Kwa hiyo shida ni kumantain usafi lakini mbona hata jinsia ya pili, viungo btao hupewa extra care ijapokuwa nao kwenye baadhi ya sehemu hutolewa sehemu baadhi ya uke kwa justifications tofauti tofauti. Sasa je, govi kina faida gani katika reproductive system ya mwanaumeGovi uchafu,labda Kama hukuwa hi kuishi nalo,ukilipichua hivi sharti nzi waje,utoko nk,halafu madem wa kizungu wananyonya tu
Na hapa alipoya pasua pasu yawe mawil ,shida ndipo ilipo mpaka leo. Maana ile tetemente kama maini kwenye mfuko wa rambo isingekuepo yasingepasuliwakwanini hakuweka Tako likawa Moja ila ameamua kuyapasua yawe mawili
Bakhressa,sheikh laden,amir Qatar, UAE nkWowote mkuu
Kama lina faida kwanini aliagiza liondolewe na aliwaua wale waliokuwa hawajaondoa
MKuu umetaja waarabu au walioshika Dini?Bakhressa,sheikh laden,amir Qatar, UAE nk
Bali imekaa vpHuyo kaenda chaka Tohara haihusiki na Israel
Ila mimi nahisi tako ni moja, ila kwasababu kila jicho linaangalia kwa upande wake ndio unahisi yako mawili 😆😆😆😂😂😂🤣🤣🤣🚬🚬🚬Na unapoelekea utatuulia kwanini hakuweka Tako likawa Moja ila ameamua kuyapasua yawe mawili ni upotevu wa muda,na angeweka Moja muda utakaopatikana huenda angetumia hata kujipumzikia,itoshe kusema Mungu yupo na uamini hivyo pia Baki na jibu Kila alichoumba ana kusudi lake kujiuliza sana mwisho ni kufuru na kufuru ni Jahannam.
Inahusika na uzao wote wa Ibrahimh kwa mujibu wa biblia Israel (Jacob akiwa mmoja wake)Bali imekaa vp