Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kitu gani hiki?ugoko kwa ugoko
Si ndo kuna misitu ya Amani huko?,Sasa hayo mazingira yamehariniwaje?.Mvua na laana wapi na wapi? acheni kuharibu mazingira
nasema kuna laana ndiyo mana mvua hainyeshi. sisemi mvua ni laana, NO,mvua ni baraka . Baraka hi inakosekana tangaMvua na laana wapi na wapi? acheni kuharibu mazingira
Nasikia hata huko milimani Tanga hainyeshi. hata Lushoto hakunaSi ndo kuna misitu ya Amani huko?,Sasa hayo mazingira yamehariniwaje?.
Acheni kuharibu mazingira hakuna uhusiano wowote wa kukosekana mvua na laana za watunasema kuna laana ndiyo mana mvua hainyeshi. sisemi mvua ni laana, NO,mvua ni baraka . Baraka hi inakosekana tanga
Misitu ya amani pekee haitoshi , kwahiyo msiharibu mazingiraSi ndo kuna misitu ya Amani huko?,Sasa hayo mazingira yamehariniwaje?.
Mfupa mkubwa unaoanzia kwenye goti hadi kwenye kisiginokitu gani hiki?
Uzi umeishia hapa!Ufiraji na Usenge Umezidi Tanga Mjini!!!Ombeni TOBA
UpoAcheni kuharibu mazingira hakuna uhusiano wowote wa kukosekana mvua na laana za watu
Mwaka 1993 nikiwa Mlingotini nilishuhudia kwa macho yangu wananchi wakimtandika mzee mmoja ili alie machozi yatoke yaguse ardhi ndo mvua inyeshe.Nchi yote inanyesha mvua isipokuwa Tanga. Kuna nini? wataalamu wa hali ya hewa tusaidieni hali hii inasababishwa na nini?
Imara kama chuma
Imani potofu hiiMwaka 1993 nikiwa Mlingotini nilishuhudia kwa macho yangu wananchi wakimtandika mzee mmoja ili alie machozi yatoke yaguse ardhi ndo mvua inyeshe.
Mzee yule alikuwa banditu kwelikweli hakutoa chozi mpaka alipokuja kuokolewa na mwenyekiti wa kijiji na mvua haikunya
Subiri msiba mzito upite, itanyesha mkimaliza maziko.Nchi yote inanyesha mvua isipokuwa Tanga. Kuna nini? wataalamu wa hali ya hewa tusaidieni hali hii inasababishwa na nini?
Unajua huwa nakuheshimu sana humu JF! sasa hiki umeandika nini? Nani kafa?Subiri msiba mzito upite, itanyesha mkimaliza maziko.