Kwanini Mwalimu Nyerere, pamoja kupewa PhD 23, tuzo lukuki, usomi na weledi vyake hakuwahi wala kupenda kuitwa daktari? Je, aliogopa au hakujua?

Kwanini Mwalimu Nyerere, pamoja kupewa PhD 23, tuzo lukuki, usomi na weledi vyake hakuwahi wala kupenda kuitwa daktari? Je, aliogopa au hakujua?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
1731018658608.png


Kwa walioishi wakati wa utawala wa baba yenu wa taifa ambaye ni kaka yangu, wanakumbuka alivyokuwa msomi, mbobezi na mwanafalsa wa aina yake.

Pamoja na hayo na kutuzwa shahada za uzamivu 23, hakuwahi kuitwa au kujiita daktari.

Je hakujua ujiko wake? Aliogopa nini na kwanini? Je hili linamaanisha na kutufunza nini? Kwa wanaotaka kujua Mwalimu alikuwa na shahada ngapi ukiongezea na zile mbili alizosomea, BONYEZA HAPA TAFADHALI.
1731018510421.png
 
Ni choice ya mtu tu, hata Obama na mkewe wako level za udaktari wa kitaaluma, lakini hawapendi kutumia utangulizi huo. Ni suala la uhuru wa kikatiba. Kwa hiyo uhuru wako wa kuchagua unachopenda, usiutumie kumchagulia mwenzako,. Maisha sio kama uniform za shule ya msingi, kwamba mfanane wote
 
View attachment 3146597

Kwa walioishi wakati wa utawala wa baba yenu wa taifa ambaye ni kaka yangu, wanakumbuka alivyokuwa msomi, mbobezi na mwanafalsa wa aina yake.

Pamoja na hayo na kutuzwa shahada za uzamivu 23, hakuwahi kuitwa au kujiita daktari.

Je hakujua ujiko wake? Aliogopa nini na kwanini? Je hili linamaanisha na kutufunza nini? Kwa wanaotaka kujua Mwalimu alikuwa na shahada ngapi ukiongezea na zile mbili alizosomea, BONYEZA HAPA TAFADHALI.
View attachment 3146595
Nyerere alikuwa msomi mwenye IQ kubwa, He was able to use his higher mental faculties to decipher issues around him using intelligence, reason, sense, brain, talent, mentality, smarts, brainpower, intellectualism, and aptitude. Hawa wengine ni takataka za intellectuality! takataka za elimu,
 
Ati daktari stive nyerere hivi maduduna ya kiafrika yanaona fahari kuitwa daktari huku hayana imoact yoyote kidunia? Akina Elon hawataki hata udaktari wa heshima lakini mamvo wanayofanya ni makubwa.
Is Elon a scientist per se? as was Abert Einstein?
 
Nyerere ALIJITAMBUA na wengine HAWAJITAMBUI. Unyenyekevu wake ulimsaidia kutawala Ego na fake identity yake ndio maana alijitosheleza na kujiamini.

Imagine kiongozi mkuu wa nchi anawaza hadharani na kuropoka kuhusu jinsia yake au uanamke wake! Unafahamu ni kwanini? Ni kwamba Ego yake imemtawala, ameshindwa kutawala Ego sababu ya low self-esteem yake. Usipojitambua utakosa kujiamini na kujikuta unategemea validation za watu wa nje ku boost hisia binafsi.
 
Ni choice ya mtu tu, hata Obama na mkewe wako level za udaktari wa kitaaluma, lakini hawapendi kutumia utangulizi huo. Ni suala la uhuru wa kikatiba. Kwa hiyo uhuru wako wa kuchagua unachopenda, usiutumie kumchagulia mwenzako,. Maisha sio kama uniform za shule ya msingi, kwamba mfanane wote
🙋‍♂️👏👏👏🙏
 
View attachment 3146597

Kwa walioishi wakati wa utawala wa baba yenu wa taifa ambaye ni kaka yangu, wanakumbuka alivyokuwa msomi, mbobezi na mwanafalsa wa aina yake.

Pamoja na hayo na kutuzwa shahada za uzamivu 23, hakuwahi kuitwa au kujiita daktari.

Je hakujua ujiko wake? Aliogopa nini na kwanini? Je hili linamaanisha na kutufunza nini? Kwa wanaotaka kujua Mwalimu alikuwa na shahada ngapi ukiongezea na zile mbili alizosomea, BONYEZA HAPA TAFADHALI.
View attachment 3146595
🤓🧠
 
Ati daktari stive nyerere hivi maduduna ya kiafrika yanaona fahari kuitwa daktari huku hayana imoact yoyote kidunia? Akina Elon hawataki hata udaktari wa heshima lakini mamvo wanayofanya ni makubwa.
Mkuu kuhusu impact inategemea na mtazamo wa mtu. Usitake kulazimisha mtazamo wako kwa watu wengine.

Kuna wasomi wengi hawana impact yoyote katika jamii ilhali kuna maamuma kibao wamefanya makubwa sana kwenye jamii.

Tuacheni dharau, walioleta hizo tuzo sio wajinga. Usisahau hizo tuzo ni halali kisheria. Stivu hajavunja sheria.
 
Mkuu kuhusu impact inategemea na mtazamo wa mtu. Usitake kulazimisha mtazamo wako kwa watu wengine.

Kuna wasomi wengi hawana impact yoyote katika jamii ilhali kuna maamuma kibao wamefanya makubwa sana kwenye jamii.

Tuacheni dharau, walioleta hizo tuzo sio wajinga. Usisahau hizo tuzo ni halali kisheria. Stivu hajavunja sheria.
Kama Mizania hapaswi kulazimisha mtazamo wake, kwanini wewe sasa unalazimisha mtazamo wako?
 
Back
Top Bottom