Kwanini Mwalimu Nyerere, pamoja kupewa PhD 23, tuzo lukuki, usomi na weledi vyake hakuwahi wala kupenda kuitwa daktari? Je, aliogopa au hakujua?

Kwanini Mwalimu Nyerere, pamoja kupewa PhD 23, tuzo lukuki, usomi na weledi vyake hakuwahi wala kupenda kuitwa daktari? Je, aliogopa au hakujua?

Katunukiwa na vyoo siyo vyuo. Ametunukiwa au amenunua toka kwenye degree mills kama akina Gwajima na Njaa Kaya?
Mkuu hizo ni hisia zako, sina unasaba na stivu na wala hatufahamiani kabisaa ili kwa hili hujaonesha tofauti ya usomi wako na influence ya Stivu, wewe umeonyesha kijicho tu!

Mkuu Gwajima ana watu ambao wameguswa na umaamuma wake!! Toka hadharani utunonyeshe watu 500 tu walioguswa na usomi wako??

Mkuu pambana na hali yako, usiwapange wala kuwapangia watu!
 
Mkuu hizo ni hisia zako, sina unasaba na stivu na wala hatufahamiani kabisaa ili kwa hili hujaonesha tofauti ya usomi wako na influence ya Stivu, wewe umeonyesha kijicho tu!

Mkuu Gwajima ana watu ambao wameguswa na umaamuma wake!! Toka hadharani utunonyeshe watu 500 tu walioguswa na usomi wako??

Mkuu pambana na hali yako, usiwapange wala kuwapangia watu!
Soma uzi vizuri utaelewa. Kama influence ni big deal basi Nyerere angeitwa daktari. Anyways, hawa wenu ni madoktari.
 
View attachment 3146597

Kwa walioishi wakati wa utawala wa baba yenu wa taifa ambaye ni kaka yangu, wanakumbuka alivyokuwa msomi, mbobezi na mwanafalsa wa aina yake.

Pamoja na hayo na kutuzwa shahada za uzamivu 23, hakuwahi kuitwa au kujiita daktari.

Je hakujua ujiko wake? Aliogopa nini na kwanini? Je hili linamaanisha na kutufunza nini? Kwa wanaotaka kujua Mwalimu alikuwa na shahada ngapi ukiongezea na zile mbili alizosomea, BONYEZA HAPA TAFADHALI.
View attachment 3146595
Mwalimu hakuwa ni mtu wa kujikweza kweza na pia alikuwa anajiamini sana na aliletwa na Mungu kwa ajili ya kuwaongoza watu wake waliochaguliwa na Mungu 🙏

The Chosen people of Tanganyika !
Na akawatunzia mali zao zote zilizokuwa Ardhini na Baharini ili wakishapata Elimu ya hizo mali zao waje wazitoe huko ziliko hata kwa kushirikiana na aliowaitaga mabeberu lakini iwe ni kwa faida ya vizazi na vizazi vya watu wake aliowapenda sana wa Tanganyika na baadaye Tanzania 🇹🇿 😳🙄🙄🙄🙄 !
 
Hakuwa na viini vya kujitweza kama hawa wengine, yeye aliamini katika usawa zaidi, hawa wa sasa wanaamini katika kuheshimiwa, kuogopwa, kunyenyekewa na tabia zingine zinazofanana na hizo
 
View attachment 3146597

Kwa walioishi wakati wa utawala wa baba yenu wa taifa ambaye ni kaka yangu, wanakumbuka alivyokuwa msomi, mbobezi na mwanafalsa wa aina yake.

Pamoja na hayo na kutuzwa shahada za uzamivu 23, hakuwahi kuitwa au kujiita daktari.

Je hakujua ujiko wake? Aliogopa nini na kwanini? Je hili linamaanisha na kutufunza nini? Kwa wanaotaka kujua Mwalimu alikuwa na shahada ngapi ukiongezea na zile mbili alizosomea, BONYEZA HAPA TAFADHALI.
View attachment 3146595
NChi za wenzetu ukisikia mtu ni PhD holder basi ujue ni elimu imelala kweli kweli sio kama huku kwenu mnakuta sijui Dr Samia sijui dkt nani halafu ukimfanyia assessment huyo Dr unaona kabisa hana cognitive reasoning, matokeo yake akikutana na situations zinazo unveil her or his low cognitive skills anaishia kuwa mbogo.
 
NChi za wenzetu ukisikia mtu ni PhD holder basi ujue ni elimu imelala kweli kweli sio kama huku kwenu mnakuta sijui Dr Samia sijui dkt nani halafu ukimfanyia assessment huyo Dr unaona kabisa hana cognitive reasoning, matokeo yake akikutana na situations zinazo unveil her or his low cognitive skills anaishia kuwa mbogo.
 
View attachment 3146597

Kwa walioishi wakati wa utawala wa baba yenu wa taifa ambaye ni kaka yangu, wanakumbuka alivyokuwa msomi, mbobezi na mwanafalsa wa aina yake.

Pamoja na hayo na kutuzwa shahada za uzamivu 23, hakuwahi kuitwa au kujiita daktari.

Je hakujua ujiko wake? Aliogopa nini na kwanini? Je hili linamaanisha na kutufunza nini? Kwa wanaotaka kujua Mwalimu alikuwa na shahada ngapi ukiongezea na zile mbili alizosomea, BONYEZA HAPA TAFADHALI.
View attachment 3146595
Na ww pia umekosa wazo la kuanzisha thread. Kwani ukiitwa Dr na usiitwe Dr itakuwa umepata au umekosa nn? Tujaribu kujadili au kuanzisha thread za maana zenye impact kwa issues za kitaifa. Mfano kikwete kuiba gesi mtwara.
 
Mkuu kuhusu impact inategemea na mtazamo wa mtu. Usitake kulazimisha mtazamo wako kwa watu wengine.

Kuna wasomi wengi hawana impact yoyote katika jamii ilhali kuna maamuma kibao wamefanya makubwa sana kwenye jamii.

Tuacheni dharau, walioleta hizo tuzo sio wajinga. Usisahau hizo tuzo ni halali kisheria. Stivu hajavunja sheria.
Stiv nimemtumia kama mfano tu. Weka wote walio pewa za burebure wamazo ita za heshima
 
View attachment 3146597

Kwa walioishi wakati wa utawala wa baba yenu wa taifa ambaye ni kaka yangu, wanakumbuka alivyokuwa msomi, mbobezi na mwanafalsa wa aina yake.

Pamoja na hayo na kutuzwa shahada za uzamivu 23, hakuwahi kuitwa au kujiita daktari.

Je hakujua ujiko wake? Aliogopa nini na kwanini? Je hili linamaanisha na kutufunza nini? Kwa wanaotaka kujua Mwalimu alikuwa na shahada ngapi ukiongezea na zile mbili alizosomea, BONYEZA HAPA TAFADHALI.
View attachment 3146595
Alijua ni ulimbukeni na misifa TU, Sasa Kila mtu anajiita dokta! Kaa darasani Iuone moto wake! Halafu yanachekelea sana!
 
Nyerere ALIJITAMBUA na wengine HAWAJITAMBUI. Unyenyekevu wake ulimsaidia kutawala Ego na fake identity yake ndio maana alijitosheleza na kujiamini.

Imagine kiongozi mkuu wa nchi anawaza hadharani na kuropoka kuhusu jinsia yake au uanamke wake! Unafahamu ni kwanini? Ni kwamba Ego yake imemtawala, ameshindwa kutawala Ego sababu ya low self-esteem yake. Usipojitambua utakosa kujiamini na kujikuta unategemea validation za watu wa nje ku boost hisia binafsi.
Validation za watu kama Mwashambwa Lucas
 
View attachment 3146597

Kwa walioishi wakati wa utawala wa baba yenu wa taifa ambaye ni kaka yangu, wanakumbuka alivyokuwa msomi, mbobezi na mwanafalsa wa aina yake.

Pamoja na hayo na kutuzwa shahada za uzamivu 23, hakuwahi kuitwa au kujiita daktari.

Je hakujua ujiko wake? Aliogopa nini na kwanini? Je hili linamaanisha na kutufunza nini? Kwa wanaotaka kujua Mwalimu alikuwa na shahada ngapi ukiongezea na zile mbili alizosomea, BONYEZA HAPA TAFADHALI.
View attachment 3146595
Angekubali kuitwa Daktari, sasa hivi bongo imgeizidi Sauzi Afrika kimaendeleo, ila kitendo cha kukazania kujiita Mwalimu kasababisha nchi iwe kama majengo ya shule za msingi vijijini
 
Watanzania tunapenda kujikweza. Si jambo la ajabu kusikia mtu akijitambulisha mimi naitwa Mr So and D
So.
 
Back
Top Bottom