Jana nimemsikia ruwaichi mahubili yake yote ni mwamposa eti anawaibia watu pesa wakati katoliki ndo balaa kwa michango.
Ruwaichi alisema eti waumini wanaenda kuombewa wakati yeye anachukua hela tu bila kufanya kazi. Sasa Mimi nilijiuliza mapadre wanakula Bure hata askofu mwenye anakunywa mapombe daily hajui yanatoka wapi kwa maana nyingine anakula jasho la waumini wanyonge wanaoogopa kufa eti wasiposali hawazikwi.
Sema mwamposa hanywi pombe ndo mana katoliki imechanganyokiwa na nyomi Ile tena asipokuwa makini TEC itamuua kwa maslahi Yao. Maaskofu wanawanyonya waumini wao sana na kinywa mapombe kwenye nyumba zao na pombe lazima uwe na mwanamke tu.
Ruwaichi alisema eti waumini wanaenda kuombewa wakati yeye anachukua hela tu bila kufanya kazi. Sasa Mimi nilijiuliza mapadre wanakula Bure hata askofu mwenye anakunywa mapombe daily hajui yanatoka wapi kwa maana nyingine anakula jasho la waumini wanyonge wanaoogopa kufa eti wasiposali hawazikwi.
Sema mwamposa hanywi pombe ndo mana katoliki imechanganyokiwa na nyomi Ile tena asipokuwa makini TEC itamuua kwa maslahi Yao. Maaskofu wanawanyonya waumini wao sana na kinywa mapombe kwenye nyumba zao na pombe lazima uwe na mwanamke tu.