Kwanini Mwamposa asiende kwenye mahosiptali kuombea wagonjwa na tukaona wanapona?

Kwanini Mwamposa asiende kwenye mahosiptali kuombea wagonjwa na tukaona wanapona?

Kutafuta sehemu ambayo utapata watu watakaokufafanulia ili uelewe sio kosa na si ujinga. Hicho unachokiamini sasa ulijifunza kwa kufundishwa ama kusoma maandiko ya watu so hakuna tofauti na kutafuta dini itakayokupa ukweli wa mambo.

Kuhusu miujiza inayofanywa na wachungaji wa sasa ni viini macho na ujasiriamali huko siko. Ila miujiza ipo na huenda hata wewe imekutokea
😂😂Asa hapo hausolve the problem of instructions...why Mungu muweza yote na mjua yote na mpenda wote awe na ubaguzi... yaani amtokee mtu mmoja afu wengine ndo tumuamini yeye by miujiza....how do yu know the difference..na hao watu wanaofunua cjui kila kukicha wanatofautiana ndo maana Kuna dini tofauti na madhehebu tofauti Kama ni kweli Mungu angekuwa anatumia watu kufikisha ujumbe...huo ujumbe ungekuwa sawa
 
Samahani wakuu, nje ya mada.
Kama Yesu alizaliwa Kwa uwezo wa roho mtakatifu, inakuaje anaingia kwenye ukoo wa Daudi?
Kuna walevi Hapa wamenibandika hili swali natokaje?
😂😂Simple...ni made up story...mathayo anataja generation 41 kutoka kwa daudi mpaka Joseph...ambapo hapo Kati Kuna watu tofauti na waliotajwa na Luka ambao ni generation 26... na zote ni David to Joseph tofauti mmoja ni from Solomon zingine ni from Nathan...Kuna watu wameforce sijui uzao wa Luke ni wa maria buh bible haisemi hivyo hata kidogo...so swali lako majibu yake ni
1. Story nzima imetungwa, bikra hawezi zaa...na hizo uzao ni formulated ili kutumizi maandiko...
2. Ukitaka kuamini one narrative unabidi ukubali the other is wrong hence bible Ina makosa
 
[emoji23][emoji23]Asa hapo hausolve the problem of instructions...why Mungu muweza yote na mjua yote na mpenda wote awe na ubaguzi... yaani amtokee mtu mmoja afu wengine ndo tumuamini yeye by miujiza....how do yu know the difference..na hao watu wanaofunua cjui kila kukicha wanatofautiana ndo maana Kuna dini tofauti na madhehebu tofauti Kama ni kweli Mungu angekuwa anatumia watu kufikisha ujumbe...huo ujumbe ungekuwa sawa
Aliyekuambia ujumbe wa Mungu unatofautiana nani?
 
Mungu unayemuomba akuepushe na accident hawezi kuwa huyohuyo anakusababishia accident.
😂😂😂So anasababisha nani... shetani... ambae Mungu kaumba na alijua atasababisha na ana uwezo wa kumzuia...still doesn't prove ur god is good
 
Aliyekuambia ujumbe wa Mungu unatofautiana nani?
1. Story ya Yesu kwenye gospels tu 4 Kuna tofauti as if ni story nne from different ppo na ndani ya hizo story Kuna contradictions pia
2. Kuna dini zaidi ya buku na each religion Ina madhehebu yake...
3. Mungu angekuwa anatokea watu na yupo mahali kote kila mahali kungekuwa na mtume mwenye neno moja dini moja na Mungu angekuwa na sifa moja...ila tunachoona ni kila mtu kuja na fikra zake na kumuita Mungu coz we can't prove otherwise..ndo maana kila kukicha watu wa dini wanapingana kuhusu biblia Quran na Mungu kiujumla
 
Na mtoto mwenye miaka miwili ..mwenye cancer ya damu...kafanya nini...au dhambi za kula tunda kina Adam...bana acheni kutetea mateso in the name of god is good sijui kama Mungu wako yupo kubali kwamba Kuna watu anawatesa kupitiliza na Kuna wengine wanafurahi all their lyf..na najua utaleta mambo ya after death cjui mwenye cancer ataenda mbinguni asa why umtese..why usimwumbe kabisa...kwani kakuomba etc
huwapatiliza kisasi hadi kizazi cha nne
 
Kupitia matokeo ya hio sauti,Cha Mungu Huwa kweli
Hii ni logical fallacy kwa sababu unatengeneza mazingira...ni sawa niseme mi ni mwalimu nimeingia darasani nimefundisha tu 1 plus 1 afu nikatoa maswali ya quadratic kwenye test...afu nasema mkifaulu ni coz nimefundisha vizuri...mkifeli ni coz hamnisikilizi...so huoni ni illogical kufanya hivyo...so mtu aseme ni vya Mungu akibahatika ndo kweli asipobahatika ndo uwongo ..bac bible sio neno la Mungu coz linakosea vitu vingi tu...😂ila utaleta machaka yako ya mafumbo cjui kiroho so naomba niache
 
huwapatiliza kisasi hadi kizazi cha nne
Sasa how is that fair...we unaona ni sawa kuadhibiwa kwa kosa la Babu yako...Tena kosa lenyewe ukute kala fenesi ila wewe unapata cancer unateseka maisha yako yote na kufa...if that's fair to u naomba maongezi yaishe
 
[emoji23][emoji23][emoji23]So anasababisha nani... shetani... ambae Mungu kaumba na alijua atasababisha na ana uwezo wa kumzuia...still doesn't prove ur god is good
Maelezo kwa mdomo hutaelewa ilifaa face to face na Bible iwepo. Hapa itakuwa kujisumbua maana wewe ulishajiandaa kitambo kubisha na kupinga
 
Maelezo kwa mdomo hutaelewa ilifaa face to face na Bible iwepo. Hapa itakuwa kujisumbua maana wewe ulishajiandaa kitambo kubisha na kupinga
😂😂😂Nimesoma hio biblia ndo maana naona utopolo..mi sio wale wa kutafuta bible verse nzuri za god is love ndo na conclude bible ni nzuri
 
Hii ni logical fallacy kwa sababu unatengeneza mazingira...ni sawa niseme mi ni mwalimu nimeingia darasani nimefundisha tu 1 plus 1 afu nikatoa maswali ya quadratic kwenye test...afu nasema mkifaulu ni coz nimefundisha vizuri...mkifeli ni coz hamnisikilizi...so huoni ni illogical kufanya hivyo...so mtu aseme ni vya Mungu akibahatika ndo kweli asipobahatika ndo uwongo ..bac bible sio neno la Mungu coz linakosea vitu vingi tu...😂ila utaleta machaka yako ya mafumbo cjui kiroho so naomba niache
Onyesha hayo makosa,ukailinganisha na kweli
 
Back
Top Bottom