Kwanini Mwamposa asiende kwenye mahosiptali kuombea wagonjwa na tukaona wanapona?

Kwanini Mwamposa asiende kwenye mahosiptali kuombea wagonjwa na tukaona wanapona?

😂😂Simple...ni made up story...mathayo anataja generation 41 kutoka kwa daudi mpaka Joseph...ambapo hapo Kati Kuna watu tofauti na waliotajwa na Luka ambao ni generation 26... na zote ni David to Joseph tofauti mmoja ni from Solomon zingine ni from Nathan...Kuna watu wameforce sijui uzao wa Luke ni wa maria buh bible haisemi hivyo hata kidogo...so swali lako majibu yake ni
1. Story nzima imetungwa, bikra hawezi zaa...na hizo uzao ni formulated ili kutumizi maandiko...
2. Ukitaka kuamini one narrative unabidi ukubali the other is wrong hence bible Ina makosa
Sawa kaka nimekuelewa
 
Ila ukumbuke kunawatu wamepona kupitia mwamposa,ila kwakua sisi hayajatugusa TUNAROPOKA TU

Siku yakikukuta utakuja kutoa ushuhuda,

Nimeshuhudia watu zaidi ya wanne Mmoja ni mama angu,kama huna interaction na mambo ya mitaani huwez jua

Ukikaa vijiwe vyako ni jf,insta,tik talk unahisi unaifahamu sana dunia
 
Hili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.

Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?

Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Unataka aumbuke?
 
Kweli wengi ni waislamu, ukibisha kaangalia wanatoka wapi
Wanatokea hii mikoa 7 katika ya 10 yenye makanisa mengi kuliko misikiti..

1701200442527.png
 
Hili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.

Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?

Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Na wajinga kila siku wanazaliwa hao ndio mtaji wa makanisani ya upigaji, wanauziwa kila kitu
 
Umesahau kuwa Mwamposa ni mganga wa kienyeji?!

Akina mama wanalubuniwa kwa ufinyu wa akili wanampelekea shida zao Mwamposa bila kujua kuwa wanaenda kupigwa na kitu kizito.

"Wajinga ndio waliwao".
 
Hili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.

Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?

Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Wagonjwa hawana pesa, pesa waliyonayo ni yakulipia matibabu. Mwamposya pamoja sala zake ziko on sale to the highest bidder. Sala za Mwamposya zinauzwa. Neno la Mungu atowale Mwamposya linauzwa. Nothing is given in the name of God but in the name of MONEY....mooni. Unajuwa Mwamposya ana matumizi makubwa kweli, kwa hiyo lazima aingize pesa. Miujiza yoote lazima walipe watu ili wakubali kutengeneza sinema la kuigiza kupona kwa miujiza. Wakishapona kwa kuigiza lazima atumie pesa kutunza siri hiyo...all that is money! Alafu wewe sijui unataka aende Muhimbili aponyeshe kwa huruma! Kwanza huo uwezo wa kuponya hana, alafu aende Muhimbili kujivua nguo! Haendi kamwe!
 
Hili ndio swali ninalojiuliza kama kweli huyu ni mchungaji wa ukweli.

Kwa mfano, kwanini tusimuone Mwamposa akiwa Ocean Road hospitali anaombea wagonjwa wa kansa na tukaona wananyanyuka vitandani au madaktari wakathibitisha kupona kwa hao wagonjwa?

Uhuru wa kuabudu umegeuka mtaji kwa wajanja wachache huku wajinga wakiwawatajirisha wenzao.
Mungu hakutembelei usipomuhitaji. Wale hawamuhitaji Mtumishi ndo mana wapo hospital
 
Ila ukumbuke kunawatu wamepona kupitia mwamposa,ila kwakua sisi hayajatugusa TUNAROPOKA TU

Siku yakikukuta utakuja kutoa ushuhuda,

Nimeshuhudia watu zaidi ya wanne Mmoja ni mama angu,kama huna interaction na mambo ya mitaani huwez jua

Ukikaa vijiwe vyako ni jf,insta,tik talk unahisi unaifahamu sana dunia
Mbona huongelei ambao hawaponi... Mimi nikisalia mbwa nipone kichwa na nikapona utasema mbwa anaponya...mbona wabongo kufikiria ni zero
 
thubutu yakeee.. akienda o.road kuwaombea wagonjwa ili wasimame watembee natembea uchi kutoka chalinze mpaka dar.. hao wa kanisani kwake kishawapanga
 
Back
Top Bottom