Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
Inasikitisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja usahasahau uone kifuatachoSasa kama Wajeda ( Wanajeshi ) wa Siku hizi wanajua Martial Arts ( Karate, Kung Fu na Judo ) Mimi kuna Mmoja wao nilimpiga Ndonga ( Kichwa ) cha maana na akakimbia na sasa ni Marafiki?
Special forces hagombei mwanamkeWale special forces usije ukajaribu. Hata kama alikuwa mchovu ila akishapita kwenye yale mafunzo huwa wanakuwa hatari. Sema special forces huwa wastaarabu... tatizo lao kwenye mademu tu. Wanakuwaga dhaifu.
Siyo kwenye mapenzi tu,hata barabarani mkipigana pasi tu na ka alteza kake lazima aite kambi nzima badala ya kuwaita traffic wenye kazi zao za ma ajali barabarani, lakini Mara nyingi wanaofanya ujinga huo ni hawa Makuruta!!Masoja huwa Wana insecurity kwenye mapenzi. [emoji1]
Kama kapigwa na anaona kaonewa,si aende tu police akafunguwe malalamiko ya kupigwa na huyo raia ili Sheria ichukuwe mkondo wake!? Sasa mnavyovyamia mtaa na kupiga hadi watu wasiokua na hatia wala ugonvi wenu uliko aanzia hawajui,huo ndiyo ustarabu gani Sasa!!??Ulitaka aombe msaada kwa raia wakati wanajua kinachofuatia? The birds of a same feathers flock together mwanangu. Na ndugu wa mwanajeshi ni mwanajeshi
Afande Chinga mwana Yanga SC lia lia yuko wapi Siku hizi? Namtafuta sana.Hahahaa nadhani ni kuweka heshima tu maana mjeda kupigwa na raia ni aibu so itatafutwa means ya kuwachezesha ngondoigwa raia kwa kuleta Kikosi kazi..... 😀 😀 😀 😀 .
Uko sahihi 100% ya Commissioned Officers wako well disciplined and very Ethical ila wenye Matatizo, Upumbavu na Ushamba ni hawa Kuruta ambao Wengi wao hata Elimu walizonazo ni Ndogo mno.Siyo kwenye mapenzi tu,hata barabarani mkipigana pasi tu na ka alteza kake lazima aite kambi nzima badala ya kuwaita traffic wenye kazi zao za ma ajali barabarani, lakini Mara nyingi wanaofanya ujinga huo ni hawa Makuruta!!
Mkuu samahani umeshawahi kupewa Mkong'oto na Mwanajeshi / Wanajeshi?Kama kapigwa na anaona kaonewa,si aende tu police akafunguwe malalamiko ya kupigwa na huyo raia ili Sheria ichukuwe mkondo wake!? Sasa mnavyovyamia mtaa na kupiga hadi watu wasiokua na hatia wala ugonvi wenu uliko aanzia hawajui,huo ndiyo ustarabu gani Sasa!!??
Kwahiyo hawatombi?Special forces hagombei mwanamke
Afande Chinga mwana Yanga SC lia lia yuko wapi Siku hizi? Namtafuta sana.
jambo lee ya wapiChinga Yupo Kanenepa balaa nilikutana naye juzi anapiga story na Bodaboda maeneo ya Jambo Lee kapiga Sare zake Green Suruali na Shati la Light green.
Kabisa, hawanaga kitu wale wajinga, ndo maana wanashindaga maporini kule kalunde kama tumbiliWanajeshi ni WACHUMBA TU