Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu ni heshima tu ya jeshi, kuna raia mtaani wanapiga mkuu, acha kabisa usijichanganye. Niliwahi shuhudia mjeda mmoja alichezea sana kichapo kwa yule jamaa, ila sema kikosi kilichokuja kwakweli ule mtaa ulitulia mpaka leo [emoji23][emoji119]Hatakiwi kuomba msaada..yani raia mmoja tu anakushinda mpaka ukawautwa mbraza ako kikosini?
Inamaana kumbe wajeshi ni wachumba tu, watu wanaogopa uniform tu
Hamna shidaNi waoga tu, kazi yenyewe siku hizi wanapata kwa connection tu. Hawana uwezo wowote.
Sijawai pata kadhia hiyo ya kupigwa na wanajeshi au mwanajeshi,ila nishapata mtihani na mwanajeshi aliyevaa kiria akiwa na gari yake barabarani, baada ya ajali ndogo tena chanzo akiwa ni yeye, kashuka tu kwa gari yake anaanza kunifokea, nikamuuliza tatizo nini!? Akasema nimemngonga na anataka gari zote ziende kambini,tena akaitaja hadi jina hiyo kambi, nikamwambia Mimi sipajui,mi ninachojua baada ya ajali traffic atapima na ndiyo tutajua Nani mwenye makosa na Bima zetu zitafanya kazi yake! Akasema unajifanya mjanjanja basi utaona, si akaanza kuitaa wenzie kutoka kambini, wenzie kufika wanaanza kwa Nini umesema gari lake bovu!? Nikasema hoja hapa ni ajali,Kama kuna Mtu mwenye sifa ya kupima ajali apime! Tulibishana sana,na kibaya zaidi hadi traffic waliogopa baada ya kuona wanajeshi wengi wamejaa alafu mi peke yangu nabishana nao, wao wanataka twende kambini kwao,mi nataka twende traffic! Tulibishana hadi kuna Mkubwa wao alikua anapita na Yuko na escort ya ma MP ndiyo akasimama, akauliza shida nini!? Baada kuelezea na akaangalia ajali yenyewe akaamrisha gari zote mbili kwanza zitoke barabarani ziwekwe pembeni alafu mazungumzo ndiyo yaendelee, baada ya kuziaachanisha gari zote mbili, na mabampa nayo yalikua yamebonyea yakarudi kwenye position yake na hakuna damage, Basi kila Mtu akaenda na safari zake! Lakini wale wanajeshi naamini walijiona ni Wajinga sana,na akili zao zilikua kwenye wizi tu wakutaka kuniibia pesa ya matengenezo hewa, bahati nzuri Mimi ajali zote huwa nawachia Watu wa Bima wa deal nazo,mi sina muda wakulipa Mtu barabarani kisa ajali wakati Nina bima!!Mkuu samahani umeshawahi kupewa Mkong'oto na Mwanajeshi / Wanajeshi?
Wasamehe.
Ndivyo wanavyofundishwa kuusaka ushindi!Inakuwaje Mtu uliyefunzwa vyema tena Kimedani/ Kivita ukiwa na Ugomvi wako na Raia kwa mfano mmegombania Mwanamke na akakuzidi Kete 'akambandua' na Wewe (Mwanajeshi) kuchezea Kichapo (Kipigo) utakachokifanya ni kwenda Kambini kuwachukua Wenzako ndiyo mje Kumchangia huyu Raia na Kumpiga?
Tafadhali King Kong III ukiwawakilisha Wajeda (Wanajeshi) Wenzako nakiomba uweke Neno lako hapa.
hii sijui huwa kwaniniInakuwaje Mtu uliyefunzwa vyema tena Kimedani/ Kivita ukiwa na Ugomvi wako na Raia kwa mfano mmegombania Mwanamke na akakuzidi Kete 'akambandua' na Wewe (Mwanajeshi) kuchezea Kichapo (Kipigo) utakachokifanya ni kwenda Kambini kuwachukua Wenzako ndiyo mje Kumchangia huyu Raia na Kumpiga?
Tafadhali King Kong III ukiwawakilisha Wajeda (Wanajeshi) Wenzako nakiomba uweke Neno lako hapa.
Kwa sababu hawana hisia?Special forces hagombei mwanamke
Hebu nao uwe unawaanzishia nyuzi kama walimu tuone 😁😁😁Mimi nishaga weka wazi, wanajeshi au askari yoyote yule akijileta zitapigwa na sitasarenda labda waniuwe ila kama sijafa nitamuuwa yeye. Hawa watu siwapendi [emoji35]
Mwanajeshi hapiganii upuuzi,hao ni wapuuzi kama wapuuzi wengine.Hata Mimi uwa nashangaa sana wakija mtaani watapiga mpaka kuku Kisa demu wake kabanduliwa
Ninachompendea Afande Chinga ni Mtu wa Bata ila ana Maendeleo makubwa ya Kimaisha na ni Mtu Muwazi na Mshauri mzuri mno wa Kimaisha.Chinga Yupo Kanenepa balaa nilikutana naye juzi anapiga story na Bodaboda maeneo ya Jambo Lee kapiga Sare zake Green Suruali na Shati la Light green.
Duh!Wale special forces usije ukajaribu. Hata kama alikuwa mchovu ila akishapita kwenye yale mafunzo huwa wanakuwa hatari. Sema special forces huwa wastaarabu... tatizo lao kwenye mademu tu. Wanakuwaga dhaifu.
Ninachompendea Afande Chinga ni Mtu wa Bata ila ana Maendeleo makubwa ya Kimaisha na ni Mtu Muwazi na Mshauri mzuri mno wa Kimaisha.
Mwambie Yule mwana Simba SC anayepiga Story katika Kijiwe cha Fundi Viatu Athumani Geti Dogo Lugalo akiwa na Mchezaji wa zamani wa Yanga SC na baadae Simba SC Shaaban Ramadhan namsalimia mno.
Mods angalia matusi hayaWanajeshi ni WACHUMBA TU
Hakuna tusi hapo mkuu hata wao wanawaita watu hivyohivyo huku mtaani.Mods angalia matusi haya