Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kawe inatizamana na Kituo cha Basi.jambo lee ya wapi
Tusi liko wapi hapo Mkuu?Mods angalia matusi haya
Huoni anaita wanajeshi wachumbaTusi liko wapi hapo Mkuu?
Sawa babaa...Hatakiwi kuomba msaada..yani raia mmoja tu anakushinda mpaka ukawautwa mbraza ako kikosini?
Inamaana kumbe wajeshi ni wachumba tu, watu wanaogopa uniform tu
Kama unalitambua hilo tulia...Uko sahihi 100% ya Commissioned Officers wako well disciplined and very Ethical ila wenye Matatizo, Upumbavu na Ushamba ni hawa Kuruta ambao Wengi wao hata Elimu walizonazo ni Ndogo mno.
Kwahiyo mwenzio akibakwa na wewe utabakwa...?Hakuna tusi hapo mkuu hata wao wanawaita watu hivyohivyo huku mtaani.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata Mimi uwa nashangaa sana wakija mtaani watapiga mpaka kuku Kisa demu wake kabanduliwa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wakija jitee hivi, kumbukeni kiapo chenu, nilimpiga akiwa hana uniform hivyo nimempiga Juma ndondocha sijaanzisha vita na Jamhuri ya muungano.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaahSasa kama Wajeda ( Wanajeshi ) wa Siku hizi wanajua Martial Arts ( Karate, Kung Fu na Judo ) Mimi kuna Mmoja wao nilimpiga Ndonga ( Kichwa ) cha maana na akakimbia na sasa ni Marafiki?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na wanatandikwa haswa na raia!!
Haogopiiiiii??? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hebu nao uwe unawaanzishia nyuzi kama walimu tuone [emoji16][emoji16][emoji16]
Kwanza anaanzajee kusemelea kwa wenzie, kuwa kapigwaaaKupigwa na kukimbilia kuita wenzake[emoji23][emoji23][emoji23]
Hivi huwa waoni aibu kabisa?
Na hapo ndo wanapozidi kujiaibisha sasa🤣🤣🤣Kumpiga mwanajeshi tena akiwa kwenye gwanda ni dharau kwa jeshi na nchi, mtu atakayefanya hivyo lazima aadhibiwe kikamilifu ndo hapo kikosi kizima kinashuka