Sio wote mkuuWakuu natumai wazima wa afya, poleni na majukumu.
Nije direct kama mada inavyo jieleza, mara nyingi nimekua nikishuhudia hafra ya kuvisha pete ya uchuma mwanaume kupiga goti chini tofauti na pete ya ndoa makanisani.
Ni utamaduni wa kiafrika,,? Ni imani za kidini,,?
Msaada kwa wajuzi wa haya mambo ,, kuna binti wa mtu kanikalia kooni kuhitaji nimvishe pete ya uchumba nisije umbuka [emoji4]
MEK_TZ
Ni ujinga wa kuiga tuWakuu natumai wazima wa afya, poleni na majukumu.
Nije direct kama mada inavyo jieleza, mara nyingi nimekua nikishuhudia hafra ya kuvisha pete ya uchuma mwanaume kupiga goti chini tofauti na pete ya ndoa makanisani.
Ni utamaduni wa kiafrika,,? Ni imani za kidini,,?
Msaada kwa wajuzi wa haya mambo ,, kuna binti wa mtu kanikalia kooni kuhitaji nimvishe pete ya uchumba nisije umbuka [emoji4]
MEK_TZ
Inayegemea ni mwanaume wa kabila gani. Mkurya na mkwere hawawez kufanya sawaWakuu natumai wazima wa afya, poleni na majukumu.
Nije direct kama mada inavyo jieleza, mara nyingi nimekua nikishuhudia hafra ya kuvisha pete ya uchuma mwanaume kupiga goti chini tofauti na pete ya ndoa makanisani.
Ni utamaduni wa kiafrika,,? Ni imani za kidini,,?
Msaada kwa wajuzi wa haya mambo ,, kuna binti wa mtu kanikalia kooni kuhitaji nimvishe pete ya uchumba nisije umbuka [emoji4]
MEK_TZ
Jamaa ana akili sana, ilikuwa mbinu yake ya kunusa mbususu ajue inanukiaje,wengi hawaelewi hii mbinu ...Alie anzisha hii kitu moto unamuunguza sana huko aliko
Sent from my TECNO KD7h using JamiiForums mobile app
Ule ni ujinga tu, unampigia magoti mwanamke ili iweje sasa?Wakuu natumai wazima wa afya, poleni na majukumu.
Nije direct kama mada inavyo jieleza, mara nyingi nimekua nikishuhudia hafra ya kuvisha pete ya uchuma mwanaume kupiga goti chini tofauti na pete ya ndoa makanisani.
Ni utamaduni wa kiafrika,,? Ni imani za kidini,,?
Msaada kwa wajuzi wa haya mambo ,, kuna binti wa mtu kanikalia kooni kuhitaji nimvishe pete ya uchumba nisije umbuka [emoji4]
MEK_TZ
Hahhaa kwani kiwaida inatakiwa iwejeHuu huwa ni Uzombie, na hufanywa na Mazombie [emoji23][emoji23]
Si utamaduni wetu huu waafrika.
Wee uko na mpenz au mke na veep mke ulimuoaje mkuuNa mazombi wengi ni wale wanaotafuta kiki kwenye mitandao.
We jamaa mkorofi sanaMimi sikupiga goti nilisimama afande na mwisho wa siku pete karudisha na mahali yangu
Hahahaha lkn imeshakuwa utaratibu sasHuo ni ubwege, ashakupiga mizinga kibao na bado unampigia goti, je ukimwoa si ndo utapiga deki.
Ukorofiiii huoNi ufedhuli tu na uzaifuView attachment 1967834
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Nimeoa mwezi wa 7 mahari nimetoa mwaka jana mwezi wa7 na sikupiga goti
Habari za mda huu. Juzi nasikiliza wasafi fm kipindi ya alfajiri ilitokea mada kuhusu usawa wa mwanaume kupiga goti wakati wa kumvalisha pete ya uchumba mwanamke au ni mwanamke ndo apige goti?
Sioni kama ni sawa mwanaume kupiga goti hasa mila za kiAfrika. Au ndo uzungu umezidi siku izi?
Mimi piaMimi nikija kuvishwa pete ntapiga mimi goti au akiniwahi basi ni bora tupige wote