Kwanini mwanaume anapiga goti anapomvisha pete ya uchumba binti?

Ningekinukisha hapo hapo ukumbini.

Si unajua drama za Black Women ?

Hizi hizo tena na accent ya Ki Nigeria.
Nimeivuta picha.Na ambavyo akina mama wa Kiafrika hawapendi watoto wao wa kiume wajidhalilishe mbele ya jamii,sijui ingekuwaje hapo!
 
Tunaepuka shari mapema kwa kuwapa watoto wetu malezi ya kiume.

Wajijue kwamba wao ndo kiumbe superior chini ya jua hawapigi pigi goti ovyo labda kwa Muumba wao.
Shukrani sana.Kama mwanakamati,naomba sauti iwe ya juu zaidi.Maana hawa vijana wetu usikivu na utendaji wa kimaadili upo chini.
 
Tunaepuka shari mapema kwa kuwapa watoto wetu malezi ya kiume.

Wajijue kwamba wao ndo kiumbe superior chini ya jua hawapigi pigi goti ovyo labda kwa Muumba wao.
Cha kushangaza utakuta Baba na mama nao wako kwenye tukio wakishuhudia kijana wao tena mtu wa gym akipiga magoti mbele ya mdada...
 
Cha kushangaza utakuta Baba na mama nao wako kwenye tukio wakishuhudia kijana wao tena mtu wa gym akipiga magoti mbele ya mdada...
Kosa kubwa.Tusiwaache vijana wakajifanyia tu mambo yao hovyohovyo.Filamu zinawaharibu.Tujipe muda wa kukaa nao na kuwapa miongozo mizuri.Na rehearsals nyingi ili wasilete aibu!
 
MWANAMKE ALISHATUMIKA MBELE NA NYUMA
KAPAKATWA MPAKA NA VIBABU
LEO UNAPIGA GOTI, UNALIA MACHOZI, UNATOA NA KAMASI , NA KUJAMBA PIA!

NA KWENYE MAISHA YAKO HUKUWAI KUMPIGIA GOTI MAMA AU BABA YAKO.

FALA KAMA FALA!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] km kawaida yako, kupiga panapouma lol
 
Cha kushangaza utakuta Baba na mama nao wako kwenye tukio wakishuhudia kijana wao tena mtu wa gym akipiga magoti mbele ya mdada...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kwa Mungu kila goti litapigwa ila wakina rehema, mwamvua, na wenzake kwakweli kila goti litapigwa
 
Demu unalipigia magoti kumbe usiku wa kuamkia Jana kumbe limetoka kutandikwa mijeredi na waajemi lipo limechokaaaaa nyonga na upuuz wa unapiga goti
 
Kupiga magoti ni ishara tu ya upendo [emoji4], na si kama wanaume wengi wanavyodhani [emoji18][emoji18]
Baba yako na mama yako bila shaka wanakupenda sana. WAMESHAKUPIGIA MAGOTI MARA NGAPI ?!! (Vijisichana vya kileo ni mbuzi hamna akili)
 
Toxic Masculinity in full display here.
And thats how it ought to be. Musculinity all the fucken way hata Mungu ni Mungu baba hakunaga Mungu mama au Mungu shangazi, so yo all stupid feminists sit tight bitches.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…