Kwanini mwanaume anapiga goti anapomvisha pete ya uchumba binti?

Kwanini mwanaume anapiga goti anapomvisha pete ya uchumba binti?

MEK_TZ

Senior Member
Joined
Apr 21, 2021
Posts
179
Reaction score
365
Wakuu natumai wazima wa afya, poleni na majukumu.

Nije direct kama mada inavyo jieleza, mara nyingi nimekua nikishuhudia hafra ya kuvisha pete ya uchuma mwanaume kupiga goti chini tofauti na pete ya ndoa makanisani.

Ni utamaduni wa kiafrika,,? Ni imani za kidini,,?

Msaada kwa wajuzi wa haya mambo ,, kuna binti wa mtu kanikalia kooni kuhitaji nimvishe pete ya uchumba nisije umbuka [emoji4]

MEK_TZ
 
To propose.... kupiga magoti sio utaratibu wa kiafrika, na kupropose kwa kumvalisha pete ya uchumba sio utamaduni original wa kiafrika. Kwa makabila mengi utaratibu ilikuwa unawatuma wazee/washenga, then binti anaitwa na kuulizwa kama anakufahamu na anakukubali, akisema ndiyo basi inapangwa siku ya MAHARI, na mkishalipa mahari tu basi binti anakuwa officially mkeo. Ndo maana kwa makabila mengi, after send off upande wa mwanaume huomba familia ya mwanamke iwatunzie mke wao mpaka siku ya harusi ya kidini.

Kwa nini mwanaume kupiga magoti? Kwa mujibu wa utaratibu wa wenzetu, kupiga magoti kunamaanisha mambo mawili.

1. Kuonyesha kwamba wewe ni gentleman
2. Na ambalo ndo zito zaidi, unaonyesha kwamba kwa dakika hizo mbili tatu utakazokuwa umepiga magoti, mdada anakuwa na mamlaka kushinda wewe, maana jibu lake ndo litakalobeba mustakabali wa maisha yako.

Kwa sisi Wahehe ni mwiko kumpigia magoti mwanamke, so hata mimi sikupiga magoti.

Lakini, maadam tumeshaingiza sana Mungu kwenye tamaduni zetu, soma mazingira yako then act accordingly. Wanasema, WHEN IN ROME, DO AS THE ROMANS DO.
 
To propose.... kupiga magoti sio utaratibu wa kiafrika, na kupropose kwa kumvalisha pete ya uchumba sio utamaduni original wa kiafrika. Kwa makabila mengi utaratibu ilikuwa unawatuma wazee/washenga, then binti anaitwa na kuulizwa kama anakufahamu na anakukubali, akisema ndiyo basi inapangwa siku ya MAHARI, na mkishalipa mahari tu basi binti anakuwa officially mkeo. Ndo maana kwa makabila mengi, after send off upande wa
Thanks kwa elimu.
 
To propose.... kupiga magoti sio utaratibu wa kiafrika, na kupropose kwa kumvalisha pete ya uchumba sio utamaduni original wa kiafrika. Kwa makabila mengi utaratibu ilikuwa unawatuma wazee/washenga, then binti anaitwa na kuulizwa kama anakufahamu na anakukubali, akisema ndiyo basi inapangwa siku ya MAHARI, na mkishalipa mahari tu basi binti anakuwa officially mkeo. Ndo maana kwa makabila mengi, after send off upande wa
Hili kwangu mie litakuwa gumu 😅
 
Wakuu natumai wazima wa afya, poleni na majukumu.

Nije direct kama mada inavyo jieleza, mara nyingi nimekua nikishuhudia hafra ya kuvisha pete ya uchuma mwanaume kupiga goti chini tofauti na pete ya ndoa makanisani.

Ni utamaduni wa kiafrika,,? Ni imani za kidini,,?

Msaada kwa wajuzi wa haya mambo ,, kuna binti wa mtu kanikalia kooni kuhitaji nimvishe pete ya uchumba nisije umbuka [emoji4]

MEK_TZ
Huu huwa ni Uzombie, na hufanywa na Mazombie 😂😂
Si utamaduni wetu huu waafrika.
 
Wakuu natumai wazima wa afya, poleni na majukumu.

Nije direct kama mada inavyo jieleza, mara nyingi nimekua nikishuhudia hafra ya kuvisha pete ya uchuma mwanaume kupiga goti chini tofauti na pete ya ndoa makanisani.

Ni utamaduni wa kiafrika,,? Ni imani za kidini,,?

Msaada kwa wajuzi wa haya mambo ,, kuna binti wa mtu kanikalia kooni kuhitaji nimvishe pete ya uchumba nisije umbuka [emoji4]

MEK_TZ

Mimi sikupiga goti nilisimama afande na mwisho wa siku pete karudisha na mahali yangu
 
Ujinga tu wa kuiga

Huwezi kumpigia magoti mwanamke landa km hata hiyo mali anakulipia yeye

Ni kuonyesha jamii siwezi kusimama km mwanaume na umelogwa,zezeta ambaye ht kwenye ndoa itakuwa huna maamuzi

Kwa mwanamke si sawa maana anaonyesha unyenyekevu kwa heshima uliyompa.Tukumbuke ndoa ni ya mwanamke ,kuolewa ni heshima kwa mwanamke,kuoa ni utumwa kwa mwanaume.
 
Upuuzi mkubwa sana,mimi alikuwa anajua mapema sitafanya hivyo maana alikuwa ananiona ninavyowakandia wanaopiga goti.

Nikamuambia sasa kesho utaamua usimame ,ukae,ulale,au upige magoti wewe maana mm nitakuwa nimesimama.
Akajiongeza akapiga yeye magoti
 
Wakuu natumai wazima wa afya, poleni na majukumu.

Nije direct kama mada inavyo jieleza, mara nyingi nimekua nikishuhudia hafra ya kuvisha pete ya uchuma mwanaume kupiga goti chini tofauti na pete ya ndoa makanisani.

Ni utamaduni wa kiafrika,,? Ni imani za kidini,,?

Msaada kwa wajuzi wa haya mambo ,, kuna binti wa mtu kanikalia kooni kuhitaji nimvishe pete ya uchumba nisije umbuka [emoji4]

MEK_TZ
Ni upuuz tu km upuuz mwengine
 
Wakuu natumai wazima wa afya, poleni na majukumu.

Nije direct kama mada inavyo jieleza, mara nyingi nimekua nikishuhudia hafra ya kuvisha pete ya uchuma mwanaume kupiga goti chini tofauti na pete ya ndoa makanisani.

Ni utamaduni wa kiafrika,,? Ni imani za kidini,,?

Msaada kwa wajuzi wa haya mambo ,, kuna binti wa mtu kanikalia kooni kuhitaji nimvishe pete ya uchumba nisije umbuka [emoji4]

MEK_TZ
Kuna ndugu yangu mmoja alifanya huo upuuzi baada ya tukio tukamcheka sana [emoji3][emoji3]akachukia kafuta mawasiliano na mimi sipendi ujinga nikasema potelea pweteee
 
To propose.... kupiga magoti sio utaratibu wa kiafrika, na kupropose kwa kumvalisha pete ya uchumba sio utamaduni original wa kiafrika. Kwa makabila mengi utaratibu ilikuwa unawatuma wazee/washenga, then binti anaitwa na kuulizwa kama anakufahamu na anakukubali, akisema ndiyo basi
perfectly said
 
Back
Top Bottom