Kwanini mwanaume kukubali ukweli ni ngumu hata kama ushahidi upo mezani?

Kwanini mwanaume kukubali ukweli ni ngumu hata kama ushahidi upo mezani?

Ray 4 real

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
801
Reaction score
764
Habari wakuu, hivi ni nini kinawafanya wanaume waendelee kukataa hata baada ya kuona ushahidi instead of kuomba msamaha yakaisha?

Iko hivi mume wangu alikuwa amesafiri for almost two months kikaz Arusha akarudi J3 , Alhamis ambayo ni juzi akaniambia anaenda kuonana na rafiki yake ilikuwa mida ya sàa 11 jioni, nikamuaga na mabusu kedekede nikamwambia usichelewe Bby, akajibu sichelewi mama, akawa amerudi mida ya sàa 3 kasoro hivi.

Sasa jana asubuhi wakati nacheck kwenye suruali yake nikakuta risiti kuisoma nikakuta ni gest house na amount ambayo amelipia muda ambao alilipia ilikuwa sàa 12.5 jioni yaani exact same time aliotoka home na hapo tulikuwa tumetoka kuhit kitu cha morning glory ile tuna furaha gafra furaha yangu ikageuka huzuni.

Kumfuata kumuuliza ananiambia sio yake alimuomba boda ampe karatas aandikie baadhi ya vitu sasa hakujua kama ni ya gest, nikasema naomba simu niangalie uliowasiliana nao huo muda sikukuta mtu na huyo rafiki alosema anaenda kwako it seemed hawajatafutana kitambo maana kwenye call record wala sms hayupo.

Nikamuuliza huyo rafiki yake uliendaje bila kuwasiliana akasema mm huwa nafuta baadhi ya vitu kwenye simu nitakuwa nimefuta, ikabidi tu ninyamaze na nikainua mikono[emoji119][emoji119][emoji119].

Sasa wanaume kwann ukatae wakati kitu kipo wazi?? Sasa hamjui yaani ukikubali na ukmuomba mwenzio msamaha ni rahis kusamehe na kusahau kuliko kukataa ,unapokataa unampa uchungu kwenye moyo wake na mapenzi yanapungua siku baada ya siku..
 
Mimi bora akatae tu hivyohivyo kuliko anithibitishie kwa mdomo wake kuwa kanicheat hiyo itaniuma sana na sitasahau kabisa. Sasa hiyo itapelekea mapenzi yapungue.

Hata kama najua kafanya na ushahidi upo lakini akatae tu ila akikubali amenimaliza kabisa.

Sijui kwa wenzangu ila mimi akatae tu
 
Mimi bora akatae tu hivohivo kuliko anithibitishie kwa mdomo wake kuwa kanicheat hiyo itaniuma sana na sitasahau kabisa.Sasa hiyo itapelekea mapenzi yapungue.
Hata kama najua kafanya na ushahidi upo lakini akate tu ila akikubali amenimaliza kabisa.
Sijui kwa wenzangu ila mimi akatae tu
Wewe ni mwanamke mwema....na ndoa yako itadumu milele.

Kila mtu na aseme AAAMEEEN! 😁😁
 
Sisi tupo sinza afrikasana na gest house ipo mawasiliano kuna umbali gani hapo ??
Sasa kweli na wee unaishije Sinza na na mume kabisa wa ndoa Kama siyo kujitafutia matatizo kitendo Cha kusema mmnaishi Sinza basi Hapo Hapo nikaona lazima jamaa awe mchepukaji mzuri sanaa

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Habari wakuu, hivi ni nini kinawafanya wanaume waendelee kukataa hata baada ya kuona ushahidi instead of kuomba msamaha yakaisha?

Iko hivi mume wangu alikuwa amesafiri for almost two months kikaz Arusha akarudi J3 , Alhamis ambayo ni juzi akaniambia anaenda kuonana na rafiki yake ilikuwa mida ya sàa 11 jioni, nikamuaga na mabusu kedekede nikamwambia usichelewe Bby, akajibu sichelewi mama, akawa amerudi mida ya sàa 3 kasoro hivi.

Sasa jana asubuhi wakati nacheck kwenye suruali yake nikakuta risiti kuisoma nikakuta ni gest house na amount ambayo amelipia muda ambao alilipia ilikuwa sàa 12.5 jioni yaani exact same time aliotoka home na hapo tulikuwa tumetoka kuhit kitu cha morning glory ile tuna furaha gafra furaha yangu ikageuka huzuni.

Kumfuata kumuuliza ananiambia sio yake alimuomba boda ampe karatas aandikie baadhi ya vitu sasa hakujua kama ni ya gest, nikasema naomba simu niangalie uliowasiliana nao huo muda sikukuta mtu na huyo rafiki alosema anaenda kwako it seemed hawajatafutana kitambo maana kwenye call record wala sms hayupo.

Nikamuuliza huyo rafiki yake uliendaje bila kuwasiliana akasema mm huwa nafuta baadhi ya vitu kwenye simu nitakuwa nimefuta, ikabidi tu ninyamaze na nikainua mikono[emoji119][emoji119][emoji119].

Sasa wanaume kwann ukatae wakati kitu kipo wazi?? Sasa hamjui yaani ukikubali na ukmuomba mwenzio msamaha ni rahis kusamehe na kusahau kuliko kukataa ,unapokataa unampa uchungu kwenye moyo wake na mapenzi yanapungua siku baada ya siku..
Tatizo lenu lipo hapa;
1. Siku mwamba anakubali kosa, kosa hilo utalitamka maisha yote yaliyobaki.
2. Kosa la mwamba, mkishakasirika, huwa mnaropoka vya kuropoka huku mkilitumia kosa lake kuhalalisha kuropoka kwenu
3. Kila kosa atakalolifanya baada ya hapo, hili alilolikubali utalichukua kama reference kila kukicha.
 
Mimi bora akatae tu hivohivo kuliko anithibitishie kwa mdomo wake kuwa kanicheat hiyo itaniuma sana na sitasahau kabisa.Sasa hiyo itapelekea mapenzi yapungue.
Hata kama najua kafanya na ushahidi upo lakini akate tu ila akikubali amenimaliza kabisa.
Sijui kwa wenzangu ila mimi akatae tu
Thank you sana mke wa mtu, mke mwema..!!
Unajuwa wengine hudhani akiambiwa ukweli ndo atapona..!! Siyo kwenye kila jambo, mengine danganywa siku ziende
 
Mimi bora akatae tu hivohivo kuliko anithibitishie kwa mdomo wake kuwa kanicheat hiyo itaniuma sana na sitasahau kabisa.Sasa hiyo itapelekea mapenzi yapungue.
Hata kama najua kafanya na ushahidi upo lakini akate tu ila akikubali amenimaliza kabisa.
Sijui kwa wenzangu ila mimi akatae tu
Hata ukimkuta anamwagia ndani Bora akatae tu eti?
 
Instinct ya kwanza ya mwanaume ni kukataa na kukana. Kukiri kiri makosa na kuomba omba msamaha ni dalili ya udhaifu kwa mwanaume. Na ukikosea ukakiri ndiyo unalo sasa. Utasimangwa kwa kosa hilo hilo mpaka siku unazikwa. Shida yote hiyo ya nini? Bora kukataa tu! It wasn't me! [emoji16][emoji16][emoji16]

Soma hizi lyrics za korasi ya ngoma kali ya Shaggy iitwayo It Wasn't Me!

🎶🎶🎶
But she caught me on the counter (It wasn't me)
Saw me bangin' on the sofa (It wasn't me)
I even had her in the shower (It wasn't me)
She even caught me on camera (It wasn't me)
She saw the marks on my shoulder (It wasn't me)
Heard the words that I told her (It wasn't me)
Heard the scream get louder (It wasn't me) 🎶🎶🎶🎶
 
Habari wakuu, hivi ni nini kinawafanya wanaume waendelee kukataa hata baada ya kuona ushahidi instead of kuomba msamaha yakaisha?

Iko hivi mume wangu alikuwa amesafiri for almost two months kikaz Arusha akarudi J3 , Alhamis ambayo ni juzi akaniambia anaenda kuonana na rafiki yake ilikuwa mida ya sàa 11 jioni, nikamuaga na mabusu kedekede nikamwambia usichelewe Bby, akajibu sichelewi mama, akawa amerudi mida ya sàa 3 kasoro hivi.

Sasa jana asubuhi wakati nacheck kwenye suruali yake nikakuta risiti kuisoma nikakuta ni gest house na amount ambayo amelipia muda ambao alilipia ilikuwa sàa 12.5 jioni yaani exact same time aliotoka home na hapo tulikuwa tumetoka kuhit kitu cha morning glory ile tuna furaha gafra furaha yangu ikageuka huzuni.

Kumfuata kumuuliza ananiambia sio yake alimuomba boda ampe karatas aandikie baadhi ya vitu sasa hakujua kama ni ya gest, nikasema naomba simu niangalie uliowasiliana nao huo muda sikukuta mtu na huyo rafiki alosema anaenda kwako it seemed hawajatafutana kitambo maana kwenye call record wala sms hayupo.

Nikamuuliza huyo rafiki yake uliendaje bila kuwasiliana akasema mm huwa nafuta baadhi ya vitu kwenye simu nitakuwa nimefuta, ikabidi tu ninyamaze na nikainua mikono[emoji119][emoji119][emoji119].

Sasa wanaume kwann ukatae wakati kitu kipo wazi?? Sasa hamjui yaani ukikubali na ukmuomba mwenzio msamaha ni rahis kusamehe na kusahau kuliko kukataa ,unapokataa unampa uchungu kwenye moyo wake na mapenzi yanapungua siku baada ya siku..
Mpe pole mmeo kwa mchoko wa safari yakumuona rafiki yake.
 
Back
Top Bottom