Aaaameeeeen!!!!Wewe ni mwanamke mwema....na ndoa yako itadumu milele.
Kila mtu na aseme AAAMEEEN! 😁😁
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aaaameeeeen!!!!Wewe ni mwanamke mwema....na ndoa yako itadumu milele.
Kila mtu na aseme AAAMEEEN! 😁😁
Ni kama mtoa mada, amefanya kautafiti kake ka kuunganisha dots, amegundua mwamba kanyandua sehemu..!! Ila tu mwamba anatoa nje..!! Amepata ushahidi lakini bado akauliza..!!Kuna scenario unapata jibu haina kuuliza.
Akubali kushare de libolo....🤣🤣🤣🤣🤣Acha kuteseka dada. Usiruhusu kuteseka moyo. Haya pole
AAAMEEN!Wewe ni mwanamke mwema....na ndoa yako itadumu milele.
Kila mtu na aseme AAAMEEEN! 😁😁
Hahaha hata mie akatae kwa kweliMimi bora akatae tu hivohivo kuliko anithibitishie kwa mdomo wake kuwa kanicheat hiyo itaniuma sana na sitasahau kabisa.Sasa hiyo itapelekea mapenzi yapungue.
Hata kama najua kafanya na ushahidi upo lakini akate tu ila akikubali amenimaliza kabisa.
Sijui kwa wenzangu ila mimi akatae tu
Wee baadala ya kushukuru kuwa mwanaume wako rijali kweli kweli unaanza kumind vitu vidogo. Wake wengine jamaa akitomber huko nje akirudi ndani ya nyumba hhawezi ata dindisha.Habari wakuu, hivi ni nini kinawafanya wanaume waendelee kukataa hata baada ya kuona ushahidi instead of kuomba msamaha yakaisha?
MWANA KULIFAINDI MWANA KULIGETIAcha kuteseka dada. Usiruhusu kuteseka moyo. Haya pole
Tena katoka kummega cha asubuhi na akanyandua njeWee baadala ya kushukuru kuwa mwanaume wako rijali kweli kweli unaanza kumind vitu vidogo. Wake wengine jamaa akitomber huko nje akirudi ndani ya nyumba hhawezi ata dindisha.
Sinza kuna shida gani wanandoa kuishi?Sasa kweli na wee unajshije sinza na na mume kbsa wa ndoa Kama siyo kujitafutia matatizo kitendo Cha kusema mmnaishi sinza bas Happ Happ nikaona lzm jama awe mchepukaji mzuri sanaa
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Hawana shukrani hawaTena katoka kummega cha asubuhi na akanyandua nje
Kuuliza kwake means ushahidi haujakamilika.Ni kama mtoa mada, amefanya kautafiti kake ka kuunganisha dots, amegundua mwamba kanyandua sehemu..!! Ila tu mwamba anatoa nje..!! Amepata ushahidi lakini bado akauliza..!!
Hahaha hata mie akatae kwa kweli
Akikubali nitaumia kinyama,ukweli huwa unauma kupita maelezo...ni heri mtu akomae kukataa
Dedikesheni kwa mleta mada
Siyo kwa wanawake..!!Kuuliza kwake means ushahidi haujakamilika.
Hahaha hata mie akatae kwa kweli
Akikubali nitaumia kinyama,ukweli huwa unauma kupita maelezo...ni heri mtu akomae kukataa
Dedikesheni kwa mleta mada
Ndo hivyo, hataki anacha tu kama ni rahisi. Cheater ni cheater tu hataacha labda yesu ajeAkubali kushare de libolo....🤣🤣🤣🤣🤣
Hahaha hata mie akatae kwa kweli
Akikubali nitaumia kinyama,ukweli huwa unauma kupita maelezo...ni heri mtu akomae kukataa
Dedikesheni kwa mleta mada
Hahah Amen Shimba ya BuyenzeJojo;
Anaza mke mwema in da hausi.
Ndoa zenu zidumu wapendwa.
Can I get an Amen please? 😁😁😁🖐🖐🖐