Kwanini mwanaume kukubali ukweli ni ngumu hata kama ushahidi upo mezani?

Kwanini mwanaume kukubali ukweli ni ngumu hata kama ushahidi upo mezani?

Mshukuru Mungu mume wako ndiyo amenza, angekuwa aluwatan hiyo risiti usingeiona. Mungu amekuonyesha ili ujitathmini wewe mwenyewe wapi unakosea.
Yaani kosa lake afu nijitathmini mm?
 
Ila kudanganywa huku unaujua ukweli inauma asee,acha tu,Mimi nilikubali kudanganywa mwisho wa nilikuta na mtoto kashazaliwa hapo ndo nikaambiwa ukweli kuwa mtoto ni wake moyo ulipasuka pah,haya Mambo yasikie tu yasikukute
Huo ni ujinga wanawake tunajidanganya wenyewe yaan ushahidi upo mezani afu et mtu anakataa nawe unamuamini mm nilimbana mbona mpaka akasema ukweli and issue solved
 
Kwa mke wangu, nikikiri jambo kama hilo ndio nimevuruga kabisaaa! Bora niweke ngumu nikatae kata kata, najua atanuna ila baada ya masaa sita atainua mikono, lakini nikikiri kuwa nimezini, anafunga safari ya ghafla kuelekea kwa mama yangu
 
Cheating is a long term mediated process. Imeanza akilini muda mrefu kabla haija manifest kwenye uhalisia.

Ni zaidi ya kitendo cha kumvulia mwingine nguo na kufanya naye kile kilichopaswa kutofautisha hadhi ya mwenzi wako na wengine.

Ni msururu wa uongo juu ya uongo uliokuwa ukisema na kuishi muda wote hadi kufikia kwenye tukio, msg na maongezi ya siri, mikutano ya siri, mawazo yako hasi kuelekea kwa mwenzio (ukweli ni kuwa watu huanza kuwashusha wenzi wao thamani au kuwatoa kasoro akilini mwao kabla ya kuanza kuangaza angaza macho kwingine).

Ni kukosa kwako ari ya kuishi viapo vya uaminifu ulivyotoa, ambalo linaashiria pia hali yako ya kiroho/kiakili ilivyo. Watu wanaoishi kiholela bila kuwa na mipaka au kutoheshimu mipaka waliyodai kujiwekea huwa na mvurugo nafsini mwao. You cannot have peace when you live a contradiction.

Either live an open polygamist/polyandrous life you believe in and not take unwilling victims in the process or live your vows to be faithful. It's the victims who help maintain the cheater's sanity by staying and trying to win them over.

Ni kukosa upendo na heshima kwa mwenzio na hivyo kujifikiria mwenyewe na mahitaji yako na kudharau ya mwenzio na kutojali madhara utakayomsababishia, kama unavyoona comments "ni tamaa zangu", "hawezi kuondoka", "nitakataa na atanisamehe", "nitakuwa msiri zaidi"

Ni ishara ya mtu immature asiye na uwezo wa kufanya maamuzi. Kama ndoa imekufa achana nayo acha kuishi uongo unamdanganya Nani!

Ni ishara ya mtu asiye na empathy yani haumii kwa kuumiza wengine, na hategemei kuwajibishwa.

Ni ishara ya mtu asiyejitambua, kama wanyama haja evolve beyond the physical, anaishi ili ale, anachagua mwenyewe anakula kwanza ndo ale au ale ndo atakula, imeisha hiyo.

Ndomaana mimi najiona mwenye bahati kuwa na mume wangu wa kupuliza kwani amejua kufanya nyumba yetu kuwa kisiwa cha amani kwa kuishi ukweli wake!
 
Huo ni ujinga wanawake tunajidanganya wenyewe yaan ushahidi upo mezani afu et mtu anakataa nawe unamuamini mm nilimbana mbona mpaka akasema ukweli and issue solved
HUjawahi mropokea tena hilo jambo? Maana tatizo lenu kurudia kulaumu jambo lile lile wakati mmeshalijadili
 
Cheating is a long term mediated process. Imeanza akilini muda mrefu kabla haija manifest kwenye uhalisia.

Ni zaidi ya kitendo cha kumvulia mwingine nguo na kufanya naye kile kilichopaswa kutofautisha hadhi ya mwenzi wako na wengine.

Ni msururu wa uongo juu ya uongo uliokuwa ukisema na kuishi muda wote hadi kufikia kwenye tukio, msg na maongezi ya siri, mikutano ya siri, mawazo yako hasi kuelekea kwa mwenzio (ukweli ni kuwa watu huanza kuwashusha wenzi wao thamani au kuwatoa kasoro akilini mwao kabla ya kuanza kuangaza angaza macho kwingine).

Ni kukosa kwako ari ya kuishi viapo vya uaminifu ulivyotoa, ambalo linaashiria pia hali yako ya kiroho/kiakili ilivyo. Watu wanaoishi kiholela bila kuwa na mipaka au kutoheshimu mipaka waliyodai kujiwekea huwa na mvurugo nafsini mwao. You cannot have peace when you live a contradiction.

Either live an open polygamist/polyandrous life you believe in and not take unwilling victims in the process or live your vows to be faithful. It's the victims who help maintain the cheater's sanity by staying and trying to win them over.

Ni kukosa upendo na heshima kwa mwenzio na hivyo kujifikiria mwenyewe na mahitaji yako na kudharau ya mwenzio na kutojali madhara utakayomsababishia, kama unavyoona comments "ni tamaa zangu", "hawezi kuondoka", "nitakataa na atanisamehe", "nitakuwa msiri zaidi"

Ni ishara ya mtu immature asiye na uwezo wa kufanya maamuzi. Kama ndoa imekufa achana nayo acha kuishi uongo unamdanganya Nani!

Ni ishara ya mtu asiye na empathy yani haumii kwa kuumiza wengine, na hategemei kuwajibishwa.

Ni ishara ya mtu asiyejitambua, kama wanyama haja evolve beyond the physical, anaishi ili ale, anachagua mwenyewe anakula kwanza ndo ale au ale ndo atakula, imeisha hiyo.

Ndomaana mimi najiona mwenye bahati kuwa na mume wangu wa kupuliza kwani amejua kufanya nyumba yetu kuwa kisiwa cha amani kwa kuishi ukweli wake!
Akili kubwa sana hii mkuu,nimekuelewa sana yani
 
Back
Top Bottom