Kwanini mwanaume kukubali ukweli ni ngumu hata kama ushahidi upo mezani?

Kwanini mwanaume kukubali ukweli ni ngumu hata kama ushahidi upo mezani?

[emoji23][emoji23]daaah nimekumbuka mbali nilidakwa nime cheat na ushahidi juu mwanamke wangu kaupata wa picha na bado nilikana kuwa sijafanya hicho kitu niliruka futi 100 lakini kesi ilikuja kuisha kibishi ikabidi wife akubaliane na mimi japo kishingo upande ila yaliisha na upendo ulizidi sana
 
Papuchi moja kila siku, wiki, mwezi, mwaka, miaka inachosha mnoooooooo, cha mhimu ahudumie familia, asilete magonjwa na asihamie kwa mwingine. Ukiona anatimiza hivi mshukuru Mungu na mshukuru mmeo! Wcha upumbavu, wanaume kama wanyama wengine wote hatujaumwa kuwa na jike moja NEVER!
Sasa hapo kwenye asilete magonjwa yeye anajua katika hizo papuchi ipi itakuwa salama?? Na nyie mnasemaga pipi hailiwi na ganda??
 
Nilishawahi date na manzi fulan kuna siku akanitext ya kuwa kuna jamaa nimesoma nae asa huyo jamaa kampa story manzi ya kuwa mimi nilikuwa nawakimbiza toka darasa la kwanza hadi la saba( il ni ukweli).
We nilimbadilikia manzi nikamwambia jamaa kakudanganya huyo sio kweli. Nilikataa katakata. Mpaka mwisho nilikataa.
 
Habari wakuu, hivi ni nini kinawafanya wanaume waendelee kukataa hata baada ya kuona ushahidi instead of kuomba msamaha yakaisha?

Iko hivi mume wangu alikuwa amesafiri for almost two months kikaz Arusha akarudi J3 , Alhamis ambayo ni juzi akaniambia anaenda kuonana na rafiki yake ilikuwa mida ya sàa 11 jioni, nikamuaga na mabusu kedekede nikamwambia usichelewe Bby, akajibu sichelewi mama, akawa amerudi mida ya sàa 3 kasoro hivi.

Sasa jana asubuhi wakati nacheck kwenye suruali yake nikakuta risiti kuisoma nikakuta ni gest house na amount ambayo amelipia muda ambao alilipia ilikuwa sàa 12.5 jioni yaani exact same time aliotoka home na hapo tulikuwa tumetoka kuhit kitu cha morning glory ile tuna furaha gafra furaha yangu ikageuka huzuni.

Kumfuata kumuuliza ananiambia sio yake alimuomba boda ampe karatas aandikie baadhi ya vitu sasa hakujua kama ni ya gest, nikasema naomba simu niangalie uliowasiliana nao huo muda sikukuta mtu na huyo rafiki alosema anaenda kwako it seemed hawajatafutana kitambo maana kwenye call record wala sms hayupo.

Nikamuuliza huyo rafiki yake uliendaje bila kuwasiliana akasema mm huwa nafuta baadhi ya vitu kwenye simu nitakuwa nimefuta, ikabidi tu ninyamaze na nikainua mikono[emoji119][emoji119][emoji119].

Sasa wanaume kwann ukatae wakati kitu kipo wazi?? Sasa hamjui yaani ukikubali na ukmuomba mwenzio msamaha ni rahis kusamehe na kusahau kuliko kukataa ,unapokataa unampa uchungu kwenye moyo wake na mapenzi yanapungua siku baada ya siku..
Mwanaume hakosei anateleza tu
 
Mwanaume hata ashikwe Red-handed hatakiwi kukubali
Atafute sababu ya kupanga hoja na kueleza hakuna kilichofanyika.

Ikiwezekana amsingizie huyo mwanamke ni mchawi na mshirikina.

Mwanaume kukubali Kwa mdomo ni Kuruhusu Mkeo alipize kisasi Kwa ushahidi wa mdomo.

Mwanamke anaamini maneno zaidi kuliko anachokiona.
Mwanamke ukimuambia Fulani umetoka naye anaamini zaidi kuliko akikufumania ukakataa katakata Kwa kuapa na kugaragara
Taikon wa fasihi# kukabali kosa mahakamani sio kwamba ndo utasamehewa ila ndo utarahisisha kupewa hukumu.
 
Ukifirkiria tuu kuanzia enzi za kina mfalme Daudi ana wanawakae 100 kidogo na bado akatamani mke wa mfanyakazi wake unanyoosha mikono juu na kuwaombea waume zetu wasipate magonjwa tuu maana kusema waache hawawezi. Labda uzeeni huko nguvu ziwaishie ila na huko kama wana hela wanaenda tuu huko wanashikwa shikwa wanaridhika ilimradi vichwa vyao vya chini vinavyowapeleka.
Wewe sista huendi mbinguni.
 
Mwanamke unamkubalia vipi sasa, maana ukimkubalia tu my broh huna bahati.
Mwanamke akijua udhaifu wako lazima akutese.
 
Mimi bora akatae tu hivyohivyo kuliko anithibitishie kwa mdomo wake kuwa kanicheat hiyo itaniuma sana na sitasahau kabisa. Sasa hiyo itapelekea mapenzi yapungue.

Hata kama najua kafanya na ushahidi upo lakini akatae tu ila akikubali amenimaliza kabisa.

Sijui kwa wenzangu ila mimi akatae tu
Hili nalo mkaliangalie
 
Mwanamke....siku ukimfumania mmeo iwe kwa njia yoyote ile na mwanaume akakiri kuwa amefanya hivyo jua hakupendi kabisa, mwanaume ambaye anampenda mke wake kamwe hawezi kukiri kuwa kachepuka... Pia wanawake kumbuka kuwa mwanaume kuchepuka si kwamba hakupendi bali ni tamaa za kimwili na maumbile ya wanaume yako hivyo wala lisiwape shida, zaidi mwanaume aliyeoa akija kukutongoza we mwanamke tambua kuwa hajakupenda bali amekutamani na heshima ya mke wake iko palepale. Ni vyema kujizuia kuchepuka kama inawezekana.
 
Habari wakuu, hivi ni nini kinawafanya wanaume waendelee kukataa hata baada ya kuona ushahidi instead of kuomba msamaha yakaisha?

Iko hivi mume wangu alikuwa amesafiri for almost two months kikaz Arusha akarudi J3 , Alhamis ambayo ni juzi akaniambia anaenda kuonana na rafiki yake ilikuwa mida ya sàa 11 jioni, nikamuaga na mabusu kedekede nikamwambia usichelewe Bby, akajibu sichelewi mama, akawa amerudi mida ya sàa 3 kasoro hivi.

Sasa jana asubuhi wakati nacheck kwenye suruali yake nikakuta risiti kuisoma nikakuta ni gest house na amount ambayo amelipia muda ambao alilipia ilikuwa sàa 12.5 jioni yaani exact same time aliotoka home na hapo tulikuwa tumetoka kuhit kitu cha morning glory ile tuna furaha gafra furaha yangu ikageuka huzuni.

Kumfuata kumuuliza ananiambia sio yake alimuomba boda ampe karatas aandikie baadhi ya vitu sasa hakujua kama ni ya gest, nikasema naomba simu niangalie uliowasiliana nao huo muda sikukuta mtu na huyo rafiki alosema anaenda kwako it seemed hawajatafutana kitambo maana kwenye call record wala sms hayupo.

Nikamuuliza huyo rafiki yake uliendaje bila kuwasiliana akasema mm huwa nafuta baadhi ya vitu kwenye simu nitakuwa nimefuta, ikabidi tu ninyamaze na nikainua mikono[emoji119][emoji119][emoji119].

Sasa wanaume kwann ukatae wakati kitu kipo wazi?? Sasa hamjui yaani ukikubali na ukmuomba mwenzio msamaha ni rahis kusamehe na kusahau kuliko kukataa ,unapokataa unampa uchungu kwenye moyo wake na mapenzi yanapungua siku baada ya siku..
Ukitaka mwanamke adai taraka Muda huo huo basi mwambie ukweli
UMEKWISHAAAAAAA
MWANAUME HATA UKIKAMATWA UCHI SEMA NILIKUWA NAPIGA PUSH-UP NINA PAMBANO NA MADONGA
 
Wewe cheza tu part yako..... Tafuta furaha yako then penda watoto wako..
 
Mimi bora akatae tu hivyohivyo kuliko anithibitishie kwa mdomo wake kuwa kanicheat hiyo itaniuma sana na sitasahau kabisa. Sasa hiyo itapelekea mapenzi yapungue.

Hata kama najua kafanya na ushahidi upo lakini akatae tu ila akikubali amenimaliza kabisa.

Sijui kwa wenzangu ila mimi akatae tu
Nimecheka mnoooo, kisa nn akufurahishe?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Nimejifunza mengi kutoka KWA mama aliniambia mwanaume hakaguliwi wala kuchungwa ukiwa unakula unashiba na watoto wanakula na kushiba na wanasoma inatosha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndoa zjna mengi, uwiiiiiiih.
 
Back
Top Bottom