Kwanini mwanaume kukubali ukweli ni ngumu hata kama ushahidi upo mezani?

Kwanini mwanaume kukubali ukweli ni ngumu hata kama ushahidi upo mezani?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]sawa ila account YAKO inasoma vzr? Wanangu watarajiwa wasije lala njaa na wakakosa ELIMU[emoji849][emoji849]
Hilo sio tatizo account inasoma vizuri japo nina mpango wa kwende kuchukua kila kilicho changu na kukiweka ndani ili kukimbia tozo, hope utakua mtunzaji mzuri mremboo[emoji846][emoji846]
 
Hilo sio tatizo account inasoma vizuri japo nina mpango wa kwende kuchukua kila kilicho changu na kukiweka ndani ili kukimbia tozo, hope utakua mtunzaji mzuri mremboo[emoji846][emoji846]
Weeeee usiniambie [emoji4][emoji4]
 
Unapokua na shitaka mahakamani au baraza ukikubali kosa kinachofuata ni hukumu tu. Utetezi huwa haupewi kipaumbele sana japo inategemea na busara na hakimu.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]mimi sio material wife bali ni wife material nimefunzwa nidhamu ya pesa
Ewaaa tuhamie zetu pm sasa maana huku kina mzabzab mzee wa mbususu hawachelewi kuharibu [emoji4][emoji4]
 
Ukifirkiria tuu kuanzia enzi za kina mfalme Daudi ana wanawakae 100 kidogo na bado akatamani mke wa mfanyakazi wake unanyoosha mikono juu na kuwaombea waume zetu wasipate magonjwa tuu maana kusema waache hawawezi. Labda uzeeni huko nguvu ziwaishie ila na huko kama wana hela wanaenda tuu huko wanashikwa shikwa wanaridhika ilimradi vichwa vyao vya chini vinavyowapeleka.
 
Mimi bora akatae tu hivyohivyo kuliko anithibitishie kwa mdomo wake kuwa kanicheat hiyo itaniuma sana na sitasahau kabisa. Sasa hiyo itapelekea mapenzi yapungue.

Hata kama najua kafanya na ushahidi upo lakini akatae tu ila akikubali amenimaliza kabisa.

Sijui kwa wenzangu ila mimi akatae tu

Wewe ndo unastahili kuwa mke. Lakini pia usimchungeze chunguze!
 
Mbona hiyo nayo ni reference tosha hata kama ulikataa

Papuchi moja kila siku, wiki, mwezi, mwaka, miaka inachosha mnoooooooo, cha mhimu ahudumie familia, asilete magonjwa na asihamie kwa mwingine. Ukiona anatimiza hivi mshukuru Mungu na mshukuru mmeo! Wcha upumbavu, wanaume kama wanyama wengine wote hatujaumwa kuwa na jike moja NEVER!
 
Papuchi moja kila siku, wiki, mwezi, mwaka, miaka inachosha mnoooooooo, cha mhimu ahudumie familia, asilete magonjwa na asihamie kwa mwingine. Ukiona anatimiza hivi mshukuru Mungu na mshukuru mmeo! Wcha upumbavu, wanaume kama wanyama wengine wote hatujaumwa kuwa na jike moja NEVER!
Umenena
 
Habari wakuu, hivi ni nini kinawafanya wanaume waendelee kukataa hata baada ya kuona ushahidi instead of kuomba msamaha yakaisha?

Iko hivi mume wangu alikuwa amesafiri for almost two months kikaz Arusha akarudi J3 , Alhamis ambayo ni juzi akaniambia anaenda kuonana na rafiki yake ilikuwa mida ya sàa 11 jioni, nikamuaga na mabusu kedekede nikamwambia usichelewe Bby, akajibu sichelewi mama, akawa amerudi mida ya sàa 3 kasoro hivi.

Sasa jana asubuhi wakati nacheck kwenye suruali yake nikakuta risiti kuisoma nikakuta ni gest house na amount ambayo amelipia muda ambao alilipia ilikuwa sàa 12.5 jioni yaani exact same time aliotoka home na hapo tulikuwa tumetoka kuhit kitu cha morning glory ile tuna furaha gafra furaha yangu ikageuka huzuni.

Kumfuata kumuuliza ananiambia sio yake alimuomba boda ampe karatas aandikie baadhi ya vitu sasa hakujua kama ni ya gest, nikasema naomba simu niangalie uliowasiliana nao huo muda sikukuta mtu na huyo rafiki alosema anaenda kwako it seemed hawajatafutana kitambo maana kwenye call record wala sms hayupo.

Nikamuuliza huyo rafiki yake uliendaje bila kuwasiliana akasema mm huwa nafuta baadhi ya vitu kwenye simu nitakuwa nimefuta, ikabidi tu ninyamaze na nikainua mikono[emoji119][emoji119][emoji119].

Sasa wanaume kwann ukatae wakati kitu kipo wazi?? Sasa hamjui yaani ukikubali na ukmuomba mwenzio msamaha ni rahis kusamehe na kusahau kuliko kukataa ,unapokataa unampa uchungu kwenye moyo wake na mapenzi yanapungua siku baada ya siku..
Hzi gest wanazotoa risit ziko wap.. kwa hal ya kawaida ni ngum sana kwa mwanaume niende kula tunda halaf niombe risit
 
Na huyo rafiki aloenda kumuona hawajawasiliana kwenye cm wana muda aliendaje bila mawasiliano?
Walichat telegram, whatsapp, walipanga tokea yupo safari hajarudi bado, walikutana mtaani wakaahidiana kuonana muda fulani wapeane dili za hela.

Kila mmoja anafahamu mahali rafiki yake anaishi so kama walipatana tayari na hakuna simu ya kuvunja appointment basi kupiga piga simu ya nini?

Huyo kweli kabisa alikuwa na rafiki yake ni vile tu umeona risiti ya dereva boda boda.
 
Last week tu hapo wife kaona txt ndio inaingia kwenye simu akaisoma, mazungumzo yakawa

WIFE ; naomba soma hiyo text

MIMI ; (nukuu ya text) "yaani nimekumiss sana ila tu Mungu ndio anajua ukweli wa moyo wangu" hapo niliisoma kwa sauti.

WIFE ; ( hapo machozi yanamlenga lenga ) huyo nani saa sita hii ya usiku.

MIMI ; huyu ni binamu yangu mtoto wa aunt wa kimara.

WIFE ; niambie ukweli binamu ndio atume meseji kama hii usiku huu na anajua wewe mume wa mtu?

MIMI ; tulia kwanza acha hofu, iko hivi... Huyu binamu yangu katembea na mume wa mtu bila kujua sasa mke wa jamaa akaenda kusema hadi kwa kina aunt. Mbaya zaidi zamani pia aliwahi tembea na mume wa mtu so toka siku hiyo akawa haaminiki tena pale home japo kweli ile ya kwanza alijua kabisa.

So kipindi kile nimsaidia kwa kuongea na kina aunt kuwa wamsamehe maana kajua kosa, wamuelimishe tu sio kumtenga na kumuona hafai tena.

Ndio maana anasema kanimiss kwa sababu ningekuwepo ningemsaidia na kuhusu Mungu kujua moyo wake ni sababu kweli this time ni hakujua kama jamaa kaona ila hawataki kuamini hilo sababu ya lile kosa la mara ya kwanza.

WIFE ; sawa tu ila kama unanidanganya ipo siku nitajua.

Ikaisha ki hivyo.

Isingekuwa laini ndio kwanza mpya kabisa ningesema huyu ni ex huwa anasumbua yakimuelemea huko[emoji3][emoji3][emoji3]

Kubali kizembe at your own risk.
 
Back
Top Bottom