Kwanini mwanaume kukubali ukweli ni ngumu hata kama ushahidi upo mezani?

Kwanini mwanaume kukubali ukweli ni ngumu hata kama ushahidi upo mezani?

Jifunze kuamini utakuwa na amani sana hta km kunaviashiria vibya umeviona amini ni mumewako anakupnda bas mengine muachie mwenyew japo inaumiza wanaume Hawakubali makosa kirahis na ukiendelea nalo utaeumia ni wew
 
Hapa tutapiga a vikumbo huko pm balaaaa. Mpaka sasa naona pm yake imeshajaa ofa kibao. Ila bwana yule bwana wa kulipwa mil17 akitia mguu tuu tujue tumesha mkosa mrembo[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hadi wewe bro wa mbususu unapambania hili kombe [emoji1][emoji1][emoji1]
 
Ndo hivyo, hataki anacha tu kama ni rahisi. Cheater ni cheater tu hataacha labda yesu aje
kwanini asitumie falsafa ya mwana FA, naye akalipize abanduliwe tu hapo jirani Sinza ili kupunguza maumivu? lkn haitafuta machungu. Ngoja nimtafutie music wake
 
Kiukweli jamaa kapiga NDONDO ila sio suala kama umeamua kusamehe samehe tum
 
kwanini asitumie falsafa ya mwana FA, naye akalipize abanduliwe tu hapo jirani Sinza ili kupunguza maumivu? lkn haitafuta machungu. Ngoja nimtafutie music wake
Mi nashangaa watu wanalia lia
 
Wanauwe uwa hawakubali hata iweje me wangu alikuwa anagoma na panic juu nikamuacha siku moja kajichanganya kwa mke wa mtu wakafumania kapewa kipondo Cha mbwa mwizi mpaka wafike polic yupo chakari hajielew binafsi nilitaman wangekata ata pumbu tuu maan tunawatoto 3 ila hajari Wala nn
Sasa wangekata hzo pumbu huoni kama inge affect performance yake na ukakosa tendo la ndoa na kupata watoto incase kama ungetaka kuongeza
 
Mwanaume kamili sifa ya kwanza usikubali makosa kwa mkeo kizembe, yani kama Gwajima vile ni mkonno wa baunsa sijui photoshop na mkewe akakiri mbele ya camera anampenda mumewe wala haina shida [emoji23][emoji23][emoji23]!!!

Mwanaume kuomba omba msamaha ni udhaifu, mi nilishageuzaga story na nilifumwa red handed. Hahahaha yani siku hio nguvu ziliisha connection ya ubongo na mdomo ilikuwa 0...Nilikuja kupangua hilo kwa namna ya ajabu [emoji23][emoji23][emoji23]
Safi inabidi utulie akili ikae sawa ujue namna ya kupangua [emoji3]
 
Dada angu nakusii tafuta maeneo mengine ya kwenda kuish na mume wako isiwe sinza tu mm nimekah sinza nimeshuhudia umalaya wa kiwango Cha sgr siyo wanawake CYO wanaume siyo ushogaa kila uchafu upo sinzaa nimetombana kuanziaa shekilango had bamaga wanawake wa sinza hpn kwa kweli napata kichefuchefu demu akiniambia anakah sinza

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Maji mara moja sio ?
 
Back
Top Bottom