Kwanini mwanaume kukubali ukweli ni ngumu hata kama ushahidi upo mezani?

Kwanini mwanaume kukubali ukweli ni ngumu hata kama ushahidi upo mezani?

Watu wanapitia magumu mnooo, Ndoa ktk upande wa Dark side.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mwanamke....siku ukimfumania mmeo iwe kwa njia yoyote ile na mwanaume akakiri kuwa amefanya hivyo jua hakupendi kabisa, mwanaume ambaye anampenda mke wake kamwe hawezi kukiri kuwa kachepuka... Pia wanawake kumbuka kuwa mwanaume kuchepuka si kwamba hakupendi bali ni tamaa za kimwili na maumbile ya wanaume yako hivyo wala lisiwape shida, zaidi mwanaume aliyeoa akija kukutongoza we mwanamke tambua kuwa hajakupenda bali amekutamani na heshima ya mke wake iko palepale. Ni vyema kujizuia kuchepuka kama inawezekana.
Lakini alikubali baada ya kushitaki kwa mamaake na mamaake baada ya kumpa makavu mbona alikubali ?
 
Dalili ya kwanza ya kuwa mwanaume wa kweli ni kukana hata kama kesi ina ushahidi kamili
And so what? Kwani unafikir inatoa maana kwamba umeondoa trust kwa mkeo? Ukiona unamdanganya mkeo wakati ushahidi upo wazi na akakuelewa usijione kidume mwingine anakubali ili yaishe kwaajili ya aman ya moyo wake ila trust kwako haipo tena
 
Jamaa alizielewa notice vizuri sana, mwamba huyo. Hata km mazingira yakiwa vipi wew kataa
 
Kwanini wanawake mnaringa Sana kwani nyie Ni Nani, tukiomba mchezo Kama si tumbo Basi Ni kichwa au uchovu. Why?
Kila tukirudi nyumbani kazi kutukagua Kama tunanukia perfume au tumechoka, Kama kazi imewashinda kwanini hamtaki tufaidi michepuko?
Watu wa ajabu Sana. Kila Mara simu, UKO WAPI? UNARUDI SAA NGAPI?
bachelors enjoy your freedom.
 
Tatizo lenu lipo hapa;
1. Siku mwamba anakubali kosa, kosa hilo utalitamka maisha yote yaliyobaki.
2. Kosa la mwamba, mkishakasirika, huwa mnaropoka vya kuropoka huku mkilitumia kosa lake kuhalalisha kuropoka kwenu
3. Kila kosa atakalolifanya baada ya hapo, hili alilolikubali utalichukua kama reference kila kukicha.
Nakazia,,
utaimbiwa maisha yote yanayobaki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Habari wakuu, hivi ni nini kinawafanya wanaume waendelee kukataa hata baada ya kuona ushahidi instead of kuomba msamaha yakaisha?

Iko hivi mume wangu alikuwa amesafiri for almost two months kikaz Arusha akarudi J3 , Alhamis ambayo ni juzi akaniambia anaenda kuonana na rafiki yake ilikuwa mida ya sàa 11 jioni, nikamuaga na mabusu kedekede nikamwambia usichelewe Bby, akajibu sichelewi mama, akawa amerudi mida ya sàa 3 kasoro hivi.

Sasa jana asubuhi wakati nacheck kwenye suruali yake nikakuta risiti kuisoma nikakuta ni gest house na amount ambayo amelipia muda ambao alilipia ilikuwa sàa 12.5 jioni yaani exact same time aliotoka home na hapo tulikuwa tumetoka kuhit kitu cha morning glory ile tuna furaha gafra furaha yangu ikageuka huzuni.

Kumfuata kumuuliza ananiambia sio yake alimuomba boda ampe karatas aandikie baadhi ya vitu sasa hakujua kama ni ya gest, nikasema naomba simu niangalie uliowasiliana nao huo muda sikukuta mtu na huyo rafiki alosema anaenda kwako it seemed hawajatafutana kitambo maana kwenye call record wala sms hayupo.

Nikamuuliza huyo rafiki yake uliendaje bila kuwasiliana akasema mm huwa nafuta baadhi ya vitu kwenye simu nitakuwa nimefuta, ikabidi tu ninyamaze na nikainua mikono[emoji119][emoji119][emoji119].

Sasa wanaume kwann ukatae wakati kitu kipo wazi?? Sasa hamjui yaani ukikubali na ukmuomba mwenzio msamaha ni rahis kusamehe na kusahau kuliko kukataa ,unapokataa unampa uchungu kwenye moyo wake na mapenzi yanapungua siku baada ya siku..
Tunadanganya kwa sababu tukiwaambia ukweli mtaumia zaidi. Ila muonye sana huyo jamaa aache kwenda Guest house zenye risiti. Atakuja kunishukuru
 
Katika vitu ambavyo hua sielewi, ni mwanaume ALIEOA kudiriki kurudi nyumbani na VIDHIBITI! Hicho ni kiwango cha juu kabisa cha negligence huyo mtu anatakiwa afungwe jela.

Yaani kuna watu ni wazembe kupitiliza. Hiyo risiti ya guest kulikua na umuhimu gani wa kuiweka mfukoni? Watu mara wanarudi nyumbani na condom, kuna mwamba amewahi kudakwa na VUMBI LA KONGO na mkewe wakati katoka safari...!! Ma meseji unarudi nayo nyumbani ya kazi gani..?? [emoji35][emoji35]
Bora vumbi la Kongo, hapo hamna kesi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kukubali kunapunguza uanaume.
Nilinaswa nimemtongoza dada wa Kazi hadi kesho nimekataa imebaki kwenye mafikirio nani msema kweli
 
Habari wakuu, hivi ni nini kinawafanya wanaume waendelee kukataa hata baada ya kuona ushahidi instead of kuomba msamaha yakaisha?

Iko hivi mume wangu alikuwa amesafiri for almost two months kikaz Arusha akarudi J3 , Alhamis ambayo ni juzi akaniambia anaenda kuonana na rafiki yake ilikuwa mida ya sàa 11 jioni, nikamuaga na mabusu kedekede nikamwambia usichelewe Bby, akajibu sichelewi mama, akawa amerudi mida ya sàa 3 kasoro hivi.

Sasa jana asubuhi wakati nacheck kwenye suruali yake nikakuta risiti kuisoma nikakuta ni gest house na amount ambayo amelipia muda ambao alilipia ilikuwa sàa 12.5 jioni yaani exact same time aliotoka home na hapo tulikuwa tumetoka kuhit kitu cha morning glory ile tuna furaha gafra furaha yangu ikageuka huzuni.

Kumfuata kumuuliza ananiambia sio yake alimuomba boda ampe karatas aandikie baadhi ya vitu sasa hakujua kama ni ya gest, nikasema naomba simu niangalie uliowasiliana nao huo muda sikukuta mtu na huyo rafiki alosema anaenda kwako it seemed hawajatafutana kitambo maana kwenye call record wala sms hayupo.

Nikamuuliza huyo rafiki yake uliendaje bila kuwasiliana akasema mm huwa nafuta baadhi ya vitu kwenye simu nitakuwa nimefuta, ikabidi tu ninyamaze na nikainua mikono[emoji119][emoji119][emoji119].

Sasa wanaume kwann ukatae wakati kitu kipo wazi?? Sasa hamjui yaani ukikubali na ukmuomba mwenzio msamaha ni rahis kusamehe na kusahau kuliko kukataa ,unapokataa unampa uchungu kwenye moyo wake na mapenzi yanapungua siku baada ya siku..
Mshukuru Mungu mume wako ndiyo amenza, angekuwa aluwatan hiyo risiti usingeiona. Mungu amekuonyesha ili ujitathmini wewe mwenyewe wapi unakosea.
 
And so what? Kwani unafikir inatoa maana kwamba umeondoa trust kwa mkeo? Ukiona unamdanganya mkeo wakati ushahidi upo wazi na akakuelewa usijione kidume mwingine anakubali ili yaishe kwaajili ya aman ya moyo wake ila trust kwako haipo tena
Natamani ni cheat na wewe au unasemaje shostito?
 
Thank you sana mke wa mtu, mke mwema..!!
Unajuwa wengine hudhani akiambiwa ukweli ndo atapona..!! Siyo kwenye kila jambo, mengine danganywa siku ziende
Ila kudanganywa huku unaujua ukweli inauma asee,acha tu,Mimi nilikubali kudanganywa mwisho wa nilikuta na mtoto kashazaliwa hapo ndo nikaambiwa ukweli kuwa mtoto ni wake moyo ulipasuka pah,haya Mambo yasikie tu yasikukute
 
Kwanini wanawake mnaringa Sana kwani nyie Ni Nani, tukiomba mchezo Kama si tumbo Basi Ni kichwa au uchovu. Why?
Kila tukirudi nyumbani kazi kutukagua Kama tunanukia perfume au tumechoka, Kama kazi imewashinda kwanini hamtaki tufaidi michepuko?
Watu wa ajabu Sana. Kila Mara simu, UKO WAPI? UNARUDI SAA NGAPI?
bachelors enjoy your freedom.
And what if mkeo hafanyi hayo uliyotaja na bado unachepuka?
 
Tunadanganya kwa sababu tukiwaambia ukweli mtaumia zaidi. Ila muonye sana huyo jamaa aache kwenda Guest house zenye risiti. Atakuja kunishukuru
Sasa unafikir ukikataa ndo nitaamini mdajidanganya
 
Back
Top Bottom