Kwanini mwanaume kukubali ukweli ni ngumu hata kama ushahidi upo mezani?

Kwanini mwanaume kukubali ukweli ni ngumu hata kama ushahidi upo mezani?

Katika vitu ambavyo hua sielewi, ni mwanaume ALIEOA kudiriki kurudi nyumbani na VIDHIBITI! Hicho ni kiwango cha juu kabisa cha negligence huyo mtu anatakiwa afungwe jela.

Yaani kuna watu ni wazembe kupitiliza. Hiyo risiti ya guest kulikua na umuhimu gani wa kuiweka mfukoni? Watu mara wanarudi nyumbani na condom, kuna mwamba amewahi kudakwa na VUMBI LA KONGO na mkewe wakati katoka safari...!! Ma meseji unarudi nayo nyumbani ya kazi gani..?? 😡😡
 
You want the truth but can you handle the truth?

Ukikubali tu msururu wa maswali yasiyo na kichwa wala miguu ndo unaanza:

Kwa nini Baba Jesika? Why? Nakupa kila kitu jamani? Why? Au ni mtamu kuliko mimi? Ana nini ambacho mi sina?

Halafu pisi uliyochiti nayo yaweza kuwa mbovu kichizi haimfikii mkeo kwa uzuri hata robo. Kichwa mwanaume kinakuwaka moto unaishia kujiinamia tu huku yeye akiendelea kubwabwaja....

Men!
 
Nimejifunza mengi kutoka KWA mama aliniambia mwanaume hakaguliwi wala kuchungwa ukiwa unakula unashiba na watoto wanakula na kushiba na wanasoma inatosha
😂😂😂 na ukifua pia huangalii mifukoni mwa suruali?


Sikagui sana, simfatilii kihivyo ila siku moja moja lazima nimshutue na ugomvi wa hapa na pale ‘ ule wa kuusaka mwenyewe…
 
Habari wakuu, hivi ni nini kinawafanya wanaume waendelee kukataa hata baada ya kuona ushahidi instead of kuomba msamaha yakaisha?

Iko hivi mume wangu alikuwa amesafiri for almost two months kikaz Arusha akarudi J3 , Alhamis ambayo ni juzi akaniambia anaenda kuonana na rafiki yake ilikuwa mida ya sàa 11 jioni, nikamuaga na mabusu kedekede nikamwambia usichelewe Bby,
Tatizo mkiombwa msamaha ndo inakuwa reference kwa kila kosa huko mbele ya safari
Bora kukataa tu mambo yasiwe mengi
 
Katika vitu ambavyo hua sielewi, ni mwanaume ALIEOA kudiriki kurudi nyumbani na VIDHIBITI! Hicho ni kiwango cha juu kabisa cha negligence huyo mtu anatakiwa afungwe jela.

Yaani kuna watu ni wazembe kupitiliza. Hiyo risiti ya guest kulikua na umuhimu gani wa kuiweka mfukoni? Watu mara wanarudi nyumbani na condom, kuna mwamba amewahi kudakwa na VUMBI LA KONGO na mkewe wakati katoka safari...!! Ma meseji unarudi nayo nyumbani ya kazi gani..?? 😡😡
Mazoea ndo tatizo. Ukiwa unachiti kuna siku utashikwa tu hata uwe na ujanja kama ajenti wa Mossad.

We unashangaa risti ya lodge? Kuna bro mmoja alishikwa na mkewe na likondomu libichi. Imagine used condomu imo kwenye plastic mfukoni mwake. Amefika home anatoa sijui hela ampe mkewe used condom likadondoka. Tukawa tunamuuliza used condom uliweka ya nini mfukoni? Oooh ilikuwa niitupe nadhani nilisahau....

Kama hutaki kushikwa na kuleta maumivu kwa mkeo don't cheat. Ukichiti itafika mahali utakuwa complacent na utashikwa tu maana hakuna namna 😁😁😁
 
Habari wakuu, hivi ni nini kinawafanya wanaume waendelee kukataa hata baada ya kuona ushahidi instead of kuomba msamaha yakaisha?

Iko hivi mume wangu alikuwa amesafiri for almost two months kikaz Arusha akarudi J3 , Alhamis ambayo ni juzi akaniambia anaenda kuonana na rafiki yake ilikuwa mida ya sàa 11 jioni, nikamuaga na mabusu kedekede nikamwambia usichelewe Bby,
Ndio maaana mpaka sasa uko nae..ukikubari kosa maana unanyongwa mpaka kufa!!
 
And then what? Sasa hajui upendo ndo unakuwa unapungua kwa style hiyo?
litaisha tu hilo itabaki history...ila utasema labda kweli bodaboda...lkn aseme katoka kumnyandua mtu...daaah unamwmwaga...na kesi juu na kila kitu kinaisha bora ubaki 50/50.
 
[emoji23][emoji23][emoji23] na ukifua pia huangalii mifukoni mwa suruali?


Sikagui sana, simfatilii kihivyo ila siku moja moja lazima nimshutue na ugomvi wa hapa na pale ‘ ule wa kuusaka mwenyewe…
Naangalia KWA lengo la kufua mifuko tu ILA siyatafutagi kabisaa sitaki kufa KWA presha mimi [emoji1787][emoji1787]najijua mwenyewe ndio maana nayaepuka
 
s]Sio mwanamme tu hata mwanamke kataa katakata,otherwise unifume kitandani


Na kama unahisi ukweli utaweza kukusaidia chochote unajidanganya my friend bora usiujue huo ukweli
 
Mazoea ndo tatizo. Ukiwa unachiti kuna siku utashikwa tu hata uwe na ujanja kama ajenti wa Mossad.

We unashangaa risti ya lodge? Kuna bro mmoja alishikwa na mkewe na likondomu libichi. Imagine used condomu imo kwenye plastic mfukoni mwake. Amefika home anatoa sijui hela ampe mkewe used condom likadondoka. Tukawa tunamuuliza used condom uliweka ya nini mfukoni? Oooh ilikuwa niitupe nadhani nilisahau....

Kama hutaki kushikwa na kuleta maumivu kwa mkeo don't cheat. Ukichiti itafika mahali utakuwa complacent na utashikwa tu maana hakuna namna 😁😁😁
🤣🤣🤣🤣 Huyo jamaa ni muongo...aliondoka na condom akiogopa mwanamke atamroga 🤣🤣🤣🤣🤣
 
Binafsi hata mimi unifume yani Fumanizi live,Nakukatalia sikua mimi

w]Wanaume binafsi mimi sijaumbwa kukubali kosa,we fanya ujuavyo elewa

Kwamba mimi ni malaika na sikosei na kikosea ni bahati mbaya tu,labda tunatiane

Ndio utakua umenishinda ila kama hatujanatiana asee hamna kesi ntashndwa ipangua.
 
Back
Top Bottom