Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NotedAmini na kuambieni Mwanaume hata ukikutwa juu ya kifua na unamwagia ndani , hutakiwi kukubali ni kukataa tuu.. hawa viumbe ukiwa mkweli umekwisha mwanaume mwenzangu... .kataeni kadiri muwezavyo mtakuja kunishukuru....
Kwahiyo ukikutwa kifuani utadanganya kwamba ulijikuta tu ghafla Upo pale au?Amini na kuambieni Mwanaume hata ukikutwa juu ya kifua na unamwagia ndani , hutakiwi kukubali ni kukataa tuu.. hawa viumbe ukiwa mkweli umekwisha mwanaume mwenzangu... .kataeni kadiri muwezavyo mtakuja kunishukuru....
Mazoea ndo tatizo. Ukiwa unachiti kuna siku utashikwa tu hata uwe na ujanja kama ajenti wa Mossad.
We unashangaa risti ya lodge? Kuna bro mmoja alishikwa na mkewe na likondomu libichi. Imagine used condomu imo kwenye plastic mfukoni mwake. Amefika home anatoa sijui hela ampe mkewe used condom likadondoka. Tukawa tunamuuliza used condom uliweka ya nini mfukoni? Oooh ilikuwa niitupe nadhani nilisahau....
Kama hutaki kushikwa na kuleta maumivu kwa mkeo don't cheat. Ukichiti itafika mahali utakuwa complacent na utashikwa tu maana hakuna namna 😁😁😁
Mwanamke yeyote unayemfanyia hivo na haondoki usijione unapendwa anawazia watoto wake tu lkn wewe haupo moyoni tenaKasema bora akatae kuliko kuthibitisha kwa mdomo wake..!! Unakuta mwingine akishathibitisha bado kuondoka hawezi..!! Sa si bora adanganywe tu apate sababu ya kutoondoka, kuliko umepata sababu ya kuondoka halafu huwezi ondoka
Kwahiyo ukikutwa kifuani utadanganya kwamba ulijikuta tu ghafla Upo pale au?
Duh aiseeNimejifunza mengi kutoka KWA mama aliniambia mwanaume hakaguliwi wala kuchungwa ukiwa unakula unashiba na watoto wanakula na kushiba na wanasoma inatosha
Njia ya muongo ni fupiKatika vitu ambavyo hua sielewi, ni mwanaume ALIEOA kudiriki kurudi nyumbani na VIDHIBITI! Hicho ni kiwango cha juu kabisa cha negligence huyo mtu anatakiwa afungwe jela.
Yaani kuna watu ni wazembe kupitiliza. Hiyo risiti ya guest kulikua na umuhimu gani wa kuiweka mfukoni? Watu mara wanarudi nyumbani na condom, kuna mwamba amewahi kudakwa na VUMBI LA KONGO na mkewe wakati katoka safari...!! Ma meseji unarudi nayo nyumbani ya kazi gani..?? [emoji35][emoji35]
Ndo ukweli cuteNimejifunza mengi kutoka KWA mama aliniambia mwanaume hakaguliwi wala kuchungwa ukiwa unakula unashiba na watoto wanakula na kushiba na wanasoma inatosha
[emoji2][emoji2][emoji2]et mtamu kuliko mmYou want the truth but can you handle the truth?
Ukikubali tu msururu wa maswali yasiyo na kichwa wala miguu ndo unaanza:
Kwa nini Baba Jesika? Why? Nakupa kila kitu jamani? Why? Au ni mtamu kuliko mimi? Ana nini ambacho mi sina?
Halafu pisi uliyochiti nayo yaweza kuwa mbovu kichizi haimfikii mkeo kwa uzuri hata robo. Kichwa mwanaume kinakuwaka moto unaishia kujiinamia tu huku yeye akiendelea kubwabwaja....
Men!
Mbona hiyo nayo ni reference tosha hata kama ulikataaTatizo mkiombwa msamaha ndo inakuwa reference kwa kila kosa huko mbele ya safari
Bora kukataa tu mambo yasiwe mengi
Hivi huwa mnajua maumivu mnayotusababishia?? Huwa hayaelezekiMazoea ndo tatizo. Ukiwa unachiti kuna siku utashikwa tu hata uwe na ujanja kama ajenti wa Mossad.
We unashangaa risti ya lodge? Kuna bro mmoja alishikwa na mkewe na likondomu libichi. Imagine used condomu imo kwenye plastic mfukoni mwake. Amefika home anatoa sijui hela ampe mkewe used condom likadondoka. Tukawa tunamuuliza used condom uliweka ya nini mfukoni? Oooh ilikuwa niitupe nadhani nilisahau....
Kama hutaki kushikwa na kuleta maumivu kwa mkeo don't cheat. Ukichiti itafika mahali utakuwa complacent na utashikwa tu maana hakuna namna [emoji16][emoji16][emoji16]
Hakuna cha boda mkuu hiyo kwenye moyo wangu nishaamini ni yeye maana ushahidi upolitaisha tu hilo itabaki history...ila utasema labda kweli bodaboda...lkn aseme katoka kumnyandua mtu...daaah unamwmwaga...na kesi juu na kila kitu kinaisha bora ubaki 50/50.
Na huyo rafiki aloenda kumuona hawajawasiliana kwenye cm wana muda aliendaje bila mawasiliano?Nimejaribu kufikilia sana, Kulingana na maelezo yako.NI KWELI KABISA HIYO RISITI NI YA BODABODA.Yaani niende kando niombe na risiti tena niweke mfukoni!!!! AMINI ULICHOAMBIWA.
na huo ndo uanaume nami hapa mwanamke naruka futi mia sembuse mwanammeBinafsi hata mimi unifume yani Fumanizi live,Nakukatalia sikua mimi
wanaume binafsi mimi sijaumbwa kukubali kosa,we fanya ujuavyo elewa
kwamba mimi ni malaika na sikosei na kikosea ni bahati mbaya tu,labda tunatiane
ndio utakua umenishinda ila kama hatujanatiana asee hamna kesi ntashndwa ipangua.
unamsingizia shetani siyo,Amini na kuambieni Mwanaume hata ukikutwa juu ya kifua na unamwagia ndani , hutakiwi kukubali ni kukataa tuu.. hawa viumbe ukiwa mkweli umekwisha mwanaume mwenzangu... .kataeni kadiri muwezavyo mtakuja kunishukuru....
Kama hutaacha kuna siku utashikwa tu tena kizembe kweli kweli. Mark my words. Na pengine utakumbuka maongezi haya na kuishia kucheka tu 😁😁😁Amna ni uzembe tu mkuu. Haiwezekani mtu ambae yuko makini abebane na marisiti sijui ma kondom ya gesti wakati hayakusaidii chochote. Mimi nikienda guest kila kitu naacha humo humo. Meseji zote futa immediately usiseme ntafuta baadae au nikifika huo ni uzembe.