habdul64
Senior Member
- Dec 24, 2014
- 153
- 67
Habari wanajamvi,
Naomba kuelezea kero yangu juu ya waandishi wa habari za michezo wa Bongo. Yaani mwandishi anamuhoji kocha wa kigeni kwa lugha ya kigeni tatizo ni kwamba hatafsiri na wala hafafanui walichozungumza wakati anajua wazi lugha ya taifa ya Bongo ni kiswahili.
Je, washibiki waliowengi wanafaidika kweli kujua makocha wao wanatoa maoni gani? Mi nadhani wajifunze kwa BBC Swahili bwana.
Naomba kuelezea kero yangu juu ya waandishi wa habari za michezo wa Bongo. Yaani mwandishi anamuhoji kocha wa kigeni kwa lugha ya kigeni tatizo ni kwamba hatafsiri na wala hafafanui walichozungumza wakati anajua wazi lugha ya taifa ya Bongo ni kiswahili.
Je, washibiki waliowengi wanafaidika kweli kujua makocha wao wanatoa maoni gani? Mi nadhani wajifunze kwa BBC Swahili bwana.