Kwanini Mwanza Wanauza magari bei rahisi kuliko Dar es Salaam?

Kwanini Mwanza Wanauza magari bei rahisi kuliko Dar es Salaam?

Halafu wanaendekeza njaa,kuna mwaka niliuza gari kupitia dalali wa migo pale bila yeye kujua,baadae huko akaja kujua yule mteja aliyomleta ndie niliemuuzia alilalamika sana nimpe hata ya maji lakini ndio ikawa too late,mteja kafika bei niitakayo mimi na tena laki 7 juu,dalali hataki kuuza eti laki 7 ndogo na hapo hapo kwangu ilibidi ale kama 2 hivi,dogo wangu mmoja akachukua namba ya mteja kijanja pale pale,tukamuita docho tukafanya biashara
Very good
 
Kutokana na ugumu wa kupata ajira vijana wengi wameingia kwenye udalali. Hata gharama za kupanga chumba/nyumba madalali ndio wanaopandisha bei
 
Magari ya mwanza ndiyo habari ya mjini. Mi nilinunua Brevis yangu huko, namba DNS, Lipo poa na Bomba kabisa.
Brevis wengi wanazikimbia. Kama umenunua bei rahisi sio sababu ni Mwanza, ila sababu ni Brevis
 
Back
Top Bottom