Nations
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 4,892
- 17,003
wanatia kinyaa, na kuonekana madalali wetu wa hovyoHahahahhah waelimishwe kwa kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanatia kinyaa, na kuonekana madalali wetu wa hovyoHahahahhah waelimishwe kwa kweli
Ila mwanza kuna walengaji wengi tu kakaHii gari ukiichukua ukaileta hapa Dar ukaivesha rim kali na make up kidogo tu unauza 12m yani umekosa sana 1Om mtu haruki.
Wenye pesa ni wengi ukilinganisha na sehemu zingine zote za nchi yetu, kwa hiyo demand ya vitu Dar ni kubwa kuliko sehemu zingine na hivyo kupelekea bei za vitu kuwa juu!DSM maiisha magumu, na matapeli wengi
Wengi wanataka kutatua shida zao ndani ya muda mfupi
NGOSHAs inasemekana huwa hawajui depreciation ya mali, wao hawajali hasa kama wanataka hela ya haraka kutoa mahari ama kuoa mwanamke mweupe wa kichagga.Habari za asubuhi wakuu.
Kwa muda kidogo nimekua nikifanya utafiti mdogo wa madalali wauzaji wa magari instagram na social media nyingine.
Kuna kitu nimegundua nikaona nijadiliane nipate majibu sahihi.
Nimeona madalali wa mwanza wanauza gari kwa bei rahisi sana ukilinganisha na wa Dar es Salaam (kwa gari zenye specificationa sawa)
Mfano
Toyota crown
Mwanza nakuta nyingi average milion 8 (zinaanza 7m mpaka 10m hivi) ila dar es salaam average milion 11 (zinaanzia 10m mpaka 13m).
Toyota mark x
Mwanza around 5.5m mpaka 7m, ila Dar es salaam around 8m mpaka 11m
Toyota kluger
Mwanza 9m mpaka 14m.. ila Dar es salaam 14 mpaka 18
Toyota harrier tako la nyani
Mwanza 14m mpaka 18m
Dar 16 - 22m
Sasa ndugu zangu naomba kujua sababu ya utofauti huu mkubwa wa bei! Je madalali wa Dar ni kwamba wanapiga cha juu kingi au watu wa mwanza wana pesa sana ndio sababu wanauza bei ndogo?
Maana nimeshawishika kidogo kununua harrier kwa hawa jamaa wa Mwanza maana bei zao kitonga sana.
Nawasilisha
Mkuu Scania tractor 124 bei ngapi kwa Scotland pleaseMimi kwa mfano nikitaka kununua Trucks naenda Scotland ingawa ni mbali lakini Bei ni rahisi kuliko London
Tena naweza kuongeza na gari ndogo kwa bei ya lorry moja London kwa huko Scotland
Sijaenda mda huko ila hata Ireland zina unafuu piaMkuu Scania tractor 124 bei ngapi kwa Scotland please
Kingine gari ukiipata direct kwa mmiliki inakuwa bei chee sana. Wanachofanya Dar kuna ile wanaita kulenga, dalali anainunua gari kwa tajiri lets say kwa 8m-9m kisha anauza 11m.
Sasa wakiongezeka madalali wenzie lazma waongeze cha juu ndio unakuta gari inafika 12.5m