Kwanini Mwanza Wanauza magari bei rahisi kuliko Dar es Salaam?

Leo ndo nimepata somo
Nimewahi ulizia probox succeed yenye manual transmission
Aseeeeeh huwezi amini...........
Niliambiwa sh mil 22
Huyo jamaa nilimwambia acha matani kazini yaan probox unaniuzia mil 22 je harrier utaniuzia bei gan....

Jamaa hakujibu tena
Ni wazi Dar uuni umezidi watu wnataka pesa kupitia mitaji ya watu wengine

Ilinibidi nihairishe kununua gari kwanza
 
DSM maiisha magumu, na matapeli wengi

Wengi wanataka kutatua shida zao ndani ya muda mfupi
Wenye pesa ni wengi ukilinganisha na sehemu zingine zote za nchi yetu, kwa hiyo demand ya vitu Dar ni kubwa kuliko sehemu zingine na hivyo kupelekea bei za vitu kuwa juu!
 
NGOSHAs inasemekana huwa hawajui depreciation ya mali, wao hawajali hasa kama wanataka hela ya haraka kutoa mahari ama kuoa mwanamke mweupe wa kichagga.
 
Kinachofanya mwanza mandinga yawe bei pow
1.Dalali anakuambia bei husika then anakuomba umuandalie kiposho then n boss anampa kiposho xo akiuza gari unakuta faidaa kapata labda laki 5 kwa pande zotee tofaut na dar mfano Jacktan safari uwa anawek a bei nzuri

2. Demand ya magar mwanza ni ndogoo pia madalali hawana mitaji ya kununua gari used na wapo wachache wenye mitaji km Aisam magari .n. k
 
Dar uswahili mwingi , matapeli , msinunue magari dar utatapeliwa , Wana njaa sana , ukienda dar kununua gari watakuzungusha week Moja bila ya kuona gari ,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…