Kwanini Mwekezaji mpya wa Mabasi ya Mwendokasi (DART) Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu kachelewa kuanza kazi?

Kwanini Mwekezaji mpya wa Mabasi ya Mwendokasi (DART) Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu kachelewa kuanza kazi?

Ngariba1

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2017
Posts
1,829
Reaction score
3,807
Gazeti la Mwananchi la 31 Oktoba 2022 liliripoti habari ya kupatikana mwekezaji mpya wa kuendesha mabasi ya mwendokasi (DART), Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu.

Taarifa ya serikali kupitia gazeti hilo ilisema kampuni hiyo ingeanza kazi Novemba 2022. Makubaliano ni kwamba; mwanzoni kampuni hiyo itaingiza mabasi 177, na ndani ya miezi 6 (kuanzia Nov 2022) itaingiza jumla ya mabasi 750. Pia, watarejesha mfumo wa malipo ya kadi pekee katika vituo vya mwendokasi.

Hata hivyo, hadi sasa wananchi hatuoni hayo mabasi mapya, hatuoni kuboreshwa kwa huduma ya usafiri wa mwendokasi na wala hatuwaoni watendaji wa Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu.

Tatizo ni nini? Mbona wananchi hatuelezwi? Waarabu wamepatwa na nini? Kama wameshindwa hatuwezi kupata waarabu wengine wawekeze kwa kuzingatia waarabu wamefanikiwa sana katika sekta ya usafirishaji?

Information is power.

Soma DAR: DART kuondoa tiketi vituo vya Mwendokasi, malipo ya kadi kurejea
 
Watanzania wenzangu hebu tujiuluze, Serikali ya Tanzania au Taasisi yoyote ile ya Serikali imeweza kufanya jambo gani au kufanya kitu gani kwa ufanisi mpaka imekuwa mfano wa kuigwa na jamii?
Je, Serikali yetu hii imeweza kufanya jambo gani lililo zuri, bora na kwa ufanisi mkubwa zaidi? Je, Serikali imeweza katika jambo lipi zuri ndani au nje ya nchi hii??
Let's discuss please, and if possible, give us the vivid examples.
 
Gazeti la Mwananchi la 31 Oktoba 2022 liliripoti habari ya kupatikana mwekezaji mpya wa kuendesha mabasi ya mwendokasi (DART), Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu.

Taarifa ya serikali kupitia gazeti hilo ilisema kampuni hiyo ingeanza kazi Novemba 2022. Makubaliano ni kwamba; mwanzoni kampuni hiyo itaingiza mabasi 177, na ndani ya miezi 6 (kuanzia Nov 2022) itaingiza jumla ya mabasi 750. Pia, watarejesha malipo ya kadi pekee katika vituo vya mwendokasi.

Hata hivyo, hadi sasa wananchi hatuoni hayo mabasi mapya, hatuoni kuboreshwa kwa huduma ya usafiri wa mwendokasi na wala hatuwaoni watendaji wa Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu.

Tatizo ni nini? Mbona wananchi hatuelezwi? Waarabu wamepatwa na nini? Kama wameshindwa hatuwezi kupata waarabu wengine wawekeze?

Information is power.

Soma DAR: DART kuondoa tiketi vituo vya Mwendokasi, malipo ya kadi kurejea
Unatuuliza sisi badala ya kuwauliza wahusika?

Unajuaje kama taratibu zingine bado zinaendelea?

Tuliahidiwa treni ya Dar- Moro ingeanza 2019. Je imeanza?

Tuliahidiwa vichwa vipya vya treni Je vilifika?

Tuliahidiwa Bwawa la Umeme lingekamilika 2021 , Je limekamilika?
 
Gazeti la Mwananchi la 31 Oktoba 2022 liliripoti habari ya kupatikana mwekezaji mpya wa kuendesha mabasi ya mwendokasi (DART), Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu.

Taarifa ya serikali kupitia gazeti hilo ilisema kampuni hiyo ingeanza kazi Novemba 2022. Makubaliano ni kwamba; mwanzoni kampuni hiyo itaingiza mabasi 177, na ndani ya miezi 6 (kuanzia Nov 2022) itaingiza jumla ya mabasi 750. Pia, watarejesha malipo ya kadi pekee katika vituo vya mwendokasi.

Hata hivyo, hadi sasa wananchi hatuoni hayo mabasi mapya, hatuoni kuboreshwa kwa huduma ya usafiri wa mwendokasi na wala hatuwaoni watendaji wa Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu.

Tatizo ni nini? Mbona wananchi hatuelezwi? Waarabu wamepatwa na nini? Kama wameshindwa hatuwezi kupata waarabu wengine wawekeze?

Information is power.

Soma DAR: DART kuondoa tiketi vituo vya Mwendokasi, malipo ya kadi kurejea
Acha uchokozi mkuu! Nimehisi jambo... unataka kuibua jambo!!!
 
Gazeti la Mwananchi la 31 Oktoba 2022 liliripoti habari ya kupatikana mwekezaji mpya wa kuendesha mabasi ya mwendokasi (DART), Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu.

Taarifa ya serikali kupitia gazeti hilo ilisema kampuni hiyo ingeanza kazi Novemba 2022. Makubaliano ni kwamba; mwanzoni kampuni hiyo itaingiza mabasi 177, na ndani ya miezi 6 (kuanzia Nov 2022) itaingiza jumla ya mabasi 750. Pia, watarejesha malipo ya kadi pekee katika vituo vya mwendokasi.

Hata hivyo, hadi sasa wananchi hatuoni hayo mabasi mapya, hatuoni kuboreshwa kwa huduma ya usafiri wa mwendokasi na wala hatuwaoni watendaji wa Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu.

Tatizo ni nini? Mbona wananchi hatuelezwi? Waarabu wamepatwa na nini? Kama wameshindwa hatuwezi kupata waarabu wengine wawekeze?

Information is power.

Soma DAR: DART kuondoa tiketi vituo vya Mwendokasi, malipo ya kadi kurejea
Hao waarabu unaweza kuta ni bortion tu, lakini usishangae kukuta ni viongozi wetu waliochota fedha zetu wanakuja kuzizungusha kwa mgongo wa kampuni ya waarabu.
 
Hao waarabu unaweza kuta ni bortion tu, lakini usishangae kukuta ni viongozi wetu waliochota fedha zetu wanakuja kuzizungusha kwa mgongo wa kampuni ya waarabu.
Inawezekana. ni kweli kabisa.
Mifano hai ya hicho unachosema ipo mingi tu hapa nchini. Mfano huo ni kama vile suala la Umiliki wa Mgodi wa Makaa ya Mawe-Kiwira Songwe , pamoja na umiliki wa Kiwanda cha Sukari Kilombero (Kilombero Sugar Company) na Rais Mstaafu B . W. Mkapa miaka ya 1995-2005
 
Watanzania wenzangu hebu tujiuluze, Serikali ya Tanzania au Taasisi yoyote ile ya Serikali imeweza kufanya jambo gani au kufanya kitu gani kwa ufanisi mpaka imekuwa mfano wa kuigwa na jamii?
Je, Serikali yetu hii imeweza kufanya jambo gani lililo zuri, bora na kwa ufanisi mkubwa zaidi? Je, Serikali imeweza katika jambo lipi zuri ndani au nje ya nchi hii??
Let's discuss please, and if possible, give us the vivid examples.
Kila tunachosimamia tunaharibu. Dawa ni uwekezaji wa sekta binafsi.
 
Back
Top Bottom