Kwanini Mwekezaji mpya wa Mabasi ya Mwendokasi (DART) Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu kachelewa kuanza kazi?

Kwanini Mwekezaji mpya wa Mabasi ya Mwendokasi (DART) Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu kachelewa kuanza kazi?

Mbona hujiulizi kwanini mnajenga shule nyingi halafu wanafunzi hawana madawati na Waalimu?

Au na shule mnasubiri Emirates alete waalimu
Kuna watu wanajua kuhoji ila huwezi hata kumuamini mkopo wa elfu 10

Acheni lawama, labda wameona wameombwa hongo kubwa ili mradi uanze au mmeisha iba hata laptops zao mkiwa kwenye kikao maana hamshindwi
 
Waarabu wahuni na washenzi. Tumepigwa
Hakika, waarabu wana dharau kubwa mno kwa asie mwarabu na hasa uwe na ngozi nyeusi kidogo wanakuona mtumwa unaejipendekeza. Wapigaji hamna duniani kama wao.
99% waarabu ni wala unga kwa sababu pombe hawanywi na uzuri wa unga haunuki.
 

Attachments

  • Screenshot_20230621_211056_Chrome.jpg
    Screenshot_20230621_211056_Chrome.jpg
    113.3 KB · Views: 7
Gazeti la Mwananchi la 31 Oktoba 2022 liliripoti habari ya kupatikana mwekezaji mpya wa kuendesha mabasi ya mwendokasi (DART), Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu.

Taarifa ya serikali kupitia gazeti hilo ilisema kampuni hiyo ingeanza kazi Novemba 2022. Makubaliano ni kwamba; mwanzoni kampuni hiyo itaingiza mabasi 177, na ndani ya miezi 6 (kuanzia Nov 2022) itaingiza jumla ya mabasi 750. Pia, watarejesha malipo ya kadi pekee katika vituo vya mwendokasi.

Hata hivyo, hadi sasa wananchi hatuoni hayo mabasi mapya, hatuoni kuboreshwa kwa huduma ya usafiri wa mwendokasi na wala hatuwaoni watendaji wa Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu.

Tatizo ni nini? Mbona wananchi hatuelezwi? Waarabu wamepatwa na nini? Kama wameshindwa hatuwezi kupata waarabu wengine wawekeze?

Information is power.

Soma DAR: DART kuondoa tiketi vituo vya Mwendokasi, malipo ya kadi kurejea
Tupo kwenye mchakato wa kuwapa Emirates waiendeshe ATCL milele
 
Mbona hujiulizi kwanini mnajenga shule nyingi halafu wanafunzi hawana madawati na Waalimu?

Au na shule mnasubiri Emirates alete waalimu
Kuna watu wanajua kuhoji ila huwezi hata kumuamini mkopo wa elfu 10

Acheni lawama, labda wameona wameombwa hongo kubwa ili mradi uanze au mmeisha iba hata laptops zao mkiwa kwenye kikao maana hamshindwi
Sawa mkuu. Ila kama kuna changamoto kubwa basi atafutwe mwekezaji mwingine.
 
Gazeti la Mwananchi la 31 Oktoba 2022 liliripoti habari ya kupatikana mwekezaji mpya wa kuendesha mabasi ya mwendokasi (DART), Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu.

Taarifa ya serikali kupitia gazeti hilo ilisema kampuni hiyo ingeanza kazi Novemba 2022. Makubaliano ni kwamba; mwanzoni kampuni hiyo itaingiza mabasi 177, na ndani ya miezi 6 (kuanzia Nov 2022) itaingiza jumla ya mabasi 750. Pia, watarejesha malipo ya kadi pekee katika vituo vya mwendokasi.

Hata hivyo, hadi sasa wananchi hatuoni hayo mabasi mapya, hatuoni kuboreshwa kwa huduma ya usafiri wa mwendokasi na wala hatuwaoni watendaji wa Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu.

Tatizo ni nini? Mbona wananchi hatuelezwi? Waarabu wamepatwa na nini? Kama wameshindwa hatuwezi kupata waarabu wengine wawekeze kwa kuzingatia waarabu wamefanikiwa sana katika sekta ya usafirishaji?

Information is power.

Soma DAR: DART kuondoa tiketi vituo vya Mwendokasi, malipo ya kadi kurejea
Duh waarabu wameupiga mwingi sana awamu hii.
 
Gazeti la Mwananchi la 31 Oktoba 2022 liliripoti habari ya kupatikana mwekezaji mpya wa kuendesha mabasi ya mwendokasi (DART), Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu.

Taarifa ya serikali kupitia gazeti hilo ilisema kampuni hiyo ingeanza kazi Novemba 2022. Makubaliano ni kwamba; mwanzoni kampuni hiyo itaingiza mabasi 177, na ndani ya miezi 6 (kuanzia Nov 2022) itaingiza jumla ya mabasi 750. Pia, watarejesha mfumo wa malipo ya kadi pekee katika vituo vya mwendokasi.

Hata hivyo, hadi sasa wananchi hatuoni hayo mabasi mapya, hatuoni kuboreshwa kwa huduma ya usafiri wa mwendokasi na wala hatuwaoni watendaji wa Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu.

Tatizo ni nini? Mbona wananchi hatuelezwi? Waarabu wamepatwa na nini? Kama wameshindwa hatuwezi kupata waarabu wengine wawekeze kwa kuzingatia waarabu wamefanikiwa sana katika sekta ya usafirishaji?

Information is power.

Soma DAR: DART kuondoa tiketi vituo vya Mwendokasi, malipo ya kadi kurejea
Bora asije ,hii Nchi imejaa wapumbavu waliojaza mentality za umaskini wa Kijamaa..

Wasije ibakie Kila mradi unaleta hasara Ili pesa za Madini,Utalii na jasho jingine ziwe zinaendesha mashirika yaliyofeli..

Ndio stahiki ya mjamaa
 
Unatuuliza sisi badala ya kuwauliza wahusika?

Unajuaje kama taratibu zingine bado zinaendelea?

Tuliahidiwa treni ya Dar- Moro ingeanza 2019. Je imeanza?

Tuliahidiwa vichwa vipya vya treni Je vilifika?

Tuliahidiwa Bwawa la Umeme lingekamilika 2021 , Je limekamilika?
Uza na familia yako kama unayo kwa Waarabu. Utakuwa tajiri ujue
 
Gazeti la Mwananchi la 31 Oktoba 2022 liliripoti habari ya kupatikana mwekezaji mpya wa kuendesha mabasi ya mwendokasi (DART), Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu.

Taarifa ya serikali kupitia gazeti hilo ilisema kampuni hiyo ingeanza kazi Novemba 2022. Makubaliano ni kwamba; mwanzoni kampuni hiyo itaingiza mabasi 177, na ndani ya miezi 6 (kuanzia Nov 2022) itaingiza jumla ya mabasi 750. Pia, watarejesha mfumo wa malipo ya kadi pekee katika vituo vya mwendokasi.

Hata hivyo, hadi sasa wananchi hatuoni hayo mabasi mapya, hatuoni kuboreshwa kwa huduma ya usafiri wa mwendokasi na wala hatuwaoni watendaji wa Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu.

Tatizo ni nini? Mbona wananchi hatuelezwi? Waarabu wamepatwa na nini? Kama wameshindwa hatuwezi kupata waarabu wengine wawekeze kwa kuzingatia waarabu wamefanikiwa sana katika sekta ya usafirishaji?

Information is power.

Soma DAR: DART kuondoa tiketi vituo vya Mwendokasi, malipo ya kadi kurejea
Hiyo ndio picha ya uwezo wa hawa waarabu. Tatizo ni ulimbukeni na kutojiamini. Lakini zaidi ni tamaa binafsi ya vigogo wetu kupiga dili. Hawa sisi tuna uwezo kama wao kuendesha mambo. Kama ni hela sio kwamba waarabu ziko tu ila ukiwapa dili wanaenda kukopa. Lakini wanachofanya ni udalali tu maana wanapanga na wajuzi toka sehemu mbalimbali. Utakuta wakija na kampuni hapa wapo wazungu wahindi hata wachina. Sisi kwani hatuwezi kukopa kama serikali au sekta yetu binafsi?
Tuache ujinga na ulafi wa kijinga. Tutadharauliwa hadi mwidho wa dunia.
 
Hiyo ndio picha ya uwezo wa hawa waarabu. Tatizo ni ulimbukeni na kutojiamini. Lakini zaidi ni tamaa binafsi ya vigogo wetu kupiga dili. Hawa sisi tuna uwezo kama wao kuendesha mambo. Kama ni hela sio kwamba waarabu ziko tu ila ukiwapa dili wanaenda kukopa. Lakini wanachofanya ni udalali tu maana wanapanga na wajuzi toka sehemu mbalimbali. Utakuta wakija na kampuni hapa wapo wazungu wahindi hata wachina. Sisi kwani hatuwezi kukopa kama serikali au sekta yetu binafsi?
Tuache ujinga na ulafi wa kijinga. Tutadharauliwa hafi mwidho wa dunia.
Hawa jamaa wanacheza na akili tu. Mashirika yao hawabinafsishi bali wanaajiri wazungu na wahindi wasimamie.
 
Siku ukiambiwa jamaa wanapiga mzigo na wanakula chao vizuri tu utajua hujui.
 
Daah! Lakini si tungeona mabadiliko katika utendaji?
Utendaji gani tena, hiyo ndo bongo unaweza kuta jamaa washapewa tenda pesa inapigwa juu kwa juu na hamna linalofanyika.
We kipepe wa wapi?
 
Back
Top Bottom