Kwanini Mwekezaji mpya wa Mabasi ya Mwendokasi (DART) Kampuni ya Emirates National Group kutoka Falme za Kiarabu kachelewa kuanza kazi?

Acha uchokozi mkuu! Nimehisi jambo... unataka kuibua jambo!!!
Mkuu, ni kweli nataka kuibua majibu ya ukimya huu. Tunaoteseka ni sisi watumiaji wa mwendokasi. Kero ni kubwa mno.

Walipotutangazia kapatikana mwekezaji toka Falme za Kiarabu mwenye uwezo tulifarijika. Huu ukimya hatuuelewi.
 
Hapo unaamanisja serikali imefeli. Sasa kwa nini tusianze na kubinafsisha serikali?
 
Kila kitu mzanzibar anajua watanganyika hawawezi kazi kweli kweli.
 
Serikali ya CCM imepoteza dira na muelekeo(r.i.p Horace kolimba)
 
Una jambo jingine uongeze ili ututhibitishie unavyochukia waarqbu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…