Kwanini Mzee Jaji Warioba alirundikiwa vyeo vingi sana enzi ya Mwalimu Nyerere

Kwanini Mzee Jaji Warioba alirundikiwa vyeo vingi sana enzi ya Mwalimu Nyerere

dr namugari

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
10,466
Reaction score
18,206
Mzee alipata kuwa
Jaji Mkuu
Makamu wa Rais
Waziri Mkuu
Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Na badae Tena akaja kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Marekebisho ya Katiba

Hivi nauuliza huyu mzee ndio alikuwa msomi pekee na hadi Mwalimu kumpachika vyeo vyote hivyo kasoro uspika?

Nataka kuelewa kwanini walimpachika vyeo hivyo

Je, pension yake si itakuwa inasoma vzr sana kote kote analamba aliko hudumu.

Leo nilikuwa nae kwenye mkutano wa wahariri akifungua kongamano wadau wa habari na uchaguzi ndipo nikawaza aliwezaje kuwa kote kote huko na Ni kipind gani alihudumu.

IMG_20240430_140721.jpg
 
Mzee alipata kuwa
Jaji mkuu
Makamu wa rais
Waziri mkuu
Mwanasheria mkuu wa serekali

Na badae Tena akaja kuwa mwenyekit ya tume ya marekebisho ya katiba

Hivi nauuliza huyu mzee ndio alikuwa msomi pekee na Hadi mwalimu kumpachika vyeo vyote hvyo kasoro uspika

Nataka kueleWa kwanini walimpachika vyeto hvyo

Je pension yake si itakua inasoma vzr sna kote kote analamba aliko hudumu

leo nilikuwa nae kwenye mkutano wa wahariri akifungua kongamano wadau wa habari na uchaguzi ndipo nikawaza aliwezaje kuwa kote kote huko na Ni kipind gani alihudumu

May be na yeye Mroho
 
Rekebisho kidogo: hakuwahi kuwa jaji mkuu, alikua jaji wa mahakana kuu.
Marekebisho na kwako Jaji Warioba hajawahi kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Alikuwa Jaji wa moja wapo ya nchi za jumuiya ya madola, (imenitoka kidogo). Hajawahi kuwa Jaji ndani ya Mahakama ya Tanzania.

Ukiuliza kama hilo linawezekana jibu ni ndio linawezekana.

Mbali na elimu pia Jaji Warioba na Mzee Butiku wana nasaba ya karibu na Mwalimu Nyerere.
 
Mzee alipata kuwa
Jaji mkuu
Makamu wa rais
Waziri mkuu
Mwanasheria mkuu wa serekali

Na badae Tena akaja kuwa mwenyekit ya tume ya marekebisho ya katiba

Hivi nauuliza huyu mzee ndio alikuwa msomi pekee na Hadi mwalimu kumpachika vyeo vyote hvyo kasoro uspika

Nataka kueleWa kwanini walimpachika vyeto hvyo

Je pension yake si itakua inasoma vzr sna kote kote analamba aliko hudumu

leo nilikuwa nae kwenye mkutano wa wahariri akifungua kongamano wadau wa habari na uchaguzi ndipo nikawaza aliwezaje kuwa kote kote huko na Ni kipind gani alihudumu
Unafahamu maana ya kurundikwa?

Kwa muktadha wa swali lako juu ya Jaji Joseph Sinde Warioba, inamaanisha kupachikwa vyeo vingi kwa wakati mmoja.

Unachopaswa kujua ni kuwa, Mzee Sinde alitumikia nafasi hizo kwa nyakati tofauti tofauti kipindi cha utumishi wake.

Mathalani,
.Kuanzia mwaka 1976-1985 ndiyo alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
.Mwaka 1985 mpaka 1990 ndipo alikuwa Waziri Mkuu kipindi cha Hayati Mzee Mwinyi.
.Mwenyekiti wa tume ya Katiba mwaka 2012.

Hajawahi kuwa Jaji Mkuu kama ulivyoainisha hapo juu.

Hakuna kipindi ambacho aliwahi kuwa na vyeo viwili kwa wakati mmoja. Ukiachana na vile vya lazima kama kuwa Mbunge ili uweze kuwa waziri, nk.

Na si yeye tu, viongozi wengi wa Tanzania wamepitia katika nyakati tofauti tofauti za uongozi, na kuwa na vyeo tofauti tofauti katika nyakati za utumishi wao.
 
Mzee alipata kuwa
Jaji mkuu
Makamu wa rais
Waziri mkuu
Mwanasheria mkuu wa serekali

Na badae Tena akaja kuwa mwenyekit ya tume ya marekebisho ya katiba

Hivi nauuliza huyu mzee ndio alikuwa msomi pekee na Hadi mwalimu kumpachika vyeo vyote hvyo kasoro uspika

Nataka kueleWa kwanini walimpachika vyeto hvyo

Je pension yake si itakua inasoma vzr sna kote kote analamba aliko hudumu

leo nilikuwa nae kwenye mkutano wa wahariri akifungua kongamano wadau wa habari na uchaguzi ndipo nikawaza aliwezaje kuwa kote kote huko na Ni kipind gani alihudumu
Mzee Ni kichwa Sanaa na yupogo real kwakua jf Ni nyumbani kwa wengi 😊 ngoja waje wajuvi wakujuze
 
Unafahamu maana ya kurundikwa?

Kwa muktadha wa swali lako juu ya Jaji Joseph Sinde Warioba, inamaanisha kupachikwa vyeo vingi kwa wakati mmoja.

Unachopaswa kujua ni kuwa, Mzee Sinde alitumikia nafasi hizo kwa nyakati tofauti tofauti kipindi cha uhai wake.

Mathalani,
.Kuanzia mwaka 1976-1985 ndiyo alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
.Mwaka 1985 mpaka 1990 ndipo alikuwa Waziri Mkuu kipindi cha Hayati Mzee Mwinyi.
.Mwenyekiti wa tume ya Katiba mwaka 2012.

Hajawahi kuwa Jaji Mkuu kama ulivyoainisha hapo juu.

Hakuna kipindi ambacho aliwahi kuwa na vyeo viwili kwa wakati mmoja. Ukiachana na vile vya lazima kama kuwa Mbunge ili uweze kuwa waziri, nk.

Na si yeye tu, viongozi wengi wa Tanzania wamepitia katika nyakati tofauti tofauti za uongozi, na kuwa na vyeo tofauti tofauti katika nyakati za utumishi wao.
Machawa wanatumwa kumvuruga Jaji Warioba sababu amekinukisha hukoo kasema ukweli mtupuu kuhusu uvhaguzi
 
Marekebisho na kwako Jaji Warioba hajawahi kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Alikuwa Jaji wa moja wapo ya nchi za jumuiya ya madola, (imenitoka kidogo). Hajawahi kuwa Jaji ndani ya Mahakama ya Tanzania.

Ukiuliza kama hilo linawezekana jibu ni ndio linawezekana.

Mbali na elimu pia Jaji Warioba na Mzee Butiku wana nasaba ya karibu na Mwalimu Nyerere.
Kumbe ndo asili ya kuitwa jaji, mimi nilidhani alikua jaji wa high court.

Asante kwa kunifahamisha.
 
Nyerere alitawala kwa miaka 20+ hii ndio umesahau na alifanya mabadiliko mara kwa mara pia Warioba alistahili kupanda vyeo kutokana na utendaji wake
Ana bahati Sana msema mwalimu nae alikuwa mkanda maalumu Sana wahukunyumba🤣🤣
 
Back
Top Bottom