Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Warioba alishitakiana na Steven Masatu Wasira kwenye kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi Jimbo la Rorya, na siyo Lyatonga.Hapana, hajawahi kuwa Jaji wa Tanzania. Ndo maana hana hata kesi moja aliyowahi sikiliza Tz. Kuna kesi fulani ya mambo ya uchaguzi alishitakiana na kama sio Lyatonga Mrema basi ni Steven Wasira
Samahani mtoa mada. Naomba niende nje ya mada japo kwa muda.Mzee alipata kuwa
Jaji Mkuu
Makamu wa Rais
Waziri Mkuu
Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Na badae Tena akaja kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Marekebisho ya Katiba
Hivi nauuliza huyu mzee ndio alikuwa msomi pekee na hadi Mwalimu kumpachika vyeo vyote hivyo kasoro uspika?
Nataka kuelewa kwanini walimpachika vyeo hivyo
Je, pension yake si itakuwa inasoma vzr sana kote kote analamba aliko hudumu.
Leo nilikuwa nae kwenye mkutano wa wahariri akifungua kongamano wadau wa habari na uchaguzi ndipo nikawaza aliwezaje kuwa kote kote huko na Ni kipind gani alihudumu.
Nakubaliana na wewe kuwa kutosikiliza kesi hakuondoi Ujaji wa Jaji husika. Sikuwa na kumbukumbu nzuri juu ya hii kesi ya uchaguzi ndio maana nikasema aliwahi kuwa na kesi ya uchaguzi na mmoja kati ya hao Mrema na Wasira.Warioba alishitakiana na Steven Masatu Wasira kwenye kesi ya kupinga matokeo ya uchaguzi Jimbo la Rorya, na siyo Lyatonga.
Japo sikumbuki hukumu za Jaji Warioba, ila huyu mwamba ni mwanasheria na aliteuliwa kuwa Jaji.
Whether amesikiliza kesi na au kutoa hukumu au la, haiondoi wala kupunguza ukweli kwamba alikuwa Jaji.
Kwani alikuwa navyo wakati mmoja? Mnaulizaga masuali gani hayo? Kumbuka nafasi ya waziri mkuu enzi zake ilikuwa nafasi moja na Makamu wa Rais, iliitwa Waziri Mkuu na Makamu wa Kwanza wa Rais. Wakati huo Rais wa Serekale ya Zanzibar akiwa Makamu wa Pili wa Rais.Duh sawa ,Sasa alihudumu kwa Muda gani ktk ofc zote
Mwongo mkubwa wewe; nadhani una ajenda yako binafsi hapa.Mzee alipata kuwa
Jaji Mkuu
Makamu wa Rais
Waziri Mkuu
Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Na badae Tena akaja kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Marekebisho ya Katiba
Hivi nauuliza huyu mzee ndio alikuwa msomi pekee na hadi Mwalimu kumpachika vyeo vyote hivyo kasoro uspika?
Nataka kuelewa kwanini walimpachika vyeo hivyo
Je, pension yake si itakuwa inasoma vzr sana kote kote analamba aliko hudumu.
Leo nilikuwa nae kwenye mkutano wa wahariri akifungua kongamano wadau wa habari na uchaguzi ndipo nikawaza aliwezaje kuwa kote kote huko na Ni kipind gani alihudumu.
Marekebisho na kwako Jaji Warioba hajawahi kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Alikuwa Jaji wa moja wapo ya nchi za jumuiya ya madola, (imenitoka kidogo). Hajawahi kuwa Jaji ndani ya Mahakama ya Tanzania.
Ukiuliza kama hilo linawezekana jibu ni ndio linawezekana.
Mbali na elimu pia Jaji Warioba na Mzee Butiku wana nasaba ya karibu na Mwalimu Nyerere.