dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 10,466
- 18,206
- Thread starter
- #21
Mnk alikuwa jaji mkuuKuna member kanirekebisha, ni kweli hajawahi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnk alikuwa jaji mkuuKuna member kanirekebisha, ni kweli hajawahi.
Hajawahi kuwa jaji mkuu.Mnk alikuwa jaji mkuu
Sasa nchi moja ya jumuiya ya madola s Ni TanzaniaMarekebisho na kwako Jaji Warioba hajawahi kuwa Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania. Alikuwa Jaji wa moja wapo ya nchi za jumuiya ya madola, (imenitoka kidogo). Hajawahi kuwa Jaji ndani ya Mahakama ya Tanzania.
Ukiuliza kama hilo linawezekana jibu ni ndio linawezekana.
Mbali na elimu pia Jaji Warioba na Mzee Butiku wana nasaba ya karibu na Mwalimu Nyerere.
Katika uongozi wa Nyerere Joseph Sinde Warioba alikuwa Waziri wa Sheria na Mwanasheria Mkuu wa Serikali.Mzee alipata kuwa
Jaji Mkuu
Makamu wa Rais
Waziri Mkuu
Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Na badae Tena akaja kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Marekebisho ya Katiba
Hivi nauuliza huyu mzee ndio alikuwa msomi pekee na hadi Mwalimu kumpachika vyeo vyote hivyo kasoro uspika?
Nataka kuelewa kwanini walimpachika vyeo hivyo
Je, pension yake si itakuwa inasoma vzr sana kote kote analamba aliko hudumu.
Leo nilikuwa nae kwenye mkutano wa wahariri akifungua kongamano wadau wa habari na uchaguzi ndipo nikawaza aliwezaje kuwa kote kote huko na Ni kipind gani alihudumu.
Na umakamu wa rais alikuwa kipindi gani kwa ujumla Ni Kwamba ukanda pia ulimbeba snaUnafahamu maana ya kurundikwa?
Kwa muktadha wa swali lako juu ya Jaji Joseph Sinde Warioba, inamaanisha kupachikwa vyeo vingi kwa wakati mmoja.
Unachopaswa kujua ni kuwa, Mzee Sinde alitumikia nafasi hizo kwa nyakati tofauti tofauti kipindi cha utumishi wake.
Mathalani,
.Kuanzia mwaka 1976-1985 ndiyo alikuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali
.Mwaka 1985 mpaka 1990 ndipo alikuwa Waziri Mkuu kipindi cha Hayati Mzee Mwinyi.
.Mwenyekiti wa tume ya Katiba mwaka 2012.
Hajawahi kuwa Jaji Mkuu kama ulivyoainisha hapo juu.
Hakuna kipindi ambacho aliwahi kuwa na vyeo viwili kwa wakati mmoja. Ukiachana na vile vya lazima kama kuwa Mbunge ili uweze kuwa waziri, nk.
Na si yeye tu, viongozi wengi wa Tanzania wamepitia katika nyakati tofauti tofauti za uongozi, na kuwa na vyeo tofauti tofauti katika nyakati za utumishi wao.
Na umakamu wa rais alikuwa kipindi gani kwa ujumla Ni Kwamba ukunda pia ulimbeba sna
Mpaka utangulize neno ''mzee''? Hili ni Magufuli aliwakaririsha wabongo na wengi wameiga. Just say Jaji Warioba watu wataelewa.Mzee alipata kuwa
Jaji Mkuu
Makamu wa Rais
Waziri Mkuu
Mwanasheria Mkuu wa Serikali
Na badae Tena akaja kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Marekebisho ya Katiba
Hivi nauuliza huyu mzee ndio alikuwa msomi pekee na hadi Mwalimu kumpachika vyeo vyote hivyo kasoro uspika?
Nataka kuelewa kwanini walimpachika vyeo hivyo
Je, pension yake si itakuwa inasoma vzr sana kote kote analamba aliko hudumu.
Leo nilikuwa nae kwenye mkutano wa wahariri akifungua kongamano wadau wa habari na uchaguzi ndipo nikawaza aliwezaje kuwa kote kote huko na Ni kipind gani alihudumu.
Wewe unaonekana ni hawa wa shule za kata? Maswali unayouliza haya-make sense hata kidogo. Kwa mfano unasema alilundikiwa vyeo wakati siyo. Tena unahoji pension yake itakuwa kubwa eti kwa sababu alifanya kazi sehemu mbali mbali (yaani una-asume kila cheo kina pension yake). Unasema alibebwa na ukanda, wakati huyu ni mmoja ya wasomi wa kweli wa Tanzania.Na umakamu wa rais alikuwa kipindi gani kwa ujumla Ni Kwamba ukanda pia ulimbeba sna
Tuna sikitika snaaHivyo vyeo sio kuhudumu kwa pamoja. Ni nyakati tofauti tofauti. Pia uadirifu wake ndio ilikuwa kigezo cha yeye kuwa ktk utumishi wa aina hiyo kwa nyakati tofauti.
NB;-Tanzania hatuna bahati. Edward Sokoine ilikuwa kipenzi cha Nyerere na Watanzania pia. Angeisogeza Tz. Bahati mbaya ndio vile. Ikaja kwa JPM bahati mbaya nae ndio ikawa vile
Sasa nikuulize swla la kitoto sna ,je Ni cheo kipi kwa SAS ndio inamlipa pensions Kama alikuwa na byeo karibia vyote muhumi kupewa pensionWewe unaonekana ni hawa wa shule za kata? Maswali unayouliza haya-make sense hata kidogo. Kwa mfano unasema alilundikiwa vyeo wakati siyo. Tena unahoji pension yake itakuwa kubwa eti kwa sababu alifanya kazi sehemu mbali mbali (yaani una-asume kila cheo kina pension yake). Unasema alibebwa na ukanda, wakati huyu ni mmoja ya wasomi wa kweli wa Tanzania.
Bado kanapigwa teuzi kazee ka watu sasa ni ka-chancellor ka SUAhahahah
Hahahahhaajaj kumbe Ni mkuu wa chuo Cha sua Tena nimesahu hyo mkuuBado kanapigwa teuzi kazee ka watu sasa ni ka-chancellor ka SUA
Hapana, hajawahi kuwa Jaji wa Tanzania. Ndo maana hana hata kesi moja aliyowahi sikiliza Tz. Kuna kesi fulani ya mambo ya uchaguzi alishitakiana na kama sio Lyatonga Mrema basi ni Steven WasiraSasa nchi moja ya jumuiya ya madola s Ni Tanzania
KaribuKumbe ndo asili ya kuitwa jaji, mimi nilidhani alikua jaji wa high court.
Asante kwa kunifahamisha.