Kwanini Mzee Kikwete hakumteua Luteni Jenerali Gideon Sayore kuwa Mkuu wa Majeshi?

Kwanini Mzee Kikwete hakumteua Luteni Jenerali Gideon Sayore kuwa Mkuu wa Majeshi?

Hii story niliisikia.

Lakini Nyerere alimkosea sana Kikwete.

Ukiletewa habari in good faith, una obligation ya ku protect sources.

Yani hata kama Nyerere alitaka wanajeshi wayamalize wenyewe, angeweza kumwambia mkuu wa majeshi kwamba nasikia huko kuna migogoro, nataka muimalize wenyewe, bila kutaja kaisikiaje.

Alichofanya Nyerere ni betrayal of confidence.

Yani mtu kakuamini kama wewe mkuu wake wa kazi, kakupa information in confidence, halafu unamfanyia usaliti kwa kumuanika barua yake yote aliyoandika pamoja na jina lake.

Hapo Nyerere alifanya unafiki wa kujionesha mtu wa principles za uongozi, Kikwete akamuamini kwamba yukonserious, kumbe yuko selective kwa nani ana zi apply, wanajeshi anawaogopa au anawafumbia macho. There was a clear conflict of imterest in that whoke setup, Kikwete was right to raise a concern.

Pia, alifanya hata watu wengine wenye information muhimu kutoamini kwamba watakuwa salama wakimletea information.

Mimi si shabiki wa Kikwete, ila, kwa habari hizi, Nyerere alimkosea sana Kikwete.
Absolutely 💯.
 
Hii story niliisikia.

Lakini Nyerere alimkosea sana Kikwete.

Ukiletewa habari in good faith, una obligation ya ku protect sources.

Yani hata kama Nyerere alitaka wanajeshi wayamalize wenyewe, angeweza kumwambia mkuu wa majeshi kwamba nasikia huko kuna migogoro, nataka muimalize wenyewe, bila kutaja kaisikiaje.

Alichofanya Nyerere ni betrayal of confidence.

Yani mtu kakuamini kama wewe mkuu wake wa kazi, kakupa information in confidence, halafu unamfanyia usaliti kwa kumuanika barua yake yote aliyoandika pamoja na jina lake.

Hapo Nyerere alifanya unafiki wa kujionesha mtu wa principles za uongozi, Kikwete akamuamini kwamba yukonserious, kumbe yuko selective kwa nani ana zi apply, wanajeshi anawaogopa au anawafumbia macho. There was a clear conflict of imterest in that whoke setup, Kikwete was right to raise a concern.

Pia, alifanya hata watu wengine wenye information muhimu kutoamini kwamba watakuwa salama wakimletea information.

Mimi si shabiki wa Kikwete, ila, kwa habari hizi, Nyerere alimkosea sana Kikwete.
Hiyo ndo system inavyofanya kazi
Usiiamini sana
Jali tumbo lako
 
Sio kweli, Nyerere alikuwa PM wa Tanganyika huru na baadae Rais wa Tanganyika kisha Tanzania baada ya muungano.

Nafikiri unachanganya mambo, kipindi Nyerere alikuwa Waziri mkuu hakukuwa na cheo cha Uraisi kama ilivyo leo hii nafikiri raisi alikuwa ni English monarchy hivyo WM ndiyo kilikuwa cheo kikubwa klk vyote kiserikali ni kuweka mambo sawa tu haina uhusiano wa WM hawezi hawezi kuwa raisi wa JMTZ hilo silifahamu!
 
Sio lazima mbona wakati Davis mabeyo anastaafu msaidizi alikuwa yule mhehe Lt Gen Mathew Mkingule lakini Mheshimiwa rais alimchagua JJ Mkunda The same kwa magufuli kipindi Mwanyange anastaafu msaidizi alikuwa ni Lt Gen mwakibolwa lakini Hayati Magufuli alimchagua mabeyo Na hata sasa usitegemee huyu Lt Gen Salim othman ndio atakuwa cdf baada ya Gen JJ Mkunda.
TPDF ina bodi na hiyo bodi huteua majina matatu na kumpelekea Rais kisha rais huteua mmoja kati ya hao watatu waliopendekezwa
 
Hii story niliisikia.

Lakini Nyerere alimkosea sana Kikwete.

Ukiletewa habari in good faith, una obligation ya ku protect sources.

Yani hata kama Nyerere alitaka wanajeshi wayamalize wenyewe, angeweza kumwambia mkuu wa majeshi kwamba nasikia huko kuna migogoro, nataka muimalize wenyewe, bila kutaja kaisikiaje.

Alichofanya Nyerere ni betrayal of confidence.

Yani mtu kakuamini kama wewe mkuu wake wa kazi, kakupa information in confidence, halafu unamfanyia usaliti kwa kumuanika barua yake yote aliyoandika pamoja na jina lake.

Hapo Nyerere alifanya unafiki wa kujionesha mtu wa principles za uongozi, Kikwete akamuamini kwamba yukonserious, kumbe yuko selective kwa nani ana zi apply, wanajeshi anawaogopa au anawafumbia macho. There was a clear conflict of imterest in that whoke setup, Kikwete was right to raise a concern.

Pia, alifanya hata watu wengine wenye information muhimu kutoamini kwamba watakuwa salama wakimletea information.

Mimi si shabiki wa Kikwete, ila, kwa habari hizi, Nyerere alimkosea sana Kikwete.
Hii habari umehadithiwa mkuu. Una hakika gani kama ya kweli!!?
Story za humu jf ziachage hivyo hivyo
 
Lugha hii siielewi,ila maneno yananifurahisha,hahahaa! eti kachora kachora...
 
Nakutaka sana...nikupe penzi la kitanga...ebu fanya upange siku nije nikupige mashine uwasahau wanaume zako wa darisalama...kwasasa nipo Tabata[emoji134][emoji134][emoji134]
Kwel tanga waja leo... Yan uzi mzuri ila tayari mshanza kutangaziana nyege
 
Kiutawala Mwl Nyerere alikosea mnoo barua yake kurudi kwa mkuu wa majeshi Kisha naye Msuguri akairudisha tena kwa Sayore... kiukweli alifanya kosa kubwa mnoo, na kama yangetokea mauaji basi Mwl Nyerere ndo angelaumiwa
nyerere aliiacha kesi kwa wanajeshi wenyewe apo nyerere alitumia hekma .. msuguri ilibidi aongee vizuri na sayore..
 
Back
Top Bottom