Darren2019
JF-Expert Member
- Nov 23, 2019
- 1,112
- 2,400
Nyuzi kama hizi huwa nazipenda sana, hazichoshi kusoma.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Absolutely 💯.Hii story niliisikia.
Lakini Nyerere alimkosea sana Kikwete.
Ukiletewa habari in good faith, una obligation ya ku protect sources.
Yani hata kama Nyerere alitaka wanajeshi wayamalize wenyewe, angeweza kumwambia mkuu wa majeshi kwamba nasikia huko kuna migogoro, nataka muimalize wenyewe, bila kutaja kaisikiaje.
Alichofanya Nyerere ni betrayal of confidence.
Yani mtu kakuamini kama wewe mkuu wake wa kazi, kakupa information in confidence, halafu unamfanyia usaliti kwa kumuanika barua yake yote aliyoandika pamoja na jina lake.
Hapo Nyerere alifanya unafiki wa kujionesha mtu wa principles za uongozi, Kikwete akamuamini kwamba yukonserious, kumbe yuko selective kwa nani ana zi apply, wanajeshi anawaogopa au anawafumbia macho. There was a clear conflict of imterest in that whoke setup, Kikwete was right to raise a concern.
Pia, alifanya hata watu wengine wenye information muhimu kutoamini kwamba watakuwa salama wakimletea information.
Mimi si shabiki wa Kikwete, ila, kwa habari hizi, Nyerere alimkosea sana Kikwete.
Hiyo ndo system inavyofanya kaziHii story niliisikia.
Lakini Nyerere alimkosea sana Kikwete.
Ukiletewa habari in good faith, una obligation ya ku protect sources.
Yani hata kama Nyerere alitaka wanajeshi wayamalize wenyewe, angeweza kumwambia mkuu wa majeshi kwamba nasikia huko kuna migogoro, nataka muimalize wenyewe, bila kutaja kaisikiaje.
Alichofanya Nyerere ni betrayal of confidence.
Yani mtu kakuamini kama wewe mkuu wake wa kazi, kakupa information in confidence, halafu unamfanyia usaliti kwa kumuanika barua yake yote aliyoandika pamoja na jina lake.
Hapo Nyerere alifanya unafiki wa kujionesha mtu wa principles za uongozi, Kikwete akamuamini kwamba yukonserious, kumbe yuko selective kwa nani ana zi apply, wanajeshi anawaogopa au anawafumbia macho. There was a clear conflict of imterest in that whoke setup, Kikwete was right to raise a concern.
Pia, alifanya hata watu wengine wenye information muhimu kutoamini kwamba watakuwa salama wakimletea information.
Mimi si shabiki wa Kikwete, ila, kwa habari hizi, Nyerere alimkosea sana Kikwete.
Ni sahihi Mimi ni level ya babayako kabisaKijana wako! Kama umezaliwa kabla au mwaka 1972 upo sawa na mzazi wangu Kwa maana ya baba
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] aseeeh noumaaaah[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kwani ajabu! Maisha tu yamenikomaza
Wee usnambieeeYani nimekuja dar kwaajili Yako harafu ukanikataa dah...
Nakutaka sana...nikupe penzi la kitanga...ebu fanya upange siku nije nikupige mashine uwasahau wanaume zako wa darisalama...kwasasa nipo Tabata🙆🙆🙆Wee usnambieee
Wee kumbe uko Dar?? Baadae tukutaneeNakutaka sana...nikupe penzi la kitanga...ebu fanya upange siku nije nikupige mashine uwasahau wanaume zako wa darisalama...kwasasa nipo Tabata[emoji134][emoji134][emoji134]
Acha kunipanga fanya nikuone kweli...ujue nipo seriouslyWee kumbe uko Dar?? Baadae tukutanee
Sio kweli, Nyerere alikuwa PM wa Tanganyika huru na baadae Rais wa Tanganyika kisha Tanzania baada ya muungano.
Hii habari umehadithiwa mkuu. Una hakika gani kama ya kweli!!?Hii story niliisikia.
Lakini Nyerere alimkosea sana Kikwete.
Ukiletewa habari in good faith, una obligation ya ku protect sources.
Yani hata kama Nyerere alitaka wanajeshi wayamalize wenyewe, angeweza kumwambia mkuu wa majeshi kwamba nasikia huko kuna migogoro, nataka muimalize wenyewe, bila kutaja kaisikiaje.
Alichofanya Nyerere ni betrayal of confidence.
Yani mtu kakuamini kama wewe mkuu wake wa kazi, kakupa information in confidence, halafu unamfanyia usaliti kwa kumuanika barua yake yote aliyoandika pamoja na jina lake.
Hapo Nyerere alifanya unafiki wa kujionesha mtu wa principles za uongozi, Kikwete akamuamini kwamba yukonserious, kumbe yuko selective kwa nani ana zi apply, wanajeshi anawaogopa au anawafumbia macho. There was a clear conflict of imterest in that whoke setup, Kikwete was right to raise a concern.
Pia, alifanya hata watu wengine wenye information muhimu kutoamini kwamba watakuwa salama wakimletea information.
Mimi si shabiki wa Kikwete, ila, kwa habari hizi, Nyerere alimkosea sana Kikwete.
Heshima yako mkubwa 🙏🙏🙏🙏Ni sahihi Mimi ni level ya babayako kabisa
CDF ndio amechemka kwanin asitatue tatizo kwavijana wake badala yake akamua kumwaga petrol kwenye moshiIla hapo Mwalimu JKN alichemka mbaya hasa inapohusisha jeshi.
Kwel tanga waja leo... Yan uzi mzuri ila tayari mshanza kutangaziana nyegeNakutaka sana...nikupe penzi la kitanga...ebu fanya upange siku nije nikupige mashine uwasahau wanaume zako wa darisalama...kwasasa nipo Tabata[emoji134][emoji134][emoji134]
Mwamunyange alikuwa ni sajentiMwamunyange alikuwa CHIEF OF STAFF kabla hajateuliwa kuwa CDF same kwa MABEYO.
nyerere aliiacha kesi kwa wanajeshi wenyewe apo nyerere alitumia hekma .. msuguri ilibidi aongee vizuri na sayore..Kiutawala Mwl Nyerere alikosea mnoo barua yake kurudi kwa mkuu wa majeshi Kisha naye Msuguri akairudisha tena kwa Sayore... kiukweli alifanya kosa kubwa mnoo, na kama yangetokea mauaji basi Mwl Nyerere ndo angelaumiwa
msitualibie hii thread.Nakutaka sana...nikupe penzi la kitanga...ebu fanya upange siku nije nikupige mashine uwasahau wanaume zako wa darisalama...kwasasa nipo Tabata[emoji134][emoji134][emoji134]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa uko wapiiAcha kunipanga fanya nikuone kweli...ujue nipo seriously