Ni kweli!Sisi tuna FOUNDING FATHERS hatuna Founding Father mmoja. Yes alikuwa mbele, lakini alikuwa na Wapigania Uhuru wengi tu waliomzunguuka.
Ni kama huko Marekani wana Founding Fathers including akina George Washington, Thomas Jefferson, na wengineo wengi.
Tunaojua historia hatukubali eti Nyerere ndiyo Historia ya Tanganyika na Tanganyika ndiyo historia yake.
Asante mkuu Kwa historia fupi.Kipindi hicho mkuu wa chuo alikuwa Gideon Sayore, Kikwete alikuwa ni mmoja wakufunzi wa siasa chuoni hapo.
Sasa ilikuwa hivi:
Mzee Sayore alikuwa anafuga ng'ombe wengi pamoja kufanya shughuli za kilimo kwa wingi wakati huo huo akiwa mkuu wa chuo cha kijeshi Monduli.
Hivyo basi baada ya kuona ng'ombe wanatoa maziwa mengi mno na mazao yametapakaa mashambani akaamua kuwa awe analiuzia jeshi mazao kama vile maharage na mahindi pamoja na maziwa na nyama kutoka kwenye mifugo yake na pesa anachukua yeye mwenye mazo.
Aliendelea kufanya hivyo kwa kipindi kirefu tu.. ikiwa ni kama sehemu yake ya maisha.
Sasa bwana kumbe Kikwette (JK) ilikuwa inamuuma sana sana, yaani mno! Sasa haieleweki kama ilikuwa kweli ni kwa uzalendo ua wivu tu akaandika barua kwa Rais kipindi hicho JK Nyerere.
Katika barua hiyo akaandika lawama nyingi mno na majungu mengi sana dhidi ya Sayore, akimwita bepari, bwenyenye, mnyonyaji n.k huku akisema hafai kuwa mkuu wachuo hicho kwa kuwa inavunja miiko ya uongozi na mambo mengine mengi (si mnamjua JK anavyojua kupiga fitna!)
Basi bwana, akamalizia mwisho kwa kujiandika jina lake na sahihi yake huku akijiita mzalendo kamili barua ikapostiwa ikiwa imeadresiwa kwa Rais wa nchi wakati huo!
Mwalimu, aliipata barua ile aliifungua akaisomaaaa kisha akapiga hesabu zake....sijui aliwaza nini mzee yule, akaihifadhi ile barua ikaa sana ofini kwake bila kuchukua uamuzi wowote.
Siku moja alipokuja mkuu wa majeshi wakati huo "General Mtukula" (David Musuguli) ofisini kwa Mwalimu eaisi kipindi hicho, mwalimu akampa ile barua kutoka kwa Kikwete "akisema hayo ni mambo yenu kayamalizeni hukohuko".
Basi bwana ile barua Mkuu wa majeshi alikaa nayo muda hivi kwenye makabrasha yake. Sasa siku moja alikuja Mkuu wa chuo cha kijeshi Monduli(Sayore) Dar es salaam kufanya shughuli za kikazi akaenda hadi ofisini kwa Mkuu wa majeshi.
Baada ya shughuli kwisha na Sayore akiwa anajiandaa kwenda Monduli Mkuu wa majeshi alimwita, akampa ile barua ya Kikwete aliyomwandikia Rais!
Sayore akaisoomaaa we akashangaa mno!! Na akafura kwa hasira yule mmasai, akuliza mwalimu kasemaje? Akaambiwa mwalimu kasema yamalizeni wenyewe. Akasema naam, na akaondoka na ile barua hadi Monduli.
Alipofika tu yule mmasai aliitisha kikao cha wakufunzi wote na wakuu wengine pale chuoni, wakati wanajikusanya kwenda kwenye chumba cha mkutano yeye aliamua kwenda kutoa copy ile barua ya Kikwete, kopi nyingi idadi sawa na wajumbe wa mkutano ule.
Alipoingia mkutanoni akawaona wakuu na wakufunzi wote wameketi wakimsubiri wajue alicho waitia, akaanza kwa kuwauliza. Jamani kama kuna mtu ana matatizo, au anaona kuna jambo haliendi sawa anyooshe mkono na saemekinacho mkereketa, watu wote wakawa kimya huku wengine wakisema hamna mkuu akiwemo Kikwete.
Basi bwana, tumalizie mkasa huu
Sayore akaanza kuwagawia zile nakala (copies) za ile barua ya Kikwete kwenda kwa rais akawagawia wooote including Kikwete!!! Huku yule mmasasi Sayore akiwa amefura kwa hasira, macho mekunduuu! Akagonga ngumi juu ya meza kwa hasira na kusema someni hiyo barua!! kisha akatoka na kusema anakuja muda si mrefu.
Hapo Kikwete akajua kifo chake kimefika, akikumbuka macho ya yuile mmasai! akatetemeka macho yakamtoka lip! kwa woga! Na wenzie wakamwanzishia zogo mle ndani.
Alichokifanya ni kuondoka haraka pale kikaoni wenzie wakajua bado yupo chuoni, kumbe safari ya Dar ikawa imeanza...!! Jamaa alitembea uchochoroni kwa muda mrefu sana huku akiogo kabisa kuingia barabara ya kuu.
Mashuhuda wanasema yule bwana akaja kupanda lift ya gari za vyama vya ushirika maeneo ya USA RIVER, hakukumbuka kubeba mzigo wowote! Just imagine kutoka Monduli hadi hapo jamaa aliteseka sana lakini yeye hakujali, cha muhimu ilikuwa kusalimisha maisha yake.
Basi huo ndiyo ukawa mwisho wa JK Monduli, hukurudi akaja Dar na kupangiwa kazi nyingine na chama lakini alikuwa anamlaani sana Nyerere eti kwanini alimfanyia vile!
Hicho ndicho chanzo cha JK kumchukia mwalimu na kugoma katakata kumwita baba wa taifa hadi leo! Yeye humwita mzee Nyrere tu au mwalimu baasi na mara chache akiwa nje ya nchi humwita 'Father of our Nation', lakini ni pale anapotaka kupigiwa makofi kwa nukuu za Mwalimu.
walitakiwa wamuue kabisa ameliiuza taifa letu. hatareeKipindi hicho mkuu wa chuo alikuwa Gideon Sayore, Kikwete alikuwa ni mmoja wakufunzi wa siasa chuoni hapo.
Sasa ilikuwa hivi:
Mzee Sayore alikuwa anafuga ng'ombe wengi pamoja kufanya shughuli za kilimo kwa wingi wakati huo huo akiwa mkuu wa chuo cha kijeshi Monduli.
Hivyo basi baada ya kuona ng'ombe wanatoa maziwa mengi mno na mazao yametapakaa mashambani akaamua kuwa awe analiuzia jeshi mazao kama vile maharage na mahindi pamoja na maziwa na nyama kutoka kwenye mifugo yake na pesa anachukua yeye mwenye mazo.
Aliendelea kufanya hivyo kwa kipindi kirefu tu.. ikiwa ni kama sehemu yake ya maisha.
Sasa bwana kumbe Kikwette (JK) ilikuwa inamuuma sana sana, yaani mno! Sasa haieleweki kama ilikuwa kweli ni kwa uzalendo ua wivu tu akaandika barua kwa Rais kipindi hicho JK Nyerere.
Katika barua hiyo akaandika lawama nyingi mno na majungu mengi sana dhidi ya Sayore, akimwita bepari, bwenyenye, mnyonyaji n.k huku akisema hafai kuwa mkuu wachuo hicho kwa kuwa inavunja miiko ya uongozi na mambo mengine mengi (si mnamjua JK anavyojua kupiga fitna!)
Basi bwana, akamalizia mwisho kwa kujiandika jina lake na sahihi yake huku akijiita mzalendo kamili barua ikapostiwa ikiwa imeadresiwa kwa Rais wa nchi wakati huo!
Mwalimu, aliipata barua ile aliifungua akaisomaaaa kisha akapiga hesabu zake....sijui aliwaza nini mzee yule, akaihifadhi ile barua ikaa sana ofini kwake bila kuchukua uamuzi wowote.
Siku moja alipokuja mkuu wa majeshi wakati huo "General Mtukula" (David Musuguli) ofisini kwa Mwalimu eaisi kipindi hicho, mwalimu akampa ile barua kutoka kwa Kikwete "akisema hayo ni mambo yenu kayamalizeni hukohuko".
Basi bwana ile barua Mkuu wa majeshi alikaa nayo muda hivi kwenye makabrasha yake. Sasa siku moja alikuja Mkuu wa chuo cha kijeshi Monduli(Sayore) Dar es salaam kufanya shughuli za kikazi akaenda hadi ofisini kwa Mkuu wa majeshi.
Baada ya shughuli kwisha na Sayore akiwa anajiandaa kwenda Monduli Mkuu wa majeshi alimwita, akampa ile barua ya Kikwete aliyomwandikia Rais!
Sayore akaisoomaaa we akashangaa mno!! Na akafura kwa hasira yule mmasai, akuliza mwalimu kasemaje? Akaambiwa mwalimu kasema yamalizeni wenyewe. Akasema naam, na akaondoka na ile barua hadi Monduli.
Alipofika tu yule mmasai aliitisha kikao cha wakufunzi wote na wakuu wengine pale chuoni, wakati wanajikusanya kwenda kwenye chumba cha mkutano yeye aliamua kwenda kutoa copy ile barua ya Kikwete, kopi nyingi idadi sawa na wajumbe wa mkutano ule.
Alipoingia mkutanoni akawaona wakuu na wakufunzi wote wameketi wakimsubiri wajue alicho waitia, akaanza kwa kuwauliza. Jamani kama kuna mtu ana matatizo, au anaona kuna jambo haliendi sawa anyooshe mkono na saemekinacho mkereketa, watu wote wakawa kimya huku wengine wakisema hamna mkuu akiwemo Kikwete.
Basi bwana, tumalizie mkasa huu
Sayore akaanza kuwagawia zile nakala (copies) za ile barua ya Kikwete kwenda kwa rais akawagawia wooote including Kikwete!!! Huku yule mmasasi Sayore akiwa amefura kwa hasira, macho mekunduuu! Akagonga ngumi juu ya meza kwa hasira na kusema someni hiyo barua!! kisha akatoka na kusema anakuja muda si mrefu.
Hapo Kikwete akajua kifo chake kimefika, akikumbuka macho ya yuile mmasai! akatetemeka macho yakamtoka lip! kwa woga! Na wenzie wakamwanzishia zogo mle ndani.
Alichokifanya ni kuondoka haraka pale kikaoni wenzie wakajua bado yupo chuoni, kumbe safari ya Dar ikawa imeanza...!! Jamaa alitembea uchochoroni kwa muda mrefu sana huku akiogo kabisa kuingia barabara ya kuu.
Mashuhuda wanasema yule bwana akaja kupanda lift ya gari za vyama vya ushirika maeneo ya USA RIVER, hakukumbuka kubeba mzigo wowote! Just imagine kutoka Monduli hadi hapo jamaa aliteseka sana lakini yeye hakujali, cha muhimu ilikuwa kusalimisha maisha yake.
Basi huo ndiyo ukawa mwisho wa JK Monduli, hukurudi akaja Dar na kupangiwa kazi nyingine na chama lakini alikuwa anamlaani sana Nyerere eti kwanini alimfanyia vile!
Hicho ndicho chanzo cha JK kumchukia mwalimu na kugoma katakata kumwita baba wa taifa hadi leo! Yeye humwita mzee Nyrere tu au mwalimu baasi na mara chache akiwa nje ya nchi humwita 'Father of our Nation', lakini ni pale anapotaka kupigiwa makofi kwa nukuu za Mwalimu.
Umeeleza vizuri, swali la kujiuliza, je mabeyo kapewa uCoS na kikwete(utwala uliopita) na magufuri(utawala mpya)wrong......
context ni je, umewahi kuona CoS wa utawala 'unaoachia madaraka' anateuliwa kuwa CDF?
sasa mwamunyange na mabeyo waliteuliwa na maraisi walioingia madarakani, wakahudumu kwa mwaka kisha wakapewa u-jenerali kamili.......
ni kama tu samia angempa yule aliyempeleka zambia....
Naam, Wazee Baada ya Jiwe kwenda na COVID, wakamwambia Kijana Mlunga unaenda Duriti ArushaYah uko sahihi ilikuwa Chuo cha Duruti. Staff and Command College
Enzi za Kikwete Chief Of Staff alikuwa na Afande Ndomba, baadae akaja Yakub Hassan, Februari 15, 2018, Baadae Jiwe akampa MabeyoUmeeleza vizuri, swali la kujiuliza, je mabeyo kapewa uCoS na kikwete(utwala uliopita) na magufuri(utawala mpya)
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Sawa, ila nikupe siri moja tu...!Sawa lakini kikwete alkua Ni mpelelezi mkuu so ilkua sahihi kusema au kupeleka taifa
Story halisi naifahamuSawa, ila nikupe siri moja tu...!
Hakuna cheo cha kukiogopa jeshini kama hiyo ya Ushushushu (Upelelezi) Most Soldiers huwa wanaomba wasiteuliwe (kumbuka jeshini ni uteuzi tu usiojadiliwa wala kukataliwa)
Ni rahisi sana kuuawa ukitekeleza majukumu kwny nafasi hiyo, JK was right kudisappear
Wengi wameuawa....
Kijenge - MoshonoNyumbani kwake ni Moshono.
Kamuulize Kikwete ila ujue alikuwa na prerogative ya kumteua yeyote amtakae au amwaminie. kama alivyofanya. Je hii inaweza kutusaidia nini?Mtakumbuka Mara tu baada ya Kikwete kuingia madarakani mwaka 2005, Mkuu wa Majeshi Robert Mboma alikuwa anakaribia muda wake wa kustaafu.
Msaidizi wa General Mboma alikuwa Luteni Generali Gideon Sayore. LG Sayore alikuwa hajafikisha umri wa kustaafu jeshinni huku Bosi wake Mboma akistaafu.
Kwanini Rais Kikwete hakumteua kuwa Mkuu wa Majeshi?
Kijenge ni tofauti na moshono.Kijenge - Moshono
[emoji23][emoji23][emoji23] Kuna watu ni viazi sana humuAskari wa kawaida anaweza kumfukuza Mkuu wa Kambi..??
Mleta Uzi alikuwa na lengo la kurufahamisha kuwa unafiku JK kauanza kitamboKabla hapo afuatilie ilikuwaje akahamishwa kutoka Zanzibar.
By the way, sioni kwanini mleta mada atake awe Sayore tu wakati wapo wengine wengi. Zaidi, siyo kila unayedhani anafaa basi ni lazima awe nafasi ya juu kabisa.
Mm mwenyew ninashangaa hapa imkuaje comment hii kubebwa Kwa uzito huu🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Naona great thinkers wengi wamekubali bwana hii taarifa.......si kwa likes hizo.
Jf imekuwa nyepesi mnoooo.
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimesoma MORINGE SOKOINE, TMA ni jirani sana najaribu kuwaza toka Monduli hadi USA RIVER kwa ngondi [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kama ingekuwa kama mleta mada anavyojaribu kuwaaminisha watu basi angemuondoa Jeshini na kumteua kuwa mkoo wa mkoa au kumpeleka Ubalozini, lakini mbona hakufanya hivyo?Mleta Uzi alikuwa na lengo la kurufahamisha kuwa unafiku JK kauanza kitambo
Acha bangi wewe mwehu!Itakuwa Sayore alifukuzwa na Kikwete chuo
Hivi kirefu cha cos ni niniYes, mabeyo alikua COS
Dodo acha uzushi na uwongo, unakusaidia nini mtu mzima kusema uwongo na uzushi wa hovyo hivyo. Hakuna mwanajeshi wa hovyo namna hiyo tena mwenye cheo kikubwa kiasi hicho. Mwanajeshi ni mtiifu kwa rais na amiri jeshi mkuu hawezi kukataa shughuli yoyte anayopewa na mkuu wa nchiMzee Sayore alikataa promotion yoyote ya Kikwete hata baada ya Kikwete kuomba msamaha kwa magoti,mzee hadi leo anakumbuka mkwere alichomfanyia kule Monduli,mkwere fitna kaanza muda sana
Machafu chafu yani siyo uchafu ni utendaji..Hivi kirefu cha cos ni nini