Kwanini Mzee Kikwete hakumteua Luteni Jenerali Gideon Sayore kuwa Mkuu wa Majeshi?

Kwanini Mzee Kikwete hakumteua Luteni Jenerali Gideon Sayore kuwa Mkuu wa Majeshi?

Fix, fix, uongo, uongo. Nchi hii TOP ni Rais na hakuna mwanajeshi anaweza kumgomea Rais wa nchi hii. Huu upumbavu kawaambie wajinga wenzeko wa Kivule huko.
Mkuu, hii niliambiwa na Mtu wa karibu kuwa alikuja kupewa kama sio u DC basi ni Ubalozi wa TZ Sweden....SAYORE akagoma na kusingizia kuwa Afya yake kwasasa haiko vizuri anaomba apumzike nyumbani...!

I heard...sikuprove
 
Kipindi hicho mkuu wa chuo alikuwa Gideon Sayore, Kikwete alikuwa ni mmoja wakufunzi wa siasa chuoni hapo.

Sasa ilikuwa hivi:

Mzee Sayore alikuwa anafuga ng'ombe wengi pamoja kufanya shughuli za kilimo kwa wingi wakati huo huo akiwa mkuu wa chuo cha kijeshi Monduli.

Hivyo basi baada ya kuona ng'ombe wanatoa maziwa mengi mno na mazao yametapakaa mashambani akaamua kuwa awe analiuzia jeshi mazao kama vile maharage na mahindi pamoja na maziwa na nyama kutoka kwenye mifugo yake na pesa anachukua yeye mwenye mazo.

Aliendelea kufanya hivyo kwa kipindi kirefu tu.. ikiwa ni kama sehemu yake ya maisha.

Sasa bwana kumbe Kikwette (JK) ilikuwa inamuuma sana sana, yaani mno! Sasa haieleweki kama ilikuwa kweli ni kwa uzalendo ua wivu tu akaandika barua kwa Rais kipindi hicho JK Nyerere.

Katika barua hiyo akaandika lawama nyingi mno na majungu mengi sana dhidi ya Sayore, akimwita bepari, bwenyenye, mnyonyaji n.k huku akisema hafai kuwa mkuu wachuo hicho kwa kuwa inavunja miiko ya uongozi na mambo mengine mengi (si mnamjua JK anavyojua kupiga fitna!)

Basi bwana, akamalizia mwisho kwa kujiandika jina lake na sahihi yake huku akijiita mzalendo kamili barua ikapostiwa ikiwa imeadresiwa kwa Rais wa nchi wakati huo!

Mwalimu, aliipata barua ile aliifungua akaisomaaaa kisha akapiga hesabu zake....sijui aliwaza nini mzee yule, akaihifadhi ile barua ikaa sana ofini kwake bila kuchukua uamuzi wowote.

Siku moja alipokuja mkuu wa majeshi wakati huo "General Mtukula" (David Musuguli) ofisini kwa Mwalimu eaisi kipindi hicho, mwalimu akampa ile barua kutoka kwa Kikwete "akisema hayo ni mambo yenu kayamalizeni hukohuko".

Basi bwana ile barua Mkuu wa majeshi alikaa nayo muda hivi kwenye makabrasha yake. Sasa siku moja alikuja Mkuu wa chuo cha kijeshi Monduli(Sayore) Dar es salaam kufanya shughuli za kikazi akaenda hadi ofisini kwa Mkuu wa majeshi.

Baada ya shughuli kwisha na Sayore akiwa anajiandaa kwenda Monduli Mkuu wa majeshi alimwita, akampa ile barua ya Kikwete aliyomwandikia Rais!

Sayore akaisoomaaa we akashangaa mno!! Na akafura kwa hasira yule mmasai, akuliza mwalimu kasemaje? Akaambiwa mwalimu kasema yamalizeni wenyewe. Akasema naam, na akaondoka na ile barua hadi Monduli.

Alipofika tu yule mmasai aliitisha kikao cha wakufunzi wote na wakuu wengine pale chuoni, wakati wanajikusanya kwenda kwenye chumba cha mkutano yeye aliamua kwenda kutoa copy ile barua ya Kikwete, kopi nyingi idadi sawa na wajumbe wa mkutano ule.

Alipoingia mkutanoni akawaona wakuu na wakufunzi wote wameketi wakimsubiri wajue alicho waitia, akaanza kwa kuwauliza. Jamani kama kuna mtu ana matatizo, au anaona kuna jambo haliendi sawa anyooshe mkono na saemekinacho mkereketa, watu wote wakawa kimya huku wengine wakisema hamna mkuu akiwemo Kikwete.

Basi bwana, tumalizie mkasa huu

Sayore akaanza kuwagawia zile nakala (copies) za ile barua ya Kikwete kwenda kwa rais akawagawia wooote including Kikwete!!! Huku yule mmasasi Sayore akiwa amefura kwa hasira, macho mekunduuu! Akagonga ngumi juu ya meza kwa hasira na kusema someni hiyo barua!! kisha akatoka na kusema anakuja muda si mrefu.

Hapo Kikwete akajua kifo chake kimefika, akikumbuka macho ya yuile mmasai! akatetemeka macho yakamtoka lip! kwa woga! Na wenzie wakamwanzishia zogo mle ndani.

Alichokifanya ni kuondoka haraka pale kikaoni wenzie wakajua bado yupo chuoni, kumbe safari ya Dar ikawa imeanza...!! Jamaa alitembea uchochoroni kwa muda mrefu sana huku akiogo kabisa kuingia barabara ya kuu.

Mashuhuda wanasema yule bwana akaja kupanda lift ya gari za vyama vya ushirika maeneo ya USA RIVER, hakukumbuka kubeba mzigo wowote! Just imagine kutoka Monduli hadi hapo jamaa aliteseka sana lakini yeye hakujali, cha muhimu ilikuwa kusalimisha maisha yake.

Basi huo ndiyo ukawa mwisho wa JK Monduli, hukurudi akaja Dar na kupangiwa kazi nyingine na chama lakini alikuwa anamlaani sana Nyerere eti kwanini alimfanyia vile!

Hicho ndicho chanzo cha JK kumchukia mwalimu na kugoma katakata kumwita baba wa taifa hadi leo! Yeye humwita mzee Nyrere tu au mwalimu baasi na mara chache akiwa nje ya nchi humwita 'Father of our Nation', lakini ni pale anapotaka kupigiwa makofi kwa nukuu za Mwalimu.
Nimesoma MORINGE SOKOINE, TMA ni jirani sana najaribu kuwaza toka Monduli hadi USA RIVER kwa ngondi 🤣🤣🤣
 
Umeeleza vyema kabisa, ila hujamalizia kuwa aliendelea na fitina na chokochoko zingine mpaka msikitini, kwa Idd Simba na Mufti wa wakati ule kumsema vibaya Mwl. J.K Nyerere kuwa anawaonea Waislam [emoji23]

Aisee Waswahili wana jau sana
Too late, hamjaweza na hamtoweza kamwe kumwangusha yule jamaa sababu kuna Mungu (referee) kati ya michuki yenu na yeye. JK ameshaumaliza mwendo wake wa kisiasa, mwacheni endeleeni na hamsini zenu. Kwani malaki ya taarifa mlizomzushia kitambo na kitambo, bila yeye kuijibu hata moja, zimewasaidia nini mpaka leo?!!!

Achacheni nae, zungumzieni na hangaikeni na vikokotoo vyenu hivyo......pumbaaaav!
 
Kipindi hicho mkuu wa chuo alikuwa Gideon Sayore, Kikwete alikuwa ni mmoja wakufunzi wa siasa chuoni hapo.

Sasa ilikuwa hivi:

Mzee Sayore alikuwa anafuga ng'ombe wengi pamoja kufanya shughuli za kilimo kwa wingi wakati huo huo akiwa mkuu wa chuo cha kijeshi Monduli.

Hivyo basi baada ya kuona ng'ombe wanatoa maziwa mengi mno na mazao yametapakaa mashambani akaamua kuwa awe analiuzia jeshi mazao kama vile maharage na mahindi pamoja na maziwa na nyama kutoka kwenye mifugo yake na pesa anachukua yeye mwenye mazo.

Aliendelea kufanya hivyo kwa kipindi kirefu tu.. ikiwa ni kama sehemu yake ya maisha.

Sasa bwana kumbe Kikwette (JK) ilikuwa inamuuma sana sana, yaani mno! Sasa haieleweki kama ilikuwa kweli ni kwa uzalendo ua wivu tu akaandika barua kwa Rais kipindi hicho JK Nyerere.

Katika barua hiyo akaandika lawama nyingi mno na majungu mengi sana dhidi ya Sayore, akimwita bepari, bwenyenye, mnyonyaji n.k huku akisema hafai kuwa mkuu wachuo hicho kwa kuwa inavunja miiko ya uongozi na mambo mengine mengi (si mnamjua JK anavyojua kupiga fitna!)

Basi bwana, akamalizia mwisho kwa kujiandika jina lake na sahihi yake huku akijiita mzalendo kamili barua ikapostiwa ikiwa imeadresiwa kwa Rais wa nchi wakati huo!

Mwalimu, aliipata barua ile aliifungua akaisomaaaa kisha akapiga hesabu zake....sijui aliwaza nini mzee yule, akaihifadhi ile barua ikaa sana ofini kwake bila kuchukua uamuzi wowote.

Siku moja alipokuja mkuu wa majeshi wakati huo "General Mtukula" (David Musuguli) ofisini kwa Mwalimu eaisi kipindi hicho, mwalimu akampa ile barua kutoka kwa Kikwete "akisema hayo ni mambo yenu kayamalizeni hukohuko".

Basi bwana ile barua Mkuu wa majeshi alikaa nayo muda hivi kwenye makabrasha yake. Sasa siku moja alikuja Mkuu wa chuo cha kijeshi Monduli(Sayore) Dar es salaam kufanya shughuli za kikazi akaenda hadi ofisini kwa Mkuu wa majeshi.

Baada ya shughuli kwisha na Sayore akiwa anajiandaa kwenda Monduli Mkuu wa majeshi alimwita, akampa ile barua ya Kikwete aliyomwandikia Rais!

Sayore akaisoomaaa we akashangaa mno!! Na akafura kwa hasira yule mmasai, akuliza mwalimu kasemaje? Akaambiwa mwalimu kasema yamalizeni wenyewe. Akasema naam, na akaondoka na ile barua hadi Monduli.

Alipofika tu yule mmasai aliitisha kikao cha wakufunzi wote na wakuu wengine pale chuoni, wakati wanajikusanya kwenda kwenye chumba cha mkutano yeye aliamua kwenda kutoa copy ile barua ya Kikwete, kopi nyingi idadi sawa na wajumbe wa mkutano ule.

Alipoingia mkutanoni akawaona wakuu na wakufunzi wote wameketi wakimsubiri wajue alicho waitia, akaanza kwa kuwauliza. Jamani kama kuna mtu ana matatizo, au anaona kuna jambo haliendi sawa anyooshe mkono na saemekinacho mkereketa, watu wote wakawa kimya huku wengine wakisema hamna mkuu akiwemo Kikwete.

Basi bwana, tumalizie mkasa huu

Sayore akaanza kuwagawia zile nakala (copies) za ile barua ya Kikwete kwenda kwa rais akawagawia wooote including Kikwete!!! Huku yule mmasasi Sayore akiwa amefura kwa hasira, macho mekunduuu! Akagonga ngumi juu ya meza kwa hasira na kusema someni hiyo barua!! kisha akatoka na kusema anakuja muda si mrefu.

Hapo Kikwete akajua kifo chake kimefika, akikumbuka macho ya yuile mmasai! akatetemeka macho yakamtoka lip! kwa woga! Na wenzie wakamwanzishia zogo mle ndani.

Alichokifanya ni kuondoka haraka pale kikaoni wenzie wakajua bado yupo chuoni, kumbe safari ya Dar ikawa imeanza...!! Jamaa alitembea uchochoroni kwa muda mrefu sana huku akiogo kabisa kuingia barabara ya kuu.

Mashuhuda wanasema yule bwana akaja kupanda lift ya gari za vyama vya ushirika maeneo ya USA RIVER, hakukumbuka kubeba mzigo wowote! Just imagine kutoka Monduli hadi hapo jamaa aliteseka sana lakini yeye hakujali, cha muhimu ilikuwa kusalimisha maisha yake.

Basi huo ndiyo ukawa mwisho wa JK Monduli, hukurudi akaja Dar na kupangiwa kazi nyingine na chama lakini alikuwa anamlaani sana Nyerere eti kwanini alimfanyia vile!

Hicho ndicho chanzo cha JK kumchukia mwalimu na kugoma katakata kumwita baba wa taifa hadi leo! Yeye humwita mzee Nyrere tu au mwalimu baasi na mara chache akiwa nje ya nchi humwita 'Father of our Nation', lakini ni pale anapotaka kupigiwa makofi kwa nukuu za Mwalimu.

Mkuu

Moreover, baada ya kupata nafasi ya kuwa CiC
Manyuzi akiwa Katibu wa Kikundi

Iliundwa kamati maalum ya kuzunguka Nchi nzima na kukusanya publications zote za alizoandika Mwalimu.

Zile publications zipo zilizochomwa pale ofisi ndogo Lumumba na Zingine ambazo hazina makali sana zikapelekwa Dodoma archives.

Kuna maneno yaliondolewa kabisa, Kama ELIMU YA UFUNDI NA KUJITEGEMEA +UJAMAA NA KUJITEGEMEA

Alijitahidi Sana kufuta kila kitu Alichofanya Mwalimu, kitu pekee kilichobaki Ilikuwa KATIBA. Tunajua Ilikuwaje!

Ni kweli neno Baba wa Taifa ni nadra Sana kusikia kutoka kwake zaidi ya Mzee Nyerere au Mwalimu.

Mbombo jilipo!
 
Nimesoma MORINGE SOKOINE, TMA ni jirani sana najaribu kuwaza toka Monduli hadi USA kwa ngondi 🤣🤣🤣
Kawaida sana Kwa mwanajeshi...SI unajua mazoezi TU ya kawaida mwanajeshi anaweza akakimbizwa mchaka mchaka Zaidi ya km 80 za kijeshi...na hizo km ni za kijeshi kwasababu Huwa ni Zaidi ya hizi km za kawaida...🙆🙆🙆🙆🤣🤣🤣
 
Kawaida sana Kwa mwanajeshi...SI unajua mazoezi TU ya kawaida mwanajeshi anaweza akakimbizwa mchaka mchaka Zaidi ya km 80 za kijeshi...na hizo km ni za kijeshi kwasababu Huwa ni Zaidi ya hizi km za kawaida...🙆🙆🙆🙆🤣🤣🤣
Sayore hakuwa mtu mzuri 🤣🤣🤣 si unawajua wamasai km 60+jamaa anatrot porini na hapo Sayore hakutaka kutuma kadets na infantry wa SOFA KJ wamsake
 
Sayore hakuwa mtu mzuri 🤣🤣🤣 si unawajua wamasai km 60+jamaa anatrot porini na hapo Sayore hakutaka kutuma kadets na infantry wa SOFA KJ wamsake
Mimi nadhani alikuwa mtu mzuri...kama asinge kuwa mtu mzuri angemalizana nae kimya kimya...tusinge mfahamu huyu mkwere...jeshini Kuna watu Wana roho mbaya sana na enzi hizo ilikuwa kupotelea huko huko jeshini na ndugu zako wasikuone tena ilikuwa kawaida sana. Na kisingizio kikubwa ilikuwa wanyama wakali...maana karibia kambi zote zilikuwa zinawanyama wakali kama hapo Ruvu ilisifika sana kwakuwa na chatu wakubwa...hivyo ukizingua enzi hizo unapotezwa harafu wanasingiziwa wanyama🤣🤣🤣🤣 ndio maana wanajeshi wengi wa enzi hizo awakupenda sana ndugu zao wajiunge na jeshi...japo hata sasa Mimi binafsi simshauri mtu atafute ajira jeshini!
 
NI HIVI,

Kiukweli LG GIDEON SAYORE alikuwa vizuri sanaa yule Mmasai, Mzee wa Kimandolu / Kijenge

Na hata sasahivi yuko vizuri, He is a real SOLDIER,

Kuna Mswahili mmoja kiongozi Mkubwa alimpelekea UZUSHI Mwl. Nyerere kuwa SAYORE ni fisadi na anafanya biashara jeshini....

Kwasababu Sayore alikuwa anauzia jeshi zima la Monduli (TMA) Maziwa, Nyama na Sausages kwasababu jamaa alikuwa na ng'ombe wa kutosha na alikuwa karibu na ndugu yake mmoja aliyekuwa na kiwanda cha sausages Njiro-Arusha enzi hizo

Wivu ni mbaya wakuu, Umbea ni mbaya pia

Kijana wake mmoja ni Mshkaji wangu sana and he is SMART
Yupo wapi siku hizi...ana fanya mishe Gani...?
 
Mimi nadhani alikuwa mtu mzuri...kama asinge kuwa mtu mzuri angemalizana nae kimya kimya...tusinge mfahamu huyu mkwere...jeshini Kuna watu Wana roho mbaya sana na enzi hizo ilikuwa kupotelea huko huko jeshini na ndugu zako wasikuone tena ilikuwa kawaida sana. Na kisingizio kikubwa ilikuwa wanyama wakali...maana karibia kambi zote zilikuwa zinawanyama wakali kama hapo Ruvu ilisifika sana kwakuwa na chatu wakubwa...hivyo ukizingua enzi hizo unapotezwa harafu wanasingiziwa wanyama🤣🤣🤣🤣 ndio maana wanajeshi wengi wa enzi hizo awakupenda sana ndugu zao wajiunge na jeshi...japo hata sasa Mimi binafsi simshauri mtu atafute ajira jeshini!
Mekulia jeshini 601 KJ ila nlikataa kuingia huko dingi alinitafutia connection baada ya f6.
Nkasema sivai sare baada ya sekondari 🤣🤣🤣 saivi nadhani ngekuwa (meja) 😅😅nikachagua kupambana uraiani ila Serikalini
 
Mekulia jeshini 601 KJ ila nlikataa kuingia huko dingi alinitafutia connection baada ya f6.
Nkasema sivai sare baada ya sekondari 🤣🤣🤣 saivi nadhani ngekuwa (meja) 😅😅nikachagua kupambana uraiani ila Serikalini
Mapambano popote rafiki Kwa upande wangu jeshi nililipenda ila halikunipenda kwani sikuwahi kubahatika kupata nafasi ya kulihudumia...ila nipo karibu karibu na jeshi kwani ndugu zangu asilimia kubwa ni wa hudumu huko jeshini...baada sasa ya Mimi kukosa nafasi huko jeshini nakazia kuwa SIMSHAURI MTU AHANGAIKIE NAFASI ZA JESHI...unaweza ukapambana kivingine nje ya jeshi na ukatoboa
 
Mapambano popote rafiki Kwa upande wangu jeshi nililipenda ila halikunipenda kwani sikuwahi kubahatika kupata nafasi ya kulihudumia...ila nipo karibu karibu na jeshi kwani ndugu zangu asilimia kubwa ni wa hudumu huko jeshini...baada sasa ya Mimi kukosa nafasi huko jeshini nakazia kuwa SIMSHAURI MTU AHANGAIKIE NAFASI ZA JESHI...unaweza ukapambana kivingine nje ya jeshi na ukatoboa
Mezaliwa na kujulia jeshini 601KJ, enzi hizo kila kikosi kina-recruit wanajeshi wake chenyewe kabla ya kubadili utaratibu wa kuwa na vikosi maalumu vya "DEPO"
 
Back
Top Bottom