Kwanini nafurahia zawadi za Rais Samia kwa wageni wake

Kwanini nafurahia zawadi za Rais Samia kwa wageni wake

Geza Ulole

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2009
Posts
65,136
Reaction score
91,917
Zawadi zake haziteketezi miti ya Mpingo (blackwood) kama kipindi cha Mwendazake ambapo alikuwa akiangusha miti kutengeneza zawadi ya vinyago kwa Marais na wageni wake.

Hiki kitu kilikuwa kinaniuma maana ilikuwa ni uharibifu wa mazingira!
1623322455215.png

VS
 
Back
Top Bottom