Kwanini nahisi watu wote wa JamiiForums wapo Dar?

Uchawi vp umepungua?
 
Mbona mi nipo mayai ya mbu kari9bu na nzi street.wilaya ya kipindupindu.mkoa wa homa nchi ya TB kwa wale wanaopataga zerooooo na kazini wamejaa teleee.nchi tulizopakana nazo ni umaskini,ujinga,elimu na maradhi.
 

Mkuu navutiwa na biashara maeneo ya Ifakara , nafikiria kuja kufungua biashara huko... Nataka kupata habari zaidi za Ifakara , naweza kucheki wapi.. NBS watanipatia statistics za watu..
Lakini nataka kujua idadi ya maduka, ofisi za serikali, huduma muhimu za kijamii, kama mabenki, guest house , hotel.
 
Benk zipo za CRDB NA NMB
Maduka yapo ya kila aina, na bidhaa zote zinapatikana. Ukitaka kulima ardhi ipo yakutosha.Usafiri wa uhakika wa kwenda nje na ndani ya Morogoro unapatikana
 
Wanaume wa dar wamejaa humu.
.
.
Mimi nipo geita!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…