Kwanini Nampenda Sana Dadii.....

Kwanini Nampenda Sana Dadii.....

Hahahahahahaaa acha niimalizie siku na weekeend yangu vizuri.

Hapa najipampa na strawberry deeped in chocolate and icecream......

Usiku namalizia na zabibu aam aaam aaam taamuu.
Hëhehehehehe kwahiyò weekend hii unaimaliza hivyo tu

Vipi mziki? Au kiuno kipo garage for maintenance!!!
 
Hëhehehehehe kwahiyò weekend hii unaimaliza hivyo tu

Vipi mziki? Au kiuno kipo garage for maintenance!!!

Hahahahahahaaa acha uchokozi banaa, haya ni maandalizi ya makamuzi. ....
Shurti mwili uwe laini lainii
 
Hahahahahahaaa acha uchokozi banaa, haya ni maandalizi ya makamuzi. ....
Shurti mwili uwe laini lainii
Kama maandalizi ndo hayo hakika wakubwa ndo wenye kufaidi grade one product, sisi wengine tutafanya makamuzi ýa mashudu tu
 
Kama maandalizi ndo hayo hakika wakubwa ndo wenye kufaidi grade one product, sisi wengine tutafanya makamuzi ýa mashudu tu

Hahahaaa umenikumbusha kitu.....

Wale wauza mitumba; mpende mwanao mpende mwanao mpende mkeo ...... Ila sikuwahi kusikia mpende mmeo aahahahahhaaa

Wanawake na watoto stahiki yao kutunzwa halafu Dadii anakuja kula vitu lainii taaamuuu.
 
Hahahaaa umenikumbusha kitu.....

Wale wauza mitumba; mpende mwanao mpende mwanao mpende mkeo ...... Ila sikuwahi kusikia mpende mmeo aahahahahhaaa

Wanawake na watoto stahiki yao kutunzwa halafu Dadii anakuja kula vitu lainii taaamuuu.
Haahahahahaha daah!
Hukukosea kuitwa kasie matata

Dadii wacha ale vitu laini laini ila ipo siku kabla hata jogoo hajawika nae atalambishwa mchanga
 
Akina Dadii wengi wapo vizuri tatizo lipo kwa akina Baba.
 
Geez....!! No thanks kid, whenever you see Kasie, just stay far away from Kasie to avoid bemend pollution.
Kwa bahati mbaya sikielewi kiingilish! Lakini nadhani umekubali ombi langu la kuwa kiBen10 miaka 10 ijayo. I thank you in advance
 
Vitu laini vikikosekana there's always plan B which is his secret. He's full of plenty of techniques, he never fails.
He's full of plenty of mahaba techniques[emoji50][emoji50]!!!!

Hahahahahaha dadii matata

I will knock him down
 
Nifundishe hiyo plan B
Tafadhali
Wengi hatujui

Dadii has the plan be, it's his secret... Hata mie siijui.

And am not sure he's gonna say it here.....
 
Back
Top Bottom