Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa naanzaje kùkata tamaa mamaa, yaani nikose mahaba matataaHhahahahahaa naona hukati tamaa, haya ongeza bidii tuone kama utafanikiwa.
Kasiee,
Kijana nina nguvu nasubiri neno lako na moyo wangu utuliee[emoji7][emoji7][emoji7]
Hhahahahahaaa niseme nini tena Mangii, sema kile wataka kusikia kutoka kwa Kasie.
Moyo wa Mangi ukichepuka kupenda usiache njia kuu ya kusukuma damu, bado Mangi anahitajika tafadhali.
Sasa naanzaje kùkata tamaa mamaa, yaani nikose mahaba matataa
Alafu kasie sogea huku kivuli chini ya mţi tuongee vizuri hapo njiani utagongwa na bodaboda zinazopita
Njoo huku kasie beba na hizo zabibu nikulisheWee Kunta wewee, unakoelekea huko.... shauri yako hehehhehee
Nimeitwa kula zabibu ...... back soon
Hahaha...nimefurahi kuona bandiko lako mwayaNipoo mwayaa nikipotea ujue mahaba yamenifunika nikipata upenyo ndo kama hivi unaniona......
Close to me baby...Abeeh Mangiii.....
Where should I stand....
Hahahaahaha uzuri wa mimi sina wivu hata kidogo, muda wangù ukifika sikuachii na yeye hatopata nafasi tenaKuntaa looh, ndo naachiwa saa hizi tangu muda ule.... narembua tuu hapa usingizi unasikia hatamu muda si muda.
Hahahaahaha uzuri wa mimi sina wivu hata kidogo, muda wangù ukifika sikuachii na yeye hatopata nafasi tena
Kwahyo atumie vizuri muda wa sasa