Kwanini nashindwa kuwachukia Waarabu

Kwanini nashindwa kuwachukia Waarabu

Akotia

JF-Expert Member
Joined
Dec 16, 2016
Posts
528
Reaction score
1,241
Habari wakuu,

Mi nimzaliwa wa kwanza Kwa single mother(Mkristo) ambaye alikua anafanya kazi za ndani Kwa wa'arabu(DSM). Mama yangu aliofanya kazi Kwa wale waarabu ikiwemo, kuwaanda watoto shule, kuwapikia familia na wafanyakazi, kusafisha nyumba na kuhakikisha usalama wa nyumba(wakisafiri).

Mama angu alianza kazi baada ya kuachika Kwa Mzee wangu wakati Mimi Nina miaka 4,shule ya msingi nilisoma kinondoni mpaka darasa la 3 ndipo Waarabu kupitia kumuonea huruma mama'angu wakaamua kunisomesha wao private school kuanzia la nne kwenye shule mpya na Bora Yemen English medium(chang'ombe opposite na DUCE,2003) kuanzia la nne mpaka la Saba(2006) bila kulipia chochote na nilifaulu secondary kigamboni ila wakaendelea kunidhamini secondary private nilisoma shaaban Robert (form 1-4) mpaka nilipofaulu A level Tanga school.

Kipindi chote hiko mama'angu alikua akirudi kazini anarudi na misosi,wakitoa sadaka tunapewa,nguo za mitumba, nilikua na marafiki na connection yao, sikujiona mpweke.

Mpaka leo hii najitegemea ila msaada wao nikiuhitaji naupata,wale waarabu hawakujali kabila langu au nilipotokea. Nilicheza na watoto wao(mpaka Leo washkaji), nilitumia toys zao wakati mdogo, niliendesha magari Yao,tulialikwa harusi zao, walikuja misiba yetu na kadhalika.

Hata maramoja sikuwahi kujihisi kama wao watu tofauti na sisi na sijawahi kuona watu wanaoutumia utajiri wao kuwasaidia masikini kama wao. Nimekuja mkubwa hivi na Akili zangu ndio nagundua Ile familia ilisaidia, kusomesha, kutibia familia nyingi sana masikini. Ile familia ya kiarabu ilinifundisha UTU na kua HUMBLE sababu maisha haya yanapita tu.

Japo mama'angu kastafu kUfanya kazi ila hata leo zile connection nilizopata Kwa kusoma zile shule tu walizonisaidia waarabu zinasaidia sana, leo hii Nina marafiki matajiri (ambao ni marafiki kweli), marafiki walio nje ya Nchi (wana ni appreciate), marafiki walisoma sana,wenye nyadhifa mbali mbali sector binafsi na serikalini. Sipati picha ningesoma kayumba kama uwezo wa mama angu maana.
 
Point ni ile ile, duniani tupo wema na wabaya, mtu akija kukwambia waarabu, wazungu au waafrika ni wabaya basi kuna tatizo hapo, inawezekana huyo mtu ana tatizo au kikundi kidogo flani cha jamii flani kina tatizo so haimaanishi kuwa jamii ile yote iko vile
 
Hao waliokufanyia hivyo ni asilimia ngapi ya waarabu waliopo duniani?

Yule aliyemnyea binadamu mwenzie mdomoni ni Mwarabu pia

Wale wanaojitoa mhanga kufa na watu wengine wakiamini watapata thawabu akhera pia ni waislam.
 
Hao waliokufanyia hivyo ni asilimia ngapi ya waarabu waliopo duniani?

Yule aliyemnyea binadamu mwenzie mdomoni ni Mwarabu pia

Wale wanaojitoa mhanga kufa na watu wengine wakiamini watapata thawabu akhera pia ni waislam.
Hayo ya kwako,Leo hii kuna wana nilisoma nao(wayemen Asili!wenyewe hawataki mchezo) wananialika kwao mtu mweusi naongea na wake zao tupo kama ndugu. Cha msingi ni kupeana nafasi Na kuheshimiana na kujua mipaka ya Kila mmoja.
 
Hao waliokufanyia hivyo ni asilimia ngapi ya waarabu waliopo duniani?

Yule aliyemnyea binadamu mwenzie mdomoni ni Mwarabu pia

Wale wanaojitoa mhanga kufa na watu wengine wakiamini watapata thawabu akhera pia ni waislam.
Na wale wanaowaua waafrika weusi kule marekani ni wazungu pia. Muache jamaa atoe ushuhuda usipende kufafanisha.
 
Habari wakuu
Mi nimzaliwa wa kwanza Kwa single mother(mkristo) ambaye alikua anafanya kazi za ndani Kwa wa'arabu(DSM). Mama yangu aliofanya kazi Kwa wale waarabu ikiwemo,kuwaanda watoto shule,kuwapikia familia na wafanyakazi,kusafisha nyumba na kuhakikisha usalama wa nyumba(wakisafiri).

Mama angu alianza kazi baada ya kuachika Kwa Mzee wangu wakati Mimi Nina miaka 4,shule ya msingi nilisoma kinondoni mpaka darasa la 3 ndipo waarabu kupitia kumuonea huruma mama'angu wakaamua kunisomesha wao private school kuanzia la nne kwenye shule mpya na Bora Yemen English medium(chang'ombe opposite na DUCE,2003) kuanzia la nne mpaka la Saba(2006) bila kulipia chochote na nilifaulu secondary kigamboni ila wakaendelea kunidhamini secondary private nilisoma shaaban Robert (form 1-4) mpaka nilipofaulu A level Tanga school.

Kipindi chote hiko mama'angu alikua akirudi kazini anarudi na misosi,wakitoa sadaka tunapewa,nguo za mitumba,nilikua na marafiki na connection Yao, sikujiona mpweke.

Mpaka Leo hii najitegemea ila msaada wao nikiuhitaji naupata,wale waarabu hawakujali kabila langu au nilipotokea. Nilicheza na watoto wao(mpaka Leo washkaji),nilitumia toys zao wakati mdogo,niliendesha magari Yao,tulialikwa harusi zao,walikuja misiba yetu na kadhalika.

Hata maramoja sikuwahi kujihisi kama wao watu tofauti na sisi na sijawahi kuona watu wanaoutumia utajiri wao kuwasaidia masikini kama wao. Nimekuja mkubwa hivi na Akili zangu ndio nagundua Ile familia ilisaidia,kusomesha,kutibia familia nyingi sana masikini. Ile familia ya kiarabu ilinifundisha UTU na kua HUMBLE sababu maisha haya yanapita tu.

Japo mama'angu kastafu kUfanya kazi ila hata Leo zile connection nilizopata Kwa kusoma zile shule tu walizonisaidia waarabu zinasaidia sana,Leo hii Nina marafiki matajiri(ambao ni marafiki kweli),marafiki walio nje ya Nchi(wana ni appreciate),marafiki walisoma sana,wenye nyadhifa mbali mbali sector binafsi na serikalini. Sipati picha ningesoma kayumba kama uwezo wa mama angu maana.
Wa arabu wana tofaouti kubwa na wa hindi na waarabu koko wa Tanzania japo wote ni waislamu, napenda sana simplicity yao ya maisha
 
Habari wakuu
Mi nimzaliwa wa kwanza Kwa single mother(mkristo) ambaye alikua anafanya kazi za ndani Kwa wa'arabu(DSM). Mama yangu aliofanya kazi Kwa wale waarabu ikiwemo,kuwaanda watoto shule,kuwapikia familia na wafanyakazi,kusafisha nyumba na kuhakikisha usalama wa nyumba(wakisafiri).

Mama angu alianza kazi baada ya kuachika Kwa Mzee wangu wakati Mimi Nina miaka 4,shule ya msingi nilisoma kinondoni mpaka darasa la 3 ndipo waarabu kupitia kumuonea huruma mama'angu wakaamua kunisomesha wao private school kuanzia la nne kwenye shule mpya na Bora Yemen English medium(chang'ombe opposite na DUCE,2003) kuanzia la nne mpaka la Saba(2006) bila kulipia chochote na nilifaulu secondary kigamboni ila wakaendelea kunidhamini secondary private nilisoma shaaban Robert (form 1-4) mpaka nilipofaulu A level Tanga school.

Kipindi chote hiko mama'angu alikua akirudi kazini anarudi na misosi,wakitoa sadaka tunapewa,nguo za mitumba,nilikua na marafiki na connection Yao, sikujiona mpweke.

Mpaka Leo hii najitegemea ila msaada wao nikiuhitaji naupata,wale waarabu hawakujali kabila langu au nilipotokea. Nilicheza na watoto wao(mpaka Leo washkaji),nilitumia toys zao wakati mdogo,niliendesha magari Yao,tulialikwa harusi zao,walikuja misiba yetu na kadhalika.

Hata maramoja sikuwahi kujihisi kama wao watu tofauti na sisi na sijawahi kuona watu wanaoutumia utajiri wao kuwasaidia masikini kama wao. Nimekuja mkubwa hivi na Akili zangu ndio nagundua Ile familia ilisaidia,kusomesha,kutibia familia nyingi sana masikini. Ile familia ya kiarabu ilinifundisha UTU na kua HUMBLE sababu maisha haya yanapita tu.

Japo mama'angu kastafu kUfanya kazi ila hata Leo zile connection nilizopata Kwa kusoma zile shule tu walizonisaidia waarabu zinasaidia sana,Leo hii Nina marafiki matajiri(ambao ni marafiki kweli),marafiki walio nje ya Nchi(wana ni appreciate),marafiki walisoma sana,wenye nyadhifa mbali mbali sector binafsi na serikalini. Sipati picha ningesoma kayumba kama uwezo wa mama angu maana.
Ndugu shahidi, kwenye maelezo yako umeonyesha dini ya bi mkubwa je! dini yako kwa sasa ni dini gani?
 
Kwanini upalilie tangazo la kujikomba sana kwao Waarabu?

Eleza sababu zisizopungua 100, kwanini pamoja na kujipendekeza kote kwao bado tu wanatuona waafrika ni nyani [emoji848]

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini upalilie tangazo la kujikomba sana kwao Waarabu?

Eleza sababu zisizopungua 100, kwanini pamoja na kujipendekeza kote kwao bado tu wanatuona waafrika ni nyani [emoji848]

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Wewe ni nyani! Hujaitwa nyani unajiona nyani,mwaafrika mweusi hujikubali,hujiamini,unaichukia Asili yako na rangi kiasi unategemea validation kutoka rangi nyeupe. Wewe ndio nyani na utaendelea kua nyani maisha Yako yote na Kila mtu mweupe atakayekutana na wewe anastahili akudharau na akuone nyani na hata akutemee mate. Kama wewe hujiamini(inferiority complex) unategemea mtu mwengine akuone thamani Yako basi thamani Yako ni unyani. Nyani mkubwa wewe
 
Soma heading vizuri na uelewe,siku zakaribuni kumekua na udini na hate kubwa sana Kwa wa'arabu kana kwamba ni watu wabaya sana.
Nimesoma vizuri heading yako na nimeelewa. Kwa maelezo yako ilipaswa ueleze kama ulivyoeleza hapa kwa chini kwamba kumekuwa na wengi wanawachukia waarabu,mimi (wewe) nimeshindwa kuwachukia ksbb hizo ulizoeleza sasa. Ile heading pamoja na maelezo mtu asiewajua waarabu akisoma hakuelewi.
 
Hao waliokufanyia hivyo ni asilimia ngapi ya waarabu waliopo duniani?

Yule aliyemnyea binadamu mwenzie mdomoni ni Mwarabu pia

Wale wanaojitoa mhanga kufa na watu wengine wakiamini watapata thawabu akhera pia ni waislam.
King leopard unajua ukatili alioufanya kongo?
Vipi yule dada mwenye makalio makubwa waliomsafirisha mpk ulaya na kumweka na kung'amua mtu wa maonyesho wakimtumia kingono na kuchezea makalio yake ?

Vipi Ota Benga wazungu walimsafirisha ulaya na kumuweka kwenye makumbusho ya sokwe na kumfanya kama kivutio cha utalii ?
 
King leopard unajua ukatili alioufanya kongo?
Vipi yule dada mwenye makalio makubwa waliomsafirisha mpk ulaya na kumweka na kung'amua mtu wa maonyesho wakimtumia kingono na kuchezea makalio yake ?

Vipi Ota Benga wazungu walimsafirisha ulaya na kumuweka kwenye makumbusho ya sokwe na kumfanya kama kivutio cha utalii ?
Mkuu Azarel ni Azarel,Toka namjua jf huyu jamaa anawachukia waarabu na uislamu,ndio personality yake na namkubali sana na msimamo wake huo.

Ana Haki zote za kumchukia anayemtaka na mtu yoyote unayetumia nguvu zako kumshawishi Azarel Kwa kutegemea atabadilisha maamuzi Basi unapoteza mda tu. Mchukulie kama alivo Hana madhara
 
Back
Top Bottom