Kwanini nashindwa kuwachukia Waarabu

Na wale wanaowaua waafrika weusi kule marekani ni wazungu pia. Muache jamaa atoe ushuhuda usipende kufafanisha.
Ni kweli ,jamaaa alikuja kutoa ushuhuda wake huyu mtu anakuja kumuponda,na sio kweli wale wanaojitoa muhanga wana malengo ya kuenda peponi ,yale mengine ni maslahi ya watu ,uislamu haujahalalisha kuuuwana.
 
Kwanini upalilie tangazo la kujikomba sana kwao Waarabu?

Eleza sababu zisizopungua 100, kwanini pamoja na kujipendekeza kote kwao bado tu wanatuona waafrika ni nyani [emoji848]

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Mkuu nadhani umechanganya kidogo
Hii dhana ya unyani imeletwa na somebody darwin kama sikukosea ambaye ni mzungu,
Kama kuna mwarabu anamwita mweusi nyani huuo atakuwa sio mwarabu mwislamu,
Si unajua wapo waarabu sio waislamu?
 
Hongera sana kwa kuleta ushuhuda huu hapa, wabaya watajifunza kuwa wema na tbia za wana choyo zinaweza kuwabadilisha tokana na story yako hiii
 
Point pia
 
Hao waliokufanyia hivyo ni asilimia ngapi ya waarabu waliopo duniani?

Yule aliyemnyea binadamu mwenzie mdomoni ni Mwarabu pia

Wale wanaojitoa mhanga kufa na watu wengine wakiamini watapata thawabu akhera pia ni waislam.

Dunia imejaa na maovu mengi, kwa uzi wa mleta mada naamini inaonyesha kuwa utu pia upo
 
Huu uzi una connection na uzi mwingine? Kama ndiyo ebu ziunge basi. Kama sivyo mm sijapata logic.
 
Wewe uko sahihi
 
Hao waliokufanyia hivyo ni asilimia ngapi ya waarabu waliopo duniani?

Yule aliyemnyea binadamu mwenzie mdomoni ni Mwarabu pia

Wale wanaojitoa mhanga kufa na watu wengine wakiamini watapata thawabu akhera pia ni waislam.
Wewe ni mpumbavu punguani... hilo neno WAISLAM limeingiaje hapa
 
Maisha yangu sijawahi kuona ubaya wa Waarabu. Niliokwisha kutana nao wanapenda urafiki na wanaongea real siyo kinafiki tofauti na wadosi.
 
Kufanya kwa hao wazungu haiwapi kibali Waarabu kuwanyanyasa watu weusi

Wote ni Wapumbavu tu, no matter ni Mwarabu au Wazungu...sioni sababu ya kuwaweka Wazungu kwny mada hii
 
Waarabu wa magomeni wenye nywele ngumu, pua pana na spread lips wamepanic sana kwenye mada hii [emoji23][emoji23]
 
Mshukuru Mwenyezi Mungu kwa yote uliyoyapata mpaka kifikia ulipo, wangekuwa wahindi ungeelewa kwanini waliitwa mapatel
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…