green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
UnatatizoKwanini upalilie tangazo la kujikomba sana kwao Waarabu?
Eleza sababu zisizopungua 100, kwanini pamoja na kujipendekeza kote kwao bado tu wanatuona waafrika ni nyani [emoji848]
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Ni kweli ,jamaaa alikuja kutoa ushuhuda wake huyu mtu anakuja kumuponda,na sio kweli wale wanaojitoa muhanga wana malengo ya kuenda peponi ,yale mengine ni maslahi ya watu ,uislamu haujahalalisha kuuuwana.Na wale wanaowaua waafrika weusi kule marekani ni wazungu pia. Muache jamaa atoe ushuhuda usipende kufafanisha.
Mkuu nadhani umechanganya kidogoKwanini upalilie tangazo la kujikomba sana kwao Waarabu?
Eleza sababu zisizopungua 100, kwanini pamoja na kujipendekeza kote kwao bado tu wanatuona waafrika ni nyani [emoji848]
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Hongera sana kwa kuleta ushuhuda huu hapa, wabaya watajifunza kuwa wema na tbia za wana choyo zinaweza kuwabadilisha tokana na story yako hiiiHabari wakuu
Mi nimzaliwa wa kwanza Kwa single mother(mkristo) ambaye alikua anafanya kazi za ndani Kwa wa'arabu(DSM). Mama yangu aliofanya kazi Kwa wale waarabu ikiwemo,kuwaanda watoto shule,kuwapikia familia na wafanyakazi,kusafisha nyumba na kuhakikisha usalama wa nyumba(wakisafiri).
Mama angu alianza kazi baada ya kuachika Kwa Mzee wangu wakati Mimi Nina miaka 4,shule ya msingi nilisoma kinondoni mpaka darasa la 3 ndipo waarabu kupitia kumuonea huruma mama'angu wakaamua kunisomesha wao private school kuanzia la nne kwenye shule mpya na Bora Yemen English medium(chang'ombe opposite na DUCE,2003) kuanzia la nne mpaka la Saba(2006) bila kulipia chochote na nilifaulu secondary kigamboni ila wakaendelea kunidhamini secondary private nilisoma shaaban Robert (form 1-4) mpaka nilipofaulu A level Tanga school.
Kipindi chote hiko mama'angu alikua akirudi kazini anarudi na misosi,wakitoa sadaka tunapewa,nguo za mitumba,nilikua na marafiki na connection Yao, sikujiona mpweke.
Mpaka Leo hii najitegemea ila msaada wao nikiuhitaji naupata,wale waarabu hawakujali kabila langu au nilipotokea. Nilicheza na watoto wao(mpaka Leo washkaji),nilitumia toys zao wakati mdogo,niliendesha magari Yao,tulialikwa harusi zao,walikuja misiba yetu na kadhalika.
Hata maramoja sikuwahi kujihisi kama wao watu tofauti na sisi na sijawahi kuona watu wanaoutumia utajiri wao kuwasaidia masikini kama wao. Nimekuja mkubwa hivi na Akili zangu ndio nagundua Ile familia ilisaidia,kusomesha,kutibia familia nyingi sana masikini. Ile familia ya kiarabu ilinifundisha UTU na kua HUMBLE sababu maisha haya yanapita tu.
Japo mama'angu kastafu kUfanya kazi ila hata Leo zile connection nilizopata Kwa kusoma zile shule tu walizonisaidia waarabu zinasaidia sana,Leo hii Nina marafiki matajiri(ambao ni marafiki kweli),marafiki walio nje ya Nchi(wana ni appreciate),marafiki walisoma sana,wenye nyadhifa mbali mbali sector binafsi na serikalini. Sipati picha ningesoma kayumba kama uwezo wa mama angu maana.
Point piaPoint ni ile ile, duniani tupo wema na wabaya, mtu akija kukwambia waarabu, wazungu au waafrika ni wabaya basi kuna tatizo hapo, inawezekana huyo mtu ana tatizo au kikundi kidogo flani cha jamii flani kina tatizo so haimaanishi kuwa jamii ile yote iko vile
Hao waliokufanyia hivyo ni asilimia ngapi ya waarabu waliopo duniani?
Yule aliyemnyea binadamu mwenzie mdomoni ni Mwarabu pia
Wale wanaojitoa mhanga kufa na watu wengine wakiamini watapata thawabu akhera pia ni waislam.
Its just a recognition haimanishi kitu just grow up and be a manSenior member anaandika kama expert member
Reason things as a grown up jackassKwanini upalilie tangazo la kujikomba sana kwao Waarabu?
Eleza sababu zisizopungua 100, kwanini pamoja na kujipendekeza kote kwao bado tu wanatuona waafrika ni nyani [emoji848]
Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
You are the one who needs to grow up! If u real don’t understand the motive behind this thread,then u real real need to man up! BoyIts just a recognition haimanishi kitu just grow up and be a man
Huu uzi una connection na uzi mwingine? Kama ndiyo ebu ziunge basi. Kama sivyo mm sijapata logic.Habari wakuu
Mi nimzaliwa wa kwanza Kwa single mother(mkristo) ambaye alikua anafanya kazi za ndani Kwa wa'arabu(DSM). Mama yangu aliofanya kazi Kwa wale waarabu ikiwemo,kuwaanda watoto shule,kuwapikia familia na wafanyakazi,kusafisha nyumba na kuhakikisha usalama wa nyumba(wakisafiri).
Mama angu alianza kazi baada ya kuachika Kwa Mzee wangu wakati Mimi Nina miaka 4,shule ya msingi nilisoma kinondoni mpaka darasa la 3 ndipo waarabu kupitia kumuonea huruma mama'angu wakaamua kunisomesha wao private school kuanzia la nne kwenye shule mpya na Bora Yemen English medium(chang'ombe opposite na DUCE,2003) kuanzia la nne mpaka la Saba(2006) bila kulipia chochote na nilifaulu secondary kigamboni ila wakaendelea kunidhamini secondary private nilisoma shaaban Robert (form 1-4) mpaka nilipofaulu A level Tanga school.
Kipindi chote hiko mama'angu alikua akirudi kazini anarudi na misosi,wakitoa sadaka tunapewa,nguo za mitumba,nilikua na marafiki na connection Yao, sikujiona mpweke.
Mpaka Leo hii najitegemea ila msaada wao nikiuhitaji naupata,wale waarabu hawakujali kabila langu au nilipotokea. Nilicheza na watoto wao(mpaka Leo washkaji),nilitumia toys zao wakati mdogo,niliendesha magari Yao,tulialikwa harusi zao,walikuja misiba yetu na kadhalika.
Hata maramoja sikuwahi kujihisi kama wao watu tofauti na sisi na sijawahi kuona watu wanaoutumia utajiri wao kuwasaidia masikini kama wao. Nimekuja mkubwa hivi na Akili zangu ndio nagundua Ile familia ilisaidia,kusomesha,kutibia familia nyingi sana masikini. Ile familia ya kiarabu ilinifundisha UTU na kua HUMBLE sababu maisha haya yanapita tu.
Japo mama'angu kastafu kUfanya kazi ila hata Leo zile connection nilizopata Kwa kusoma zile shule tu walizonisaidia waarabu zinasaidia sana,Leo hii Nina marafiki matajiri(ambao ni marafiki kweli),marafiki walio nje ya Nchi(wana ni appreciate),marafiki walisoma sana,wenye nyadhifa mbali mbali sector binafsi na serikalini. Sipati picha ningesoma kayumba kama uwezo wa mama angu maana.
Hii haiwezi kuwa sababu ya wao kukuhudumia?Babangu Alia muislamu,Mimi ni muislamu
Wewe uko sahihiPoint ni ile ile, duniani tupo wema na wabaya, mtu akija kukwambia waarabu, wazungu au waafrika ni wabaya basi kuna tatizo hapo, inawezekana huyo mtu ana tatizo au kikundi kidogo flani cha jamii flani kina tatizo so haimaanishi kuwa jamii ile yote iko vile
Wewe ni mpumbavu punguani... hilo neno WAISLAM limeingiaje hapaHao waliokufanyia hivyo ni asilimia ngapi ya waarabu waliopo duniani?
Yule aliyemnyea binadamu mwenzie mdomoni ni Mwarabu pia
Wale wanaojitoa mhanga kufa na watu wengine wakiamini watapata thawabu akhera pia ni waislam.
Punguza jazba mamaWewe ni mpumbavu punguani... hilo neno WAISLAM limeingiaje hapa
Lakini awauliwi pasipo sababuNa wale wanaowaua waafrika weusi kule marekani ni wazungu pia. Muache jamaa atoe ushuhuda usipende kufafanisha.