Kwanini naunga mkono Urusi kuchukua hatua za kijeshi Ukraine?

Hivi mmesoma vizuri UZI wa Yeriko au umeishai kusoma kichwa cha habari? Mbona jamaa kafafanua kwamba huyo rais wa Ukraine kaua sana na alikua anaendelea kuua sana na Urusi akawa anabeba mzigo wa wakimbizi??? Nashawishika kuamini kwamba hamjasoma UZI. Kwa maana ya upande unao unga mkono ni upi kati ya Ukrein na Urusi hilo sina tatizo nalo, kila mtu anaweza kubakia na mtazamo wake, nina shida na the way ulivyo weka maelezo yako maanake kama ni kutetea mauaji, ungeanza kumlaumu rais wa Ukrain kwanza
 
Zelenskyy ni kibaraka wa nani?
 
Pumba tupu.
 
Wasamehe wao wanashughulika na mleta hoja sio hoja
 
Swali langu moja tu.

Kwa ufafanuzi huu wenye mantiki kubwa hivi (plausible), inakuwaje Putin anakosa uungwaji mkono mkubwa na wananchi wake hadi kutegemea kuwa na bunge ambalo ni "rubber stamp", kudhibiti upinzani kwa mkono wa chuma, kutumia vikosi vya wasiojulikana kudhibiti ukosoaji (police state), kuimarisha tawala za kidikteta huko Belarus na Venezuela, n.k.

Wnanachi wa Urusi wamesikika wakilalamikia vikwazo vya NATO na Marekani kwamba si fair kwao kwani wao "hawakumchagua" Putin kuwa rais wao! Hiyo ni vita yake binafsi! Akwamishwe yeye na wapambe wake; sio raia wote wa Urusi.

Inafahamika kuwa huko Urusi, utawala wa Putin ni "one man show": hashauriwi, hakosolewi wala hapingwi na mhimili wowote. In maana kuwa ni yeye peke yake anayejua na kuyaona maslahi ya Urusi na ya Warusi? Wananchi wa Urusi hawana habari ndugu zao wakinyanyaswa na kuuawa huko Donbass, Crimea na Georgia? Warusi wote hawaoni janja ya Marekani na NATO kujiimarisha kijeshi kutishia usalama wa Urusi kupitia Ukraine na nchi zingine jirani (former USSR)?

Hoja yako inashawishi (plausible) lakini inatia shaka - doesn't sound rational. Ingekuwa hivyo, huyu mtu angetambuliwa na watu wake kama shujaa na sauti yao kumkubali ingesikika bila mikwaruzo. Au Marekani pia wamefanikiwa kudhibiti kikamilifu sauti halali ya Warusi? Au wamewageuza Warusi wengi kuwa vibaraka wao?
 
Rubbish, huwa nakuunga mkono mambo mengi lakini sikuungi kwa ujinga huu wa kuua watu wasio na hatia, kama mrusi ana nguvu kwanini asiende kuvamia Marekani?
Unaongea upopo gani wew jama amaeeleza sababu za msingi kwa nn urkraen avamiwe wew unaleta hbr za watu wasio na hatia kupigwa..babu utapigwa ukizingua unakujaje kumrhusu adui wangu namba moja kukujengea manuary ya kijeshi mpkan mwangu babu hata mm ningekupiga tu uwe kuallied na mpizani wangu alfu nikuangaliee
 
Nakuelewa sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…